Huyu mteja kaniacha na maswali lukuki

Hahahahaha namshukuru nimeiwahisha humu kidogo nimepata nondo
 
Uwiii aisee
 
Hadi hapa ushapata jibu kwamba huna haja ya kusikiza habari zake...wala kufuata maagizo yake...
Amina..Bado namuamini Mungu ....Sasa ninamfunga asikanyage tena Kwa jina la yesu....
nilianza na Mungu na nipo na Mungu mpaka Sasa
Huwa usiku usingizi ukipaa natumia muda mwingi sana kusali.
Kusalia biashara yangu Huwa inanilia muda mwingi zaidi..
Kuna siku nilikua saluni Kuna mdada alipandiaha mapepo yaani Ile ishubnilishaisahau lakini Leo nimwikumbuka..maana dizaini flani tungeongeza hata dakika 1 yule alikua anapandisha
 
Kwani we biashara yako ilikuwa haendi. Maana isije kuwa anakuset utaanza chukua dawa kila uchwao
Nikwambie to be honest ni seasonal Kuna kipimdi utafunga hesabu kubwa Kuna kipimdi kawaida ila namshukuru Mungu kwani sio haba...ninapata sana.
Ila kutokea ndani ya moyo wangu huyu dada namuona sio tapeli...ila ni kweli atakua ana hao wadudu.
Maana sawa ni tapeli why asisimke mwili hivyo na Mimi nikawa napata reaction...
Hivi tuambiane TU ukweli mpaka vipele vimemsimama hivi jamani...
Shida ni nini?
 
Mkuu tapeli huwa anakumanipulate akili anacheza na akili yako unaanza kuona ukweli hata kama haupo. Tapeli anaweza kukufanya uone hadi wachawi wakati hawapo.
Shida ya haya mambo ukiyaanza humalizi. Hapa ukianza kuroga na kuzindika utazindika milele daima hakunaga mwisho
 
Akwepe huu mtego kwa kweli.
Huenda ni chuma ulete anataka aanze kuzichuma mpaka duka life mazima.
 
Najua mpenzi......mambo ya kishetani hii stir hata aiwez mpigianmume wangu maana atanishangaa....namshuhudia sana Mungu kwenye maisha yangu...siwezi hata wazazi huo upande mwingine...
Ila Sasa mtu anakumanipulate vip mpaka unasiskmka?
Walahi ni next level
 
Mkuu kama watu wanaweza manipuoate watu hadi ukaenda mwenyewe atm ukatoa pesa ukawapa pasipo kujitambua, kila kitu kinawezekana.
 
Anacheza na akili yake na design kampata. Akimruhusu na hizo dawa zake basi
Kanitext hapa kwamba kafika ...nablue tick afubnamuignore alafu nitamblok...
Sasa akija dukani sijui nitamtizamaje
 
Mkuu kama watu wanaweza manipuoate watu hadi ukaenda mwenyewe atm ukatoa pesa ukawapa pasipo kujitambua, kila kitu kinawezekana.
Ila mwishoni alisema dah nipe TU niondoke mama najisikia vibaya mnoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…