Huyu muhudumu wa kaunta ni kama ananimezea mate

Huyu muhudumu wa kaunta ni kama ananimezea mate

Msogeze karibu uwe kama unamnong'oneza kisha mpige mate
Una akili kama zangu ndo mambo yangu hayo kuna kaunta nishawahi kumpiga mashine ofisini kwake hapo hapo. Alafanya tu kufunga milango kwa ndani ili kwa nje paonekane pamefungwa kumbe ndani mtu kainamishwa kwenye sofa la humo ndani huku mziki wa blues unapiga mdogo mdogo. It was so fantastic. Yule manzi ananipendaga mpaka leo.
 
Watch your thoughts bro.

⚠️⚠️⚠️⚠️


25d5b815b278a6fd3fd420528801801e.jpg
 
Nimetimba kwenye ka liquor store flani mida ya saa 12 jioni nime wakuta majamaa watatu wamezungusha serengeti lite kaunta nzima, nikawapa hi alafu nikaongea na dada wa kaunta anipe valeur kubwa alafu kimyaaa. Muda huu imeisha hawa Majamaa wanabishana mambo ya ligi ya uingereza nimeagiza tena valdur ndogo ndo naifungua hapa, nikamuuliza dada wa kaunta vip una kiberiti? Akasema kipo ila kina njiti moja.. Nikamwambia nipe... Sasa nipo pembeni kidgo na puff some huku tunapigana eye contact na dada wa kaunta, anakuwa kama anataka kutabasam hivi ila hatabasam na analegeza macho kama ananipa ishara flani hivi. Atakuwa ni muumini wa show za kibabe huyu sasa we ngoja.
SUBIRINI MUONE

SUBIRINI MUONE
 
Back
Top Bottom