Heri nusu shari kuliko shari kamili. Kama biashara zako zinaenda siku nyingine wafumha hesabu juu siku nyingine kawaida, pesa haipotei huyu usikubali akuletee mauza uza yake. Hapo itakuwa mwanzo wa mabalaaKanitext hapa kwamba kafika ...nablue tick afubnamuignore alafu nitamblok...
Sasa akija dukani sijui nitamtizamaje
Sema kweli? Acha masiharaNimesoma hapa nimepata hivyo vipele π
Mikwara hiyo labda kakukuta ww ndo mwenye upakoIla mwishoni alisema dah nipe TU niondoke mama najisikia vibaya mnoo
Sure πSema kweli? Acha masihara
Sipo vizuri kwenye maombi ila Mungu huyu namuona sana maishani mwangi yaani nimemshuhudia live katika maisha yangu...so Huwa nasaligi sana usiku hata lisaaaMikwara hiyo labda kakukuta ww ndo mwenye upako
Achana naye huyo usje beba madude ambayo huyafahamu.Sipo vizuri kwenye maombi ila Mungu huyu namuona sana maishani mwangi yaani nimemshuhudia live katika maisha yangu...so Huwa nasaligi sana usiku hata lisaaa
Ongea ukweli ahahha famasiala weweSure π
Yap usimpigie simu kabisa, na ukitaka kujua ni tapeli atarudi tena kujifanya ananunua bidhaa alafu atakuuliza why hujampigia simu πNajua mpenzi......mambo ya kishetani hii stir hata aiwez mpigianmume wangu maana atanishangaa....namshuhudia sana Mungu kwenye maisha yangu...siwezi hata wazazi huo upande mwingine...
Ila Sasa mtu anakumanipulate vip mpaka unasiskmka?
Walahi ni next level
Kweli sidanganyiOngea ukweli ahahha famasiala wewe
DuuuhHapana hakunishika.....na amenunua na amelipia...yeye anasisimka namuona na Mimi nasisimka
Ana asili ya arabuni...mumewe na muarabu pure...maana nilikua nampa ushauri namba ya kufanya kazi yake kulingana na vifaa anavyochukua kwangu akasema mume wake anamsaidiaga watoto anavyokuaga anaefanya hizo shuhuli..Achana naye huyo usje beba madude ambayo huyafahamu.
Aisee...au mawazo TU...ila alivyoondoka nilivuta hisia ila hazikuja tenaKweli sidanganyi
Endelea kuwa amkarimu ila uishie kwenye biashara usiruhusu watu wajikute mnajuana sana.Ana asili ya arabuni...mumewe na muarabu pure...maana nilikua nampa ushauri namba ya kufanya kazi yake kulingana na vifaa anavyochukua kwangu akasema mume wake anamsaidiaga watoto anavyokuaga anaefanya hizo shuhuli..
Nikamuuliza kabila Gani akasema muarabu. Eeeee nga koochokaaa,sema nini nimezidi ukarimu mno Kwa wateja.
Ila ndo Nina wawini hapo maana wanakuja na kusema jinsi wakienda maduka mengine ambavyo hawasikilizwi.
Sasa sijui nifanyaje
Ngoja nimchore...uzuri nishapewa nondo hapaYap usimpigie simu kabisa, na ukitaka kujua ni tapeli atarudi tena kujifanya ananunua bidhaa alafu atakuuliza why hujampigia simu π
Ni kweli na hakikaHeri nusu shari kuliko shari kamili. Kama biashara zako zinaenda siku nyingine wafumha hesabu juu siku nyingine kawaida, pesa haipotei huyu usikubali akuletee mauza uza yake. Hapo itakuwa mwanzo wa mabalaa
Yaani hatari sana.leo nimepata lesson kubwa sana aisee.Endelea kuwa amkarimu ila uishie kwenye biashara usiruhusu watu wajikute mnajuana sana.
Na akija mtu mwingine mwenye story hizo ujue ni mwenzake wako pamoja πNgoja nimchore...uzuri nishapewa nondo hapa
Ni kama kupiga miayo mwenzako akipiga ukamuona na wewe utapiga tu πAisee...au mawazo TU...ila alivyoondoka nilivuta hisia ila hazikuja tena