Huyu Maria Sarungi anatoa maagizo haya kwa wanachama, yeye ana cheo gani uko CHADEMA?

Huyu Maria Sarungi anatoa maagizo haya kwa wanachama, yeye ana cheo gani uko CHADEMA?

Hata mimi naweza ku post maneno hayo. Huo ni msimamo wa kamati kuu ya chadema na sasa umeudhinishwa pia na mkutano mkuu wa Chadema.
Si kweli haya ni mambo sarungi anamuamulia lissu na chadema muda si mrefu mtakubali atakapoanza fukuza kwa niaba na matakwa ya mariah nyumba ndogo!
 
Dada Maria kasisistiza tu.
Lissu ile ni nyumba yake ndogo hata ile pesa aliyotoa sativa ilitolewa na mariah kwa kuwaogopa ntobi nyerere na maranja akajificha kwenye kivuli cha sativa!
 
Umeharibu kusema ni mke mdogo, hoja yako ni uwongo, mume wa maria anafahamika
Unachekesha kweli chadema kila mmoja ana hawara wa kando wale viti maalumu hawakuwa na wanaume zao ila wote ni chakula ya viongozi!
 
Utaelewa muda si mrefu maagizo toka nairobi yakiongoza chadema!
Siwezi kutabiri yatakayokuja lakini kwenye hilo unamsingizia, yeye ametoa habari ambayo hata humu ilitolewa. No reform no election kama unafikiria sawasawa inamaanisha kwa sasa mtu asijihangaishe kufikiria kugombea
 
Lissu ile ni nyumba yake ndogo hata ile pesa aliyotoa sativa ilitolewa na mariah kwa kuwaogopa ntobi nyerere na maranja akajificha kwenye kivuli cha sativa!
Kuongea tu hata mimi naweza kuzusha,kama una ushahidi wa ulitoyaongea weka hapa.
 
Siwezi kutabiri yatakayokuja lakini kwenye hilo unamsingizia, yeye ametoa habari ambayo hata humu ilitolewa. No reform no election kama unafikiria sawasawa inamaanisha kwa sasa mtu asijihangaishe kufikiria kugombea
Mariah ashachukua chama chake wewe tulia mzee huu ni wakati wake kuongoza chadema akiwa mafichoni!
 
1001001145.jpg

Nimeona huu ujumbe wa Maria Sarungi anakemea wanaojiunga Chadema. Ana nafasi gani huyu mpaka anatoa msimamo mkali kama huu kwenye mambo ya chama?

Nakumbuka Mbowe alikuwa anasema anataka kukiokoa chama kisichukuliwe na wanaharakati kwa kuwa hajui dhamira yao nini. Inawezekana kuna mambo yapo nyuma hatuyaelewi?
 
Maria alikuwa Kamapeni meneja wake upande wa X na Diaspora

Yeye ndio ana set agenda zote za siasa za X kwa sasa.... wale jamaa wanafanya kaz ya ku like na ku follow tu..

Akiona umekaa sawa anakuita Nairobi kwa training...

Ukiwa na mawazo tofaut na yeye ana ku mute na kukublock...

Ana lawyers wake uchwara hapo wao ni kubeba kila kitu na ku influence wengine wafuate....

TL akikaidi maelekezo yake anageukwa😀😀😀

Very unhappy old woman
 
Hayo ni mawazo yake tu mkuu, hayana amri yoyote.

Ni kama mwashambwa anavyotoaga mawazo yake.
 
Ndio kambeni meneja wa richu. Akikaidi tu. Hata hizo kura milioni moja atazopata hazipati, uvhaguzi mkuu.
 
View attachment 3215101
Nimeona huu ujumbe wa Maria Sarungi anakemea wanaojiunga Chadema. Ana nafasi gani huyu mpaka anatoa msimamo mkali kama huu kwenye mambo ya chama?

Nakumbuka Mbowe alikuwa anasema anataka kukiokoa chama kisichukuliwe na wanaharakati kwa kuwa hajui dhamira yao nini. Inawezekana kuna mambo yapo nyuma hatuyaelewi?
Maria Salungi na genge lake la wanasheria wanaenda kuiuwa CHADEMA
 
Back
Top Bottom