Nimekuja spidi kuicheki hyo Pisi kumbe ni full editing š”Kama umewahi kupanda ndege bila shaka umewaona wahudumu wa mle ndani huitwa air hostess basi na mabasi nao sikuhizi wameweka bus hostess.
Huyu binti mdogo anaehudumu kwenye basi ametokea kuwa maarufu sana kwa mitandaoni watu wakivutiwa zaidi na urembo wake na jinsi alivyo overall, abiria wengine hukata tiketi ya basi kwa kigezo tu basi liwe na huyu binti.
Kwa sasa yupo kwenye mabasi ya BM, hii ni baada ya BM kumpa ofa nono zaidi kuliko alikotoka.
Ila swali linaloumiza vichwa ni kwamba, nani anaimiliki hii mali ?
View attachment 2695556
View attachment 2695550
View attachment 2695551
View attachment 2695553
kama Mwachiluwi tuMwanamke ukishakuwa mfupi, urembo unautoa wapi?
Kwahiyo mimi mrembo tena?kama Mwachiluwi tu
Huyu demu ana SURA NZURI Ila kumuita mrembo Hadi kumfungulia Uzi ni dharau Kwa waremboKama umewahi kupanda ndege bila shaka umewaona wahudumu wa mle ndani huitwa air hostess basi na mabasi nao sikuhizi wameweka bus hostess.
Huyu binti mdogo anaehudumu kwenye basi ametokea kuwa maarufu sana kwa mitandaoni watu wakivutiwa zaidi na urembo wake na jinsi alivyo overall, abiria wengine hukata tiketi ya basi kwa kigezo tu basi liwe na huyu binti.
Kwa sasa yupo kwenye mabasi ya BM, hii ni baada ya BM kumpa ofa nono zaidi kuliko alikotoka.
Ila swali linaloumiza vichwa ni kwamba, nani anaimiliki hii mali ?
View attachment 2695556
View attachment 2695550
View attachment 2695551
View attachment 2695553
Ungepinga hoja yake bila kumuattack mtu....Kama huoni urembo hapo jijue una tatizo
Yani wewe jamaa tangu uposti kwamba ukoo wenu mzima wewe ndio umeajiriwa serikalini basi unajikuta mjuaji [emoji1787] [emoji1787]
Alafu huwa unaposti sana kutowapa wanawake hela, inaelekea ulipigwa na kitu kizito [emoji1787]
Katika ukoo wetu mimi ndiye wa kwanza kuwa mwajiriwa wa serikali, jifunze kitu hapa
Kulikuwa na minong'ono kuwa ndugu yetu mkubwa ni mchawi na ana roho ya wivu. Mafanikio anataka yawepo ndani kwake tu. Wengine walikuwa mpaka wanakuwa wa kwanza kiwilaya katika mitihani ya dhihaki (mock) darasa la saba. Ikifika mitihani ya taifa wenzake aliyowaburuza darasani wanapangiwa Mzumbe...www.jamiiforums.com
Urembo upo kwenye macho ya mtazamaji.Kwa upumbavu huu mtachunwa mpaka mufe.
Urembo uko wapi hapo?
Kwani air hostess wa ndege Wana kazi gani zaidi ya kudemostrate jinsi ya kujiokoaHiyo kaz ya kuweka wadada kwenye gar sielewag maana yake due to the fact that hawana kaz zaid ya kutangaza vituo
Hata mizugo hawapakii kwenye gar
Huyo kama mrembo inabidi nikazane kula mchicha sana na karotiš¤£
yeelewiii ni nini hiki naona na mossimo ya mchina meru.Cream zitamuuaView attachment 2695530
Inasaidia kuimarisha afya ya machoInasaidia nini hayo makitu? Au inakuwa Show Show MANDONGA MTU KAZI?