kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #81
pandisha uzi wako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pandisha uzi wako!
ni mwanachama kwaiyo anaunga mkono kauli ya chamaWewe kafie mbele,timu lissu hawakutambui,eti msimamo wa chama!!
Huyu ni mdogo wangu primary, ni CCM born and breed!.Mariah ni mjumbe wa kamati kuu?
Dayaspora mkuu huyo ndio kiongozi waoMaria Sarungi ni nani ndani ya Chadema mpaka awapangie watu View attachment 3214527
AiseeeMaria Salungi na genge lake la wanasheria wanaenda kuiuwa CHADEMA
Duh sio mchezo, ngoja tuone mwisho wao.Maria alikuwa Kamapeni meneja wake upande wa X na Diaspora
Yeye ndio ana set agenda zote za siasa za X kwa sasa.... wale jamaa wanafanya kaz ya ku like na ku follow tu..
Akiona umekaa sawa anakuita Nairobi kwa training...
Ukiwa na mawazo tofaut na yeye ana ku mute na kukublock...
Ana lawyers wake uchwara hapo wao ni kubeba kila kitu na ku influence wengine wafuate....
TL akikaidi maelekezo yake anageukwa😀😀😀
Very unhappy old woman
Maria Sarungi ndio amekuwa msemaji wa Kamati Kuu? Au nae ni mjumbe?Huu ni msimamo wa Kamati Kuu
Mahakama ipi?Wasusie waone kama uchaguzi hautafanyika, labda wakaweke zuio mahakamani
Afisa Uhamasishaji Mkuu 🙄 ! Au sio ??!Maria Sarungi ni nani ndani ya Chadema mpaka awapangie watu View attachment 3214527
Hawa UWT ni wajinga snBado hujasema na uhakika utasema tu
Na yeye yuko huko? Kamati.kuu inasingiziwa vitu vingi sana 😁😁Huu ni msimamo wa Kamati Kuu
Kwa uchaguzi upi? Huo huo ambao Maria hautaki? Hawa ndio Marai anawakataza na kuwasema.Punguza kamdomo wewe, huyu ni mbunge mtarajiwa,
Mariah ni mhuni mmoja asiye eleweka hapo ukimuuliza atakuambia hana chama!Dayaspora mkuu huyo ndio kiongozi wao