Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 5,807
- 17,416
Kukwepa Responsibility anasema yeye hana chama...kwenye space anawapa mic vi uchwara vyake tuMaria Salungi na genge lake la wanasheria wanaenda kuiuwa CHADEMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukwepa Responsibility anasema yeye hana chama...kwenye space anawapa mic vi uchwara vyake tuMaria Salungi na genge lake la wanasheria wanaenda kuiuwa CHADEMA
Hatari sanaKukwepa Responsibility anasema yeye hana chama...kwenye space anawapa mic vi uchwara vyake tu
Maria ni chawa kama chawa wengine ila sponsa ni mzungu.View attachment 3215101
Nimeona huu ujumbe wa Maria Sarungi anakemea wanaojiunga Chadema. Ana nafasi gani huyu mpaka anatoa msimamo mkali kama huu kwenye mambo ya chama?
Nakumbuka Mbowe alikuwa anasema anataka kukiokoa chama kisichukuliwe na wanaharakati kwa kuwa hajui dhamira yao nini. Inawezekana kuna mambo yapo nyuma hatuyaelewi?
Mwashambwa huyu huyu ambaye ukimwita MNDALI anakasirika 😅😅😅🤣🤣Hayo ni mawazo yake tu mkuu, hayana amri yoyote.
Ni kama mwashambwa anavyotoaga mawazo yake.
Wanamuona kama msaliti!Anajaribu kudandia gari Kwa mbele ili timu lissu wamkumbuke
Kumbe nyuma ya pazia ni mke mdogo wa mwenyekiti hata pesa ya fomu iltoka huko....yeye ni nani mpaka apangie watu!.....
Eti balozi zote za wazungu! Utumwa wa fikra ni mbaya sana.Tunataka kila mtu asambaze ujumbe huo, Balozi zote za Wazungu zishasambaziwa nakala
wanawake maslahi wote mahodari kwa kuchepuka!Mariah ana mume acha upuuzi wako
Lissu sio kama mbowe, kufukuza watu kisa katofautiana naye msimamoSi kweli haya ni mambo sarungi anamuamulia lissu na chadema muda si mrefu mtakubali atakapoanza fukuza kwa niaba na matakwa ya mariah nyumba ndogo!
.pole kaka, unawazaga ujinga tupuwanawake maslahi wote mahodari kwa kuchepuka!
Kwani wewe ulivyoileta hapa ni msemaj wa CHADEMA?Kumbe nyuma ya pazia ni mke mdogo wa mwenyekiti hata pesa ya fomu iltoka huko....yeye ni nani mpaka apangie watu!.....
..hayo ni maoni yake, sioni shida yoyote hapo, mtoa mada una mawazo ya kidiktetaView attachment 3215101
Nimeona huu ujumbe wa Maria Sarungi anakemea wanaojiunga Chadema. Ana nafasi gani huyu mpaka anatoa msimamo mkali kama huu kwenye mambo ya chama?
Nakumbuka Mbowe alikuwa anasema anataka kukiokoa chama kisichukuliwe na wanaharakati kwa kuwa hajui dhamira yao nini. Inawezekana kuna mambo yapo nyuma hatuyaelewi?
.unajua maana ya no reform, no election?Chadema hawana uwezo wa kuachana na uchaguzi huu wa 2025
Jinsi unavyotetea mashudu yako..aibuwanawake maslahi wote mahodari kwa kuchepuka!