macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Du... maigizo au ni kweli?Kijana kaitwa kama mbwa nihuzuni


Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du... maigizo au ni kweli?Kijana kaitwa kama mbwa nihuzuni


Aione binti kiziwi . Asipitwe...Kijana kaitwa kama mbwa nihuzuni
Anaingia kwenye ndoa kama gongowazi ni mwendo wa kalkuleta tu na bado havuki hatua ya makundi😃Huyu MC analombwa na wakongo.Sema dah Mungu amfanyie wepesi huyu jamaa kaingia kwenye ndoa akiwa goli mbili nyuma
Kataa ndoa wamechukuwa ubingwaOne man down.
One man down
Kijana hana chake hapo.
Kijana hatakuwa na ile Manhood kwa mkewe.
Hata mimi siamini kama hii ni kweli.Maigizo mkuu....social media usiziamini.
Mara nyumba Bahari Beach, mara Madale, mara kiwanja Dodoma na Tandale.
Huwezi kuumpa zawadi yoyote mke wangu bila concern yangu kama Mume, je kama ni hawara wa Deborah ndiyo katoa hizo zawadi kupitia mama mkwe utajuawaje!!?? Mwanaume usikubali haraka haraka kila kitu kutoka ukwenu hata kama kapewa mkeo,chunguza kwanzaKwani kapewa yeye, si unasikia mama anasema "Debora tunaKUpa nyumba..."
Kwani kapewa yeye, si unasikia mama anasema "Debora tunaKUpa nyumba..."
Sioni tatizo hapo labda wachangiaji wengi humu ndani wanamentality za kimasikini waazazi wa bi harusi wamefurahi mtoto wao kuolewa na kwa kuwa wanamali nyingi wamempa kama zawadi baadhi ya mali sasa hapo shida kwa bwana harusi ipo wapi..?Kijana kaitwa kama mbwa nihuzuni
Nani atakupa zawadi wewe...Huwezi kuumpa zawadi yoyote mke wangu bila concern yangu kama Mume, je kama ni hawara wa Deborah ndiyo katoa hizo zawadi kupitia mama mkwe utajuawaje!!?? Mwanaume usikubali haraka haraka kila kitu kutoka ukwenu hata kama kapewa mkeo,chunguza kwanza
AiseeJamaa katoa mahali kweli huyo??
Trust no body and suspect every body! Utakuja nashukuru siku moja ukiishi kwa formula yangu!!Nani atakupa zawadi wewe...
acha wivu huo..
Haha! Kwanini mimi? 😅Aione binti kiziwi . Asipitwe...
Sema MC nae jau sana kulikuwa na sababu gani kumuita vile.Sema unyonge nao sio.Ningekuwa bwana harusi huyu MC ningemfanyia kitu inaitwa ubaya ubwela yani angekula kwanja lile la Mchomvu kwa Mbasha cha mtoto bila kusahau jingle ya Dj mafuvu baada ya kutekeleza jambo languAnaingia kwenye ndoa kama gongowazi ni mwendo wa kalkuleta tu na bado havuki hatua ya makundi😃
Ni kweli huyo bwana harusi namfaham.Du... maigizo au ni kweli?![]()
...Kijana kaitwa kama mbwa nihuzuni