Huyu kijana Amedhalilika sana

Huyu kijana Amedhalilika sana

Mkuu kwanza familia ya mwanamke wamemdharau sana, wameshindwa nn kuorodhesha hivyo vitu kwa jina la mkwe wao badala ya Binti yao?
Kwenye hili hapana. Wazazi wanatoa zawadi kwa mtoto wao hawawezi mpa mwanaume ambaye hajaoa. Kumbuka hiyo ni send off huyo hajawa mume tayari anaweza badili maamuzi dakika yoyote.
 
Kwenye hili hapana. Wazazi wanatoa zawadi kwa mtoto wao hawawezi mpa mwanaume ambaye hajaoa? Kumbuka hiyo ni send off huyo hajawa mume tayari anaweza badili maamuzi dakika yoyote.
Wanajimilikisha mali za wenyewe🤣🤣🤣
 
Huwezi kuumpa zawadi yoyote mke wangu bila concern yangu kama Mume, je kama ni hawara wa Deborah ndiyo katoa hizo zawadi kupitia mama mkwe utajuawaje!!?? Mwanaume usikubali haraka haraka kila kitu kutoka ukwenu hata kama kapewa mkeo,chunguza kwanza
Kwani hapo kawa mke tayari?
 
Wanajimilikisha mali za wenyewe🤣🤣🤣
Maoni yanatolewa kwa mihemko ya hasira kwa alichofanyawiwa mume mtarajiwa. 🤣

Jamaa kakosewa na MC ila kwa upande wa mali amwachie mke mtarajiwa. Mpaka amefika hatua ya kuoa sio mjinga. Na huenda atakayepata tabu na tambo hizi za wazazi ni binti.
 
Kama nilisha lipa mahari kwa wazazi na aakaipokea bila shida huyo tayari ni mke wangu,mengine yote yaliobakia ni mbwembwe zetu tu sisi waja!!
Kwa msimamo wa mila na desturi ni mke ila ndoa isiyohusisha umiliki wa mali pamoja. Hapo kila mtu ana mali zake mpaka ndoa ya kisheria ifungwe. Hizo ni mali za mwanamke
 
Kwenye hili hapana. Wazazi wanatoa zawadi kwa mtoto wao hawawezi mpa mwanaume ambaye hajaoa. Kumbuka hiyo ni send off huyo hajawa mume tayari anaweza badili maamuzi dakika yoyote.
Aah kama hivyo sawa.. lkn hata hivyo hizo zawad zinamzidi kiwango Binti yao zitaivuruga ndoa
 
Nope hivyo vitu huwa wanatajaga tu nimefanya Sana hiyo michezo
Oya masta wewe ndo ulitufundisha huu ujinga humu ndan kuwa ukitaka kuoa na uko ugeneni angalia mwanamke ambaye hata ukidakwa na police ndani ya dakika ya mbili inapigwa cm moja tu ya maelekezo unaachiwa

Ndo alichokifanya ngosha wa mwanza sasa
 
Kwani wanaume mnataka nini jamani!! Si kila siku humu mnajichetua kuwa muoe matajiri!! Haya sasa, ndio hao hapo🤣🤣🤣

Ukipenda boga penda na ua lake.
Kila siku wanasema hawataki mwanamke masikin, ambaye ni omba omba

Tajir yetu Deborah kapatikana tena hawataki
 
Aah kama hivyo sawa.. lkn hata hivyo hizo zawad zinamzidi kiwango Binti yao zitaivuruga ndoa
Kama mwanaume anajielewa ndoa inasonga mbele hayo mengi ni mbwembwe za sherehe. Na kama ni Wanyakyusa wenzangu hizo assets hazipo.

Mwanaume anaweza kuamua hata kutojishughulisha nazo akaendelea na mambo yake. Wangezitoa siku ya harusi angalau angeweza kuwa nguvu na kidogo.
 
Back
Top Bottom