Huyu Maria Sarungi anatoa maagizo haya kwa wanachama, yeye ana cheo gani uko CHADEMA?

Duh sio mchezo, ngoja tuone mwisho wao.
 
Nashauri badala ya kumbeza, yeye na wenzie wapewe nafasi ya kuthibitisha na kuiishi hiyo slogan yao. Labda italeta mafanikio. Kwa vile amesema sio lazima iwe kesho wapewe muda.

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…