jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,888
- 6,459
Mimi nisingenyanyuka na ningekaa kimyaHapana ni jinsi huyo kijana alivyokurupushwa huko akapige picha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nisingenyanyuka na ningekaa kimyaHapana ni jinsi huyo kijana alivyokurupushwa huko akapige picha
Mkuu lakini ukiwaangalia kwa jicho la tatu huyo Mama na mume wake sizani kama ata wanazo hizo mali walizo zitaja.Kaokota dodo afu wewe wasema nini?
Maisha ndio haya haya.
Mh... labda. Ila mwanaume itabidi awe kama house boy. Hakuna kuhoji, hakuna kuona wivu.Haha! Kwanini mimi? 😅
Halafu hii ndoa itadumu miaka na miaka mi nawaambia 😅 Mchezo ni mmoja tu, jamaa kujifanya hamnazo , Vijana wa siku hizi tunawajua….. Ukiwa na ka kazi wanakung’ang’ania sembuse umepewa mimali 😂
Hio ndoa itaishia mwanaume kutawaliwa na kujiona mnyonge saaana 😄Kijana kaitwa kama mbwa nihuzuni
Hivo vitu tupeane kimya kimya sio kutangaziana hadharani,mwanaume unaonekana huna lolote,vitu vyote umepewaMkuu kwanza familia ya mwanamke wamemdharau sana, wameshindwa nn kuorodhesha hivyo vitu kwa jina la mkwe wao badala ya Binti yao?
Wameshamuandaa kisaikolojia kijana kuwa hizo zawadi ni za mwanamke sio za wanandoa! Hivyo ajue kuwa anakwenda kupigwa na kitu kizitoMbona wamtaje binti yao tu kwenye hayo? Kwani anaenda kuishi mwenyewe huko?
DuhWameshamuandaa kisaikolojia kijana kuwa hizo zawadi ni za mwanamke sio za wanandoa! Hivyo ajue kuwa anakwenda kupigwa na kitu kizito
Yaan kama ndo mm najimwaga mboga hapo hapo! KAENI NA BINTI YENU! Unasimama unaondoka!
Classmate kaolewa?Hahaha clip ya jamaa(classmate) yangu inasambaa sana.
Huyo MC kazingua.
Huyo siyo mkeo ni mchumba, na hapo wako kwenye send-off.Huwezi kuumpa zawadi yoyote mke wangu bila concern yangu kama Mume, je kama ni hawara wa Deborah ndiyo katoa hizo zawadi kupitia mama mkwe utajuawaje!!?? Mwanaume usikubali haraka haraka kila kitu kutoka ukwenu hata kama kapewa mkeo,chunguza kwanza
Naam, wao wamemtaja mtoto wao tu.Sio Debora tunawapa nyumba
Sasa unabisha nini ?Maigizo mkuu....social media usiziamini.
Mara nyumba Bahari Beach, mara Madale, mara kiwanja Dodoma na Tandale.