kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Maria Sarungi ni nani ndani ya Chadema mpaka awapangie watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mariah ni mjumbe wa kamati kuu?Huu ni msimamo wa Kamati Kuu
Wewe kafie mbele,timu lissu hawakutambui,eti msimamo wa chama!!Huu ni msimamo wa Kamati Kuu
Katoa maneno ya demokrasia ya uwakilishi (kutoka kwa wajumbe kamati kuu)kwa jamii.Mariah ni mjumbe wa kamati kuu?
Punguza kamdomo wewe, huyu ni mbunge mtarajiwa,Wewe kafie mbele,timu lissu hawakutambui,eti msimamo wa chama!!
Tunataka kila mtu asambaze ujumbe huo, Balozi zote za Wazungu zishasambaziwa nakalaMariah ni mjumbe wa kamati kuu?
Kwi Kwi Kwi! na bado!Wewe kafie mbele,timu lissu hawakutambui,eti msimamo wa chama!!
Umeharibu kusema ni mke mdogo, hoja yako ni uwongo, mume wa maria anafahamikaKumbe nyuma ya pazia ni mke mdogo wa mwenyekiti hata pesa ya fomu iltoka huko....yeye ni nani mpaka apangie watu!.....
Acha ujinga, Maria amerudia msimamo wa chama kama unavyofanya wewe humu JF. Kwani maana ya No reform no election ni nini?Mariah ni mjumbe wa kamati kuu?
Mimi au wewe,uko nje ya system ndo màana umebaki kudandia thread za wengine,huna ulijualo kuhusu chadema Kwa Sasa.Kwi Kwi Kwi! na bado!
Hawezi pata nafasi ,huyu ni ant-LissuPunguza kamdomo wewe, huyu ni mbunge mtarajiwa,
Hujui Dunia weweHawezi pata nafasi ,huyu ni ant-Lissu
no reforms no election unaelewa nnMariah ni mjumbe wa kamati kuu?
Wewe nani kakuruhusu weka iyo picha ,kama sio kishoka ,ondoa mara mojaHawezi pata nafasi ,huyu ni ant-Lissu