Huyu mke nafaa kuoa kweli?

Hapo mwamba anajiona kaandika bonge moja la uzi ana point [emoji16][emoji16]

Mimi ni sio muumini wa ndoa ni heartless mzee wa hit and run nikwambie tu

Mwanangu umetoa boko
 
Sasa huna cha kushauri kivipi tena mrembo? Wenye ndoa zao kwani wee mrembo hujaolewa?
Bwana haya mambo watu wanataka tuu kujidanganya....mwanamke ana matamanio ya kibinadamu mambo ya kugegedwa na handsome man nayo wanatamani.
Kwanza alitka agundue nn kwenda kumuuliza hayo mambo
 
Sasa unataka ushauri gani?

Umekaa na mtu miaka 11, ushamchakaza vya kila namna alafu umuache unamuachia nani??

Kaa na mkeo aisee,, samehe na mkanye.. malizieni uzee wenu eboo
Kabisa wakabariki ndoa yaishe tu
 
Dada wa watu alikuwa ziwa saa sita sahiz limekuwa ndala anatka amuachie nani 😂😂😂
 
Nilichogundua watanzani sijui ni stress za maisha au ni elimu unacomment kitu kwa mihemko huku hujaelewa ndio nini soma kitu uelew kwanza mshikaji kasema ameishi na mkew miaka 11 mwaka 8 na 9 wakiwa pamoja mwanamke ndio kachepuka
 
Kwana na wewe hapo unaingia kwenye idadi ya wanaume aliotembea nao kwa sababu hujamuoa na wala we sio mme wake

Hivyo basi ulikuwa uko kwenye usaili namwenzio ajiridhishe kwa nini uwe mme wake.

Ushauri muoe tuu ili apate ulinzi wa Mungu wake

Habari za kuchepuka kwa karne hii sio za kuzipa kipaumbele.

Kwa miaka ya mbeleni hapo waume mtalazima kuangalia jee mkeo kalala bdani basi? Habari ya anatembea na furani hiyo haitakuwa haki yenu teeena. Ndio maana unaona wanajiimalisha kwa kila nyanja

Make we umeambiwa tuu na umeamua kuyachokonoa yasiyokuhusu
 
Umenikumbusha bwana nilikuwa na mdigo wangu yaani tulikubaliana kabisa we just sexmates, loh siku ya siku nikaja gundua amegegedwa duh siku hiyo sikulala mzeya maana nawaza haya mauno ya kidigo jamaa nae anapewa...iliuma sana jamani acheni tuu
Huo ni ubinafsi aseeeeee

Yani nimecheka kwa sauti asee
 
Umenikumbusha bwana nilikuwa na mdigo wangu yaani tulikubaliana kabisa we just sexmates, loh siku ya siku nikaja gundua amegegedwa duh siku hiyo sikulala mzeya maana nawaza haya mauno ya kidigo jamaa nae anapewa...iliuma sana jamani acheni tuu
😂Polesana ukakumbuka ilichomoka akairudisha😁😁😁
 
Akili zako siyo nzuri
 
Cha pekeyako ni kaburi mzee😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…