π π π π πhuyo mwanamke nae falaaa.. huwezi nitajia wanaume 9 kizembee tuuuKichwa cha habari kimenichanganya..ila kuwa na wanaume 9 ndani ya ndoa sijui ndo long term relationship napo kipengele.
Kila mtu ashinde mechi zake
AlikuwezaπYaani moyo unauma usingizi hauji basi balaa..alafu siku inayofuata nilikuwa na safari basi ndio kabisaaa...mpaka wale nilikuwa nasafiri nao wananiuliza leo mzabzab haupo sawa mie nazuga tuu naumwa π€£π€£π€£π€£ kumbe mbususu inanisumbua kichwa
Mimi ushauri wangu utajikita kwenye hii sentensi moja tuu....nitafute hata mgumba ataependa watoto wangu nifunge nae ndoa tu...
Elewa maada mezani.Yani mke wako unaazaje kumuuliza mambo ya kuwa nani alimkula kabla hujamuoa??? una matatizo ya akili wewe alafu ikusaidie nini??? kwani wewe umekula wangapi kabla yake na ubaya umemla rafiki yake wakati mshafunga na ndoa tayari acha UJINGA.. wanawake sio malaika nao ni watu
wameishi miaka 9 ila miaka mi3 nyuma mwanamke kaliwaaa... story alipewa mwaka juzi jamaa analeta mashta leo hapo ashamzalisha watoto watatu. bado haina maana kuleta mashtaka leoElewa maada mezani.
Hao wanaume ametembea nao akiwa tayari anaishi na mshikaji.
Na sio kabla.
Yani tuseme wewe uishi na mkeo miaka 10, halafu uje ugundue ndani ya hiyo miaka mmeishi wote, ameshagongwa na wanaume si chini ya sita.
Achana nae,maana unaaibika mbele za watu mtaani na wanakuona wewe siyo Mwanaume ila ni mtoto wa kiumeNina mke wangu tunaishi wote mwaka wa kumi na moja Sasa (hatujafunga ndoa lakini,kwasababu zangu maalumu)huyu binti nilifahamiana nae akiwa chuo cha ushirika Moshi.tuna watoto watatu..Sasa mwaka juzi kuna rafiki yake nlikutana nae nje ya mkoa tunaoishi,kama zali tu.tukapiga story mbili tatu vinywaji vya hapa na pale..mara nikaanza kumdadisi kuhusu rafiki yake.(ambae ni mke wangu)Shemu akafunguka..akanitajia wanaume ambao mke wangu alishatembea nae..me nikafanya kama simind hivi,ili aendelee kushusha maelezo..nikamezea..nikakatisha story.tukaendelea na story zingine..hapo hapo nikachomekea na mm nikaenda kumpiga shooo..(ila siyo dhumuni la mada hii.kula tunda kimasihara)nilivyorudi home nikamkalisha wife chini,nikamuuliza kumbe ulishatembea na flani na flani?akakata kaata lakini mwisho wa siku akakubali..nakamwambia kama unataka nikusamehe,niambie watu wote ambao umeshatembea nao..duuu..alinitajia zaidi ya wanaume tisa hivi. Mpaka wengine ni Rafiki zangu,wengine wanaishi mtaani kabisa..ila anasema ni miaka miwili mitatu nyuma..haya mazungumzo ni miaka mitatu iliyo pita lakini..na hicho ndicho kinanifanya nishindwe kurudi nae kundini..nikifikiria ndani ya miaka sita saba mwanaume najidai kidume,namwamini mke wangu kumbe keshatembea na watu wote hao..na ukimwona nikapole kweli..kabila ni machame..Sasa naombeni ushauri huyu mwanamke mzazi mwenzangu anafaa kuendelea kuishi nae nakurudi nae kundini ili tukae vizuri kwenye dini...kwamm nafikiri nisubiri watoto wakue(wako primary wote)then Kila mtu aendelee na hamsini zake..nitafute hata mgumba ataependa watoto wangu nifunge nae ndo tu...nikifikiria huyu mwanamke ni nyoka..watu wote hao sikujuaga hata mmoja?? naombeni ushauri wakuu.
We jamaa, hamna mtu apo karibu akupige kibao ntakuja kumlipa!Nina mke wangu tunaishi wote mwaka wa kumi na moja Sasa (hatujafunga ndoa lakini,kwasababu zangu maalumu)huyu binti nilifahamiana nae akiwa chuo cha ushirika Moshi.tuna watoto watatu..Sasa mwaka juzi kuna rafiki yake nlikutana nae nje ya mkoa tunaoishi,kama zali tu.tukapiga story mbili tatu vinywaji vya hapa na pale..mara nikaanza kumdadisi kuhusu rafiki yake.(ambae ni mke wangu)Shemu akafunguka..akanitajia wanaume ambao mke wangu alishatembea nae..me nikafanya kama simind hivi,ili aendelee kushusha maelezo..nikamezea..nikakatisha story.tukaendelea na story zingine..hapo hapo nikachomekea na mm nikaenda kumpiga shooo..(ila siyo dhumuni la mada hii.kula tunda kimasihara)nilivyorudi home nikamkalisha wife chini,nikamuuliza kumbe ulishatembea na flani na flani?akakata kaata lakini mwisho wa siku akakubali..nakamwambia kama unataka nikusamehe,niambie watu wote ambao umeshatembea nao..duuu..alinitajia zaidi ya wanaume tisa hivi. Mpaka wengine ni Rafiki zangu,wengine wanaishi mtaani kabisa..ila anasema ni miaka miwili mitatu nyuma..haya mazungumzo ni miaka mitatu iliyo pita lakini..na hicho ndicho kinanifanya nishindwe kurudi nae kundini..nikifikiria ndani ya miaka sita saba mwanaume najidai kidume,namwamini mke wangu kumbe keshatembea na watu wote hao..na ukimwona nikapole kweli..kabila ni machame..Sasa naombeni ushauri huyu mwanamke mzazi mwenzangu anafaa kuendelea kuishi nae nakurudi nae kundini ili tukae vizuri kwenye dini...kwamm nafikiri nisubiri watoto wakue(wako primary wote)then Kila mtu aendelee na hamsini zake..nitafute hata mgumba ataependa watoto wangu nifunge nae ndo tu...nikifikiria huyu mwanamke ni nyoka..watu wote hao sikujuaga hata mmoja?? naombeni ushauri wakuu.
Vipi bado uko nae mdigo wako??? πππ Au ndio bwana alitoa na bwana ametwaa?Kweli mzeya ni ubinafsi na mie ndio nilikuwa mstari wa mbele oh am not a one woman man so wee tugegedane na wee upo free kugegedwa na wanaume wengine.
Bwana bwana siku ya siku tunapiga stoey ananielezea jinsi alivyogegedana na jamaa....aise usiku sikulala yaani huyu mdigo wangu anaenda kutoa uno lile kwa mwanaume mwengine. Aisee hii kitu acha tuu.
Huu mchezo hauhitaji hasira. Mwanaume kugongewa ni zaidi ya death sentenceNimecheka kama kichaa
Alikuwepo jamaa alikuwa akichepuka anarekodi kwa siri anamletea demu wake
Bwana siku moja yule demu akaenda kuchakatwa na yeye akarekodi kumlingishia bwanaake
Kilichotokea tuu mimi mpaka leo ni msimamizi wa mirathi aseee
Ah aliolewa bwana...maana aliona huyu mzabzab mwenyewe haeleweki.Vipi bado uko nae mdigo wako??? πππ Au ndio bwana alitoa na bwana ametwaa?
Hahahah kwahio kale kazoezi ka kuwasha microwave kanaendelea vyema bila shaka.πππAh aliolewa bwana...maana aliona huyu mzabzab mwenyewe haeleweki.
Ila dah she knows how to satisfy a man acha kabisa.
Ah wapi nilishapigwa kibuti nabaki kukumbuka uno tuu. Anyways it was magical while it lastedHahahah kwahio kale kazoezi ka kuwasha microwave kanaendelea vyema bila shaka.πππ
Naongezea, eboooo!Sasa unataka ushauri gani?
Umekaa na mtu miaka 11, ushamchakaza vya kila namna alafu umuache unamuachia nani??
Kaa na mkeo aisee,, samehe na mkanye.. malizieni uzee wenu eboo
Kuwa mke ni heshima hatujui tu
Maanayake mtu kaweka rehani maishayake mwanamke akiwa mbaya anaweza kukuharibia kilakitu akikuroga haukwepi akiamua akuue ni dakika sabbu upo nae ndani Akiamua uwe mwanaume wa ovyo ni dakika tu maisha yanakubadilikia hivo kuwa na wasiwas juu ya maishayake sidhani km ni tatizo
Japo Sina Cha kumshauri wenye ndoa zao waje wazungumze