Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Ila sijui kwanini MI huwa hawaziamini sana taarifa za ma TI.
 
Kuna vitu vingine sometimes ni vya Kitoto na huwa tunapotezeana tu muda Kuvijadili hapa Jukwaani. Hivi kabisa kuna Mtanzania ambaye aliamini kuwa wale Wauza Madafu ni Wauza Madafu kweli na siyo Watu wa Mfumo na Medani za Kivita? Kwahiyo sasa mnavyomshangaa huyo sijui Muuza Madafu hayo mliyemuona kwaniyo labda nyie mnaomshangaa huyo Jamaa mlitaka Rais alindwe na nani labda ili mridhike?

Ni mara ngapi hapa JamiiForums Wabobezi na haya Masuala huwa wanawapeni Elimu Kubwa juu ya Masuala mazima ya Ulinzi wa Viongozi / Marais? Yaani kabisa kwa jinsi Watanzania sasa Walivyochanganyikiwa na Maisha magumu kweli Idara ya TISS kupitia PSU iachie tu Watu wa Kawaida na hata Wasiowajua wamsogelee Rais wa nchi ili pengine wazimalizie Hasira zao Kwake?
 
Hivi vinchi vyetu tunajitafuta kwakweli
Hivi na huko marekani ulaya, Israel, iran na japan au china makondo wao tena captain kabisa wanawafanyia km hawa wetu huku.
 
hadi zimamoto ni jeshi linalohitaji intelijensia, kwenye nini sasa? kutafuta nyumba inayoungua au waliotumbukia kwenye choo? au nini. just curious.
 

Nchi yetu ina ulinzi imara sana duniani, kuweni makini sana, hata Jay One usimwamini..!! Tanzania iko salama sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…