Tuttyfruity
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 2,414
- 6,371
Acha kupanic ww Toa K upewe hela. ..
One love
Basi uje kunikumbuka na mimi kunitunuku japo siku moja tu,Sawa mrembo?Hapana mm nikitoa K ni genye tu sio nna shida ya pesa. Kwetu hatuna njaa, nafanya kazi na biashara zangu. Ukinihonga ni kama unamwaga maji baharini hivi. Baba yangu kila nikimtumia msg ya asubuhi njema anantumia vocha. Ili kuniepusha na mafisi kama wewe
Kabla hata ya salamu!Mkuu kunamanzi wanagonga mizinga[emoji2][emoji2][emoji2][emoji57]
Hapa utavuna like zao za kutosha[emoji28][emoji28][emoji28][emoji6]Siku nyingine ujiongeze. Alikuomba hiyo elfu kumi ili atumie kama nauli na pia hata anunue chupi mpya ya kujia gheto kwako. Sio kila mzinga unaopigwa ni kuchunwa zingine ni gharama za maandalizi ya mpambano. Sasa we hujui kuwa alitakiwa kununua chupi mpya 5000, Nauli bodaboda 3000, Shaver ya kunyolea sirini 1500, vocha 500. Hapo mwekundu umeisha na hela yote ametumia kwa ajili ya kuja kukupa papuchi na abakiwi hata na chenji ya kunywa maji ndogo.
Kwa ubahili wako ni nyeto tu ndio inapaswa kuwa starehe yako kuu. Mademu waachie wanaojitambua
By Funzadume
Mzinzi Mstaafu
Mkuu kunamanzi wanagonga mizinga[emoji2][emoji2][emoji2][emoji57]
[emoji23][emoji23]Siku nyingine ujiongeze. Alikuomba hiyo elfu kumi ili atumie kama nauli na pia hata anunue chupi mpya ya kujia gheto kwako. Sio kila mzinga unaopigwa ni kuchunwa zingine ni gharama za maandalizi ya mpambano. Sasa we hujui kuwa alitakiwa kununua chupi mpya 5000, Nauli bodaboda 3000, Shaver ya kunyolea sirini 1500, vocha 500. Hapo mwekundu umeisha na hela yote ametumia kwa ajili ya kuja kukupa papuchi na abakiwi hata na chenji ya kunywa maji ndogo.
Kwa ubahili wako ni nyeto tu ndio inapaswa kuwa starehe yako kuu. Mademu waachie wanaojitambua
By Funzadume
Mzinzi Mstaafu
Tatizo lako ni kushindwa kumsaidia wakati ana shida na kutaka kumsaidia siku akija kukusaidia wewe!!Huyu mdada nlikutana nae kwenye sherehe ya harusi ya ndugu yangu, kuulizia ulizia, nkatambulishwa kuwa alikua ni family friend wa ndugu yangu tena anaishi jirani na mtaa anaoishi ndugu yangu, alinivutia, nikamwomba namba akakubali, tukawa tunachat, tena cku ingine anaanza yeye kunitext , ndani ya siku 4, siku ya 5, nika-set a date akaja, tukakutana kwenye mgahawa mzuri, mm nkaagiza sprite yeye akaagiza juisi, nkamweleza nia yangu, akaonesha kukubaliana na mm, baada ya hapo akanisindikiza..nkasepa
Sasa nkamwambia aje gheto kwangu apajue alisema atakuja baada ya wiki 1, kabla ya hio siku ya yeye kuja gheto kufika, akanitext akaniambia ana shida ya tsh elf 10 nimtumie, nkamwambia asijali, akija gheto ntampa zaidi ya hiyo tsh elf 10, akasema hapana anaihitaji kwa muda huo, nkamwambia akope sehemu ingine akija gheto hata tsh elf 40 ntampa na nauli ntamrudishia Mara mbili yake..kiuhalisia mm uwezo wa kumpa hata tsh elf 70 nlikuwa nao, Akasema haya..
Tangu siku hiyo alinichunia, SMS zangu hakujibu tena, simu zangu hapokei, na gheto hakuja tena sasa wazee mm kosa langu lilikuwa nn hapo, maana hata nlivomtongoza nlienda kawaida, sikujifanya Nina hela..
Ndhani huyu jamaa ni mtu asiyejiamini,ni mtu anayeishi kwa mashaka mashaka sana!Bahili sana huyu!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Angeenda angeambulia 5000 ya nauli na mitiiiUzi tayari.
[emoji57] kuna wanaume wako cheap!!!! Eti hadi elfu 70..........
Inaonekana ni hela ulibakiza ya kununua madaftari
[emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210] povu
Huyu mdada nlikutana nae kwenye sherehe ya harusi ya ndugu yangu, kuulizia ulizia, nkatambulishwa kuwa alikua ni family friend wa ndugu yangu tena anaishi jirani na mtaa anaoishi ndugu yangu, alinivutia, nikamwomba namba akakubali, tukawa tunachat, tena cku ingine anaanza yeye kunitext , ndani ya siku 4, siku ya 5, nika-set a date akaja, tukakutana kwenye mgahawa mzuri, mm nkaagiza sprite yeye akaagiza juisi, nkamweleza nia yangu, akaonesha kukubaliana na mm, baada ya hapo akanisindikiza..nkasepa
Sasa nkamwambia aje gheto kwangu apajue alisema atakuja baada ya wiki 1, kabla ya hio siku ya yeye kuja gheto kufika, akanitext akaniambia ana shida ya tsh elf 10 nimtumie, nkamwambia asijali, akija gheto ntampa zaidi ya hiyo tsh elf 10, akasema hapana anaihitaji kwa muda huo, nkamwambia akope sehemu ingine akija gheto hata tsh elf 40 ntampa na nauli ntamrudishia Mara mbili yake..kiuhalisia mm uwezo wa kumpa hata tsh elf 70 nlikuwa nao, Akasema haya..
Tangu siku hiyo alinichunia, SMS zangu hakujibu tena, simu zangu hapokei, na gheto hakuja tena sasa wazee mm kosa langu lilikuwa nn hapo, maana hata nlivomtongoza nlienda kawaida, sikujifanya Nina hela..