Huyu mwanadada mdogo ila tajiri sana, ulevi wake upo katika ujenzi wa majumba

Huyu mwanadada mdogo ila tajiri sana, ulevi wake upo katika ujenzi wa majumba

Wengi huwa tunaangalia matokeo tu; hatuangalii ule mchakato ulioleta hayo matokeo.
Pesa inaweza kwenda kwa mtu yeyote yule, ni sawa na mtoto wa miaka 5 aokote begi la hela la bilioni 10; matokeo yake tutakuwa tunasifu mtoto mdogo ana hela nyingi n.k
Mleta mada, unatakiwa utueleze, alivyoanza kudunduliza mpaka akapata hizo hela na hatimaye kufanya hivyo vitu; hapo mada ingekuwa imekamilika vizuri.​
Acha ujinga wewee kudunduliza? Usikute mwamposa kapewa Linda hapo katoa sadaka za mwezi mzima na udenda juu
 
Eeenh sasa kishamuharibia Apostle

Video Vixen aliyetumia fursa vizuri , hawa maslay queen wanakuwa waongo sana ,hivi kwa akili ya kawaida binti kama huyo below 30s amiliki mijengo ya maana mitatu kwa nguvu zake? Naye Basilisa EATV anaingia kichwa kichwa kumpa airtime na kupotosha umma.

Binti anawezeshwa na Aposto halafu wanakuja kuwapa pressure mabinti wanaohustle kwa nguvu zao kitaani.

Ndiyo maana mimi hawa wanaojiita manabii sijui mitume huwa siwaamini 100% ,wengi ni matapeli na wapigaji ,hivi mtu kama Gwajima ,Mwamposa,Mzee wa upako,mwingira unaenda kabisa kumpa sadaka zako?

-Gwajima Mkono wa baunsa akimla Kondoo
-Mwamposa aliacha mke ,anazaa na wadangaji -video vixen
-Mzee wa Upako - Mlevi wa Konyagi ,anatukana hovyo hovyo
-Mwingira amezaa na mke wa mtu.
 
Video Vixen aliyetumia fursa vizuri , hawa maslay queen wanakuwa waongo sana ,hivi kwa akili ya kawaida binti kama huyo below 30s amiliki mijengo ya maana mitatu kwa nguvu zake? Naye Basilisa EATV anaingia kichwa kichwa kumpa airtime na kupotosha umma.

Binti anawezeshwa na Aposto halafu wanakuja kuwapa pressure mabinti wanaohustle kwa nguvu zao kitaani.

Ndiyo maana mimi hawa wanaojiita manabii sijui mitume huwa siwaamini 100% ,wengi ni matapeli na wapigaji ,hivi mtu kama Gwajima ,Mwamposa,Mzee wa upako,mwingira unaenda kabisa kumpa sadaka zako?

-Gwajima Mkono wa baunsa akimla Kondoo
-Mwamposa aliacha mke ,anazaa na wadangaji -video vixen
-Mzee wa Upako - Mlevi wa Konyagi ,anatukana hovyo hovyo
-Mwingira amezaa na mke wa mtu.
Uko sahihì, niliona tangazo nikasema huyu binti anafanya kazi gani? Ila binti naona kavimbiwa kaamua aje front kutuonyesha yeye nae yupo. Na anataka kujulikana yupo the boss lady in town. Ameshindwa kabisa kuishi kimya kimya aendelee kula sadaka zetu za kujimaliza kimya kimya mpk tumjue yeye nani? Haya sasa tumeshamjua badala watu wajadili jumba lake na yeye watu tuatafuta source of income yake na inatuuma sisi watoa sadaka ujue.
 
Uko sahihì, niliona tangazo nikasema huyu binti anafanya kazi gani? Ila binti naona kavimbiwa kaamua aje front kutuonyesha yeye nae yupo. Na anataka kujulikana yupo the boss lady in town. Ameshindwa kabisa kuishi kimya kimya aendelee kula sadaka zetu za kujimaliza kimya kimya mpk tumjue yeye nani? Haya sasa tumeshamjua badala watu wajadili jumba lake na yeye watu tuatafuta source of income yake na inatuuma sisi watoa sadaka ujue.
Najuta kuuleta huu Uzi humu, ningejua haya nisingeuleta.
 
Wadogo zetu wakike wakitizama wanakuwa wanyonge kumbe hawajui mafanikio yake ni nguvu ya K na maslay queen huku kwenye radio ukiwasikiliza,unaweza ukasema J Lo huyu hapa,mara aseme kavaa mil 2,mara analipa kodi kwa mwaka mil 50+,blaaaha blaah.

Ndio maana dunia ya leo jifundishe sana kusali na kusoma kitabu cha Mungu wewe mwenyewe, husiwe mtumwa wa kiongozi yoyote yule wa dini.
 
Wadogo zetu wakike wakitizama wanakuwa wanyonge kumbe hawajui mafanikio yake ni nguvu ya K na maslay queen huku kwenye radio ukiwasikiliza,unaweza ukasema J Lo huyu hapa,mara aseme kavaa mil 2,mara analipa kodi kwa mwaka mil 50+,blaaaha blaah.

Ndio maana dunia ya leo jifundishe sana kusali na kusoma kitabu cha Mungu wewe mwenyewe, husiwe mtumwa wa kiongozi yoyote yule wa dini.
Kwakweli hasa kwa sie tuliovuka 25+ unajiona umechelewa kweli,usipo kuwa makini unajiingiza kwenye mkumbo
 
Back
Top Bottom