Huyu Mwafrika mwenzetu "anatisha", anaongea maneno mazito sana kuhusu ujinga wa Waafrika

Mpuuzi wewe huna kampuni wala nini huko kote ulipotaja wala hakuna upuuzi kama huo ! Hayo ni mashauzi tuu pumbafu zako! Unajifanya consultants unajua nini kuhusu biashara pimbi wewe! Usitake nikufumue fumue mjinga wewe! Jitu hata kuandika haliwezi sasa huo ushauri huwa unautoa kwa kupitia haja ndogo au kubwa kima wewe!
 
Utaumia sana, na bado. Huyo ndio FF, ukipenda tafuta, hukupenda wacha.

Ushauri hapewi poyoyo kama wewe, wewe ni wa kufundishwa siyo kushauriwa. Wapo wa kushauriwa; Hutoweza kufika calibre hiyo hivi karibuni. Wewe upige goti nikufundishe namna ya kujifundisha.


Huwa sikisii, unataka nikupe somo la spelling kidogo?
 
Ji
Jinga jinga wewe! Hv unadhani hapa Jf wote ni wana mtindio na taahira ya akili kama wewe! Boya Kiazi Burukenge
 
Kumbe sasa na wewe unajua kuna edit ! Well & Good
Ulinifundisha wewe. Umesahau? Nilikwambia mimi ni mwanafunzi daima. Siyo kama nyie ambao Dhahabu Nyeusi anawaita "Waafrika wajinga", mnajifanya mnajuwaa kumbe hamna mjuwalo. Mi ujinga tu. Jiangalie, bofya chini hapo:

 
Hivi ukipenda kitu unakuwa na chongo hata usione ee?
 
Ila huyu bibi mbona anachukiwa hivi shida ni yy kujifanya mjuaji ilihali ni bogus ...ama kutoupenda uafrika wake na kushobokea waarabu walio toboa spika yake huko nyuma.[emoji1787][emoji1787]
 
Hivi ukipenda kitu unakuwa na chongo hata usione ee?
Napenda ukweli, sijawahi kuufungia macho ukweli nikaukumbatia uongo. Uislam haunirusu.


qur'an 17: 81. Na sema: Kweli imefika, na uwongo umetoweka. Hakika uwongo lazima utoweke! 81
 
Hivi miaka zaidi ya 60 tangu tujitawale bado tu tunawalaumu Wakoloni wa kizungu na kiarabu kuhusu kufikiri kwetu?
FaizaFoxy ?
 
Hivi miaka zaidi ya 60 tangu tujitawale bado tu tunawalaumu Wakoloni wa kizungu na kiarabu kuhusu kufikiri kwetu?
FaizaFoxy ?
Nani anawalaumu? Msikilize vizuri Dhahabu Nyeusi. Anawalaumu Waafrika hamlaumu Mwaarabu wala mzungu.
 
Anamaanisha ndiyo ujinga tulionao, kuwaona wakoloni ndiyo kila kitu kwetu.
Wengine wanaona wakoloni Wazungu ni bora kuliko wakoloni Waarabu (Ingawa wengi hawapendi kuwaita waarabu ni wakoloni).

Siku hizi kuna mashindano ya kugombea Urusi ama Marekani ipi Bora!! Hapo tumelogwa??
 
Huu ulioandika siyo ujinga, ni UPUMBA.VU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…