Huyu mwanadada mdogo ila tajiri sana, ulevi wake upo katika ujenzi wa majumba

Huyu mwanadada mdogo ila tajiri sana, ulevi wake upo katika ujenzi wa majumba

Uko sahihì, niliona tangazo nikasema huyu binti anafanya kazi gani? Ila binti naona kavimbiwa kaamua aje front kutuonyesha yeye nae yupo. Na anataka kujulikana yupo the boss lady in town. Ameshindwa kabisa kuishi kimya kimya aendelee kula sadaka zetu za kujimaliza kimya kimya mpk tumjue yeye nani? Haya sasa tumeshamjua badala watu wajadili jumba lake na yeye watu tuatafuta source of income yake na inatuuma sisi watoa sadaka ujue.

Na inaonekana amemshika sana APOSTO ndiyo maana Nabii anatoa tu mipunga kumjengea majumba BINTI ili asjie kumwaga mtama kwenye njiwa wengi.

Ma Bosslady ,Maslay queen hawawezi kuwa low profile hata kidogo ,watafanya ma promo kwa ajili ya kuwarusha roho mademu wenzao....APosto sijui ilikuwaje akajichanganya kwa mdangaji demu wa wasanii video vixen.
 
Na inaonekana amemshika sana APOSTO ndiyo maana Nabii anatoa tu mipunga kumjengea majumba BINTI ili asjie kumwaga mtama kwenye njiwa wengi.

Ma Bosslady ,Maslay queen hawawezi kuwa low profile hata kidogo ,watafanya ma promo kwa ajili ya kuwarusha roho mademu wenzao....APosto sijui ilikuwaje akajichanganya kwa mdangaji demu wa wasanii video vixen.
Wanawake wote wazuri Dar es salaam hajawaona akaangukia kwa huyu? Huyu dada ana nini mbona sura ya kawaida tu?
 
Wanawake wote wazuri Dar es salaam hajawaona akaangukia kwa huyu? Huyu dada ana nini mbona sura ya kawaida tu?

Wanawake micharuko huwa wana nafasi kubwa sana ya kupata wanaume wenye maisha.

Sababu kuu ni wazoefu wanajua mwanaume anataka nini.. hivyo hawana mapozi ya kijinga jinga.. na mwanaume wanamteka kwa kumpa heshima na amani.

Wanaume wanachohitaji kwa mwanamke ni sex, amani na heshima.

Wanawake wanaoonekana wastaarabu huwa wanashindwa kuprovide hivyo vitu vitatu bila mabishano bishano na kupotezeana muda.

Kutongozwa tu wanataka ichukue mwaka mzima ama miaka ndipo atoe papuchi. Huku hao kina kate akiguswa tu anatoa ushirikiano fasta.

Mtu busy kama Mwamposa hana muda wa kumtongoza mwanamke muda mrefuuu..hivyo wanawake wastaarabu sana wife materials hawawezi kumpata mwamposa
 
Wanawake micharuko huwa wana nafasi kubwa sana ya kupata wanaume wenye maisha.

Sababu kuu ni wazoefu wanajua mwanaume anataka nini.. hivyo hawana mapozi ya kijinga jinga.. na mwanaume wanamteka kwa kumpa heshima na amani.

Wanaume wanachohitaji kwa mwanamke ni sex, amani na heshima.

Wanawake wanaoonekana wastaarabu huwa wanashindwa kuprovide hivyo vitu vitatu bila mabishano bishano na kupotezeana muda.

Kutongozwa tu wanataka ichukue mwaka mzima ama miaka ndipo atoe papuchi. Huku hao kina kate akiguswa tu anatoa ushirikiano fasta.

Mtu busy kama Mwamposa hana muda wa kumtongoza mwanamke muda mrefuuu..hivyo wanawake wastaarabu sana wife materials hawawezi kumpata mwamposa
Basi Malaya wengi ndiyo maana huwa Wana zali la mentality
 
Akae kimya tu. Tukimuundia kikosi kazi cha CIA wa mtandaoni tawi la Twitter huyu madhambi yake mtakimbiana hapa. Uchumi wa Tanzania binti mdogo kama huyu anatoboa kwa kazi gani ambayo hajaiweka wazi?

Anyways tuishi kwa kuwa humble. Ukipata kula na wako kaa kimya. Tambo huwa zinaleta maadui wasio wa lazima.
 
Video Vixen aliyetumia fursa vizuri , hawa maslay queen wanakuwa waongo sana ,hivi kwa akili ya kawaida binti kama huyo below 30s amiliki mijengo ya maana mitatu kwa nguvu zake? Naye Basilisa EATV anaingia kichwa kichwa kumpa airtime na kupotosha umma.

Binti anawezeshwa na Aposto halafu wanakuja kuwapa pressure mabinti wanaohustle kwa nguvu zao kitaani.

Ndiyo maana mimi hawa wanaojiita manabii sijui mitume huwa siwaamini 100% ,wengi ni matapeli na wapigaji ,hivi mtu kama Gwajima ,Mwamposa,Mzee wa upako,mwingira unaenda kabisa kumpa sadaka zako?

-Gwajima Mkono wa baunsa akimla Kondoo
-Mwamposa aliacha mke ,anazaa na wadangaji -video vixen
-Mzee wa Upako - Mlevi wa Konyagi ,anatukana hovyo hovyo
-Mwingira amezaa na mke wa mtu.
Kwa kuwasàgia kunguni hao manabii wa Mungu, wewe ni wa motoni bila hata kuuliza
 
Back
Top Bottom