Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Acha wawe hivyo hivyo. Ni mpango wa Mungu. Vinginevyo wataanza kuwalenga akina Lissu, Heche, Mbowe... Hao wanaonekana kuwa maadui wao wakubwa kuliko magaidi halisi. Yule wa jana eti wanamwita mhalifu halafu Mbowe eti gaidi!
Kuna haja ya jeshi letu kuunda kikosi cha marksman Mahiri na kuwamotisha!