Mzee Ngonyani
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 1,049
- 2,242
Wewe toa lini umekuwa mwanachama wa CHADEMA ?Mariah ni mjumbe wa kamati kuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe toa lini umekuwa mwanachama wa CHADEMA ?Mariah ni mjumbe wa kamati kuu?
blood tumbaku, wewe nani chadema mpuuzi mkubwa.View attachment 3215101
Nimeona huu ujumbe wa Maria Sarungi anakemea wanaojiunga Chadema. Ana nafasi gani huyu mpaka anatoa msimamo mkali kama huu kwenye mambo ya chama?
Nakumbuka Mbowe alikuwa anasema anataka kukiokoa chama kisichukuliwe na wanaharakati kwa kuwa hajui dhamira yao nini. Inawezekana kuna mambo yapo nyuma hatuyaelewi?
Sijui, ila October utaelewa tuu.unajua maana ya no reform, no election?
Kususia uchaguzi itakuwa inahalalisha kuzamisha Chadema na kulipa nguvu ACT kama ilivyotarajiwa. Nakuhakikishia Chadema ya Antipasu ikiingia Madarakani kwa katiba na Tume huru ya Sasa ya Uchaguzi hutasikia mambo ya "No reform no election " kwa sababu lengo lao si kutatua changamoto za kiuchumi za mtu mmoja moja, Wala changamoto za social decay ukiukwaji wa maadili na rushwa, Wala si changamoto za kiteknolojia za kutatua changamoto za jamii bali ni madaraka tu! Ndiyo maana Hata kwenye Ilani Yao ya 2020 waliosema watauza migodi kwa wageni!!!Maria Sarungi ni nani ndani ya Chadema mpaka awapangie watu View attachment 3214527
makamu mwenyekiti ccm taifa badala ya kikongwe wasila akisinziaMariah ni mjumbe wa kamati kuu?
Tukisusa ma CCM yatafanya uchaguzi yakisindijizwa na ACT wazalendo, chama cha ubwbwa and the like!No reform no Election.Sumia must Go
Hata wakiweka zuio litatupiliwa mbali!Wasusie waone kama uchaguzi hautafanyika, labda wakaweke zuio mahakamani
Wewe kafie mbele,timu lissu hawakutambui,eti msimamo wa chama!!
Mariah ni mjumbe wa kamati kuu?
Mnaogopa hata visivyoogopesha🤣Maria Sarungi ni nani ndani ya Chadema mpaka awapangie watu View attachment 3214527
Maria Sarungi ni nani ndani ya Chadema mpaka awapangie watu View attachment 3214527
Chama kimeporwa maelekezo yanatoka nyumba ndogo nairobi!Mnaogopa hata visivyoogopesha🤣