Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Namwambiaga huyu hasikii.Atakujibu sasa hivi
 
Maigizo tumeshazoea
Wacha movie iendelee
 
We jamaa utakuwa una matatzo ya akili
 
Ndugu zangu Watanzania,

Uchunguzi wa kina nimeufanyika na kuona kuwa muuza madafu aliyeonekana katika viwanja vya ikulu na Mwanajeshi

MAMA ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili kutokana na uchapa kazi wake uliotukuka.
Sijui nikusanue ama nikuache hivyo hivyo
 
Shida ulipoingia tu CCM akili zikanyang'anywa sasa utawezaje kung'amua mambo rahisi kama haya?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Uchunguzi wa kina nimeufanyika na kuona kuwa muuza madafu aliyeonekana katika viwanja vya ikulu na Mwanajeshi

MAMA ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili kutokana na uchapa kazi wake uliotukuka.
Mnavyotumia nguvu kujitetea mngekuwa mnaleta maendeleo ingekua safi weka komando hapa weka muuza madafu pale wasalimiane au komando akanunue madafu kwa yule mwana muondoe ubishi vinginevyo acheni kelele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…