Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Nawafahamu wengi walioko kwenye hiko kitengo, imesaidia system kuwa na updated taarifa kuliko zamani maana Boda Boda wengi hupata taarifa Kwa urahisi hata ukivusha demu usiku wa saa 8 wao hujua

Kama utakuwa threat unadhibitiwa
Ebu tuwe serious basi, upelelezi unaenda kufanyika kwa kujidisguise kama bodaboda sasa huko unapeleleza nn?

Embu tuwa update hawa majasusi wetu wa deal na mambo makubwa huku kwenye bodaboda kumekaa kisiasa zaidi.
 
Mnavyotumia nguvu kujitetea mngekuwa mnaleta maendeleo ingekua safi weka komando hapa weka muuza madafu pale wasalimiane au komando akanunue madafu kwa yule mwana muondoe ubishi vinginevyo acheni kelele
Hatujitetei bali tunaonyesha ukweli ili kuondoa uzushi na upotoshaji wa watu wanaofuata mkumbo.
 
Hatujitetei bali tunaonyesha ukweli ili kuondoa uzushi na upotoshaji wa watu wanaofuata mkumbo.
Hivi wazazi wako wanajua kama unawafedhehesha humu mitandaoni ? Hata machawa wa enzi hizo mitandaoni kina Kimeta Wa Mpuhi hawakua hivi kabla ya uteuzi tuliza kipago wakati mwengine kama sio yeye kuna sababu gani yakutoa maelezo kibao
 
Ndugu zangu Watanzania,

Uchunguzi wa kina nimeufanyika na kuona kuwa muuza madafu aliyeonekana katika viwanja vya ikulu na Mwanajeshi

MAMA ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili kutokana na uchapa kazi wake uliotukuka.
Hakika nimebubujikwaaaa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hivi wazazi wako wanajua kama unawafedhehesha humu mitandaoni ? Hata machawa wa enzi hizo mitandaoni kina Kimeta Wa Mpuhi hawakua hivi kabla ya uteuzi tuliza kipago wakati mwengine kama sio yeye kuna sababu gani yakutoa maelezo kibao
Acha kupaniki
 
Hata kama akiwa sio yeye, ila mie bado siamini, kama wale ni wauza madafu wa kawaida, ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
Wale ni vitengo tu.
Nakumbuka jiwe, kwenye kikao cha kahawa, sijui wapi, kuna rasta mmoja alikuwa akionekana kama raia wa kawaida, sasa unajiuliza inakuwaje huyu rasta alipo jiwe nae yupo ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
Kwa nini wasiwe wauza madafu wa kawaida tu?

Watu mnapenda sana conspiracy theories.

Kwani Rais wa Tanzania hawezi kujichanganya tu na raia wa kawaida?

Hao so called watu wa vitengo mnawa exalt sana.
 
Ebu tuwe serious basi, upelelezi unaenda kufanyika kwa kujidisguise kama bodaboda sasa huko unapeleleza nn?

Embu tuwa update hawa majasusi wetu wa deal na mambo makubwa huku kwenye bodaboda kumekaa kisiasa zaidi.
Yaani stori za wabongo kuhusu hao watu wa so called kitengo, unaweza kudhani ni species nyingine kabisa iliyo tofauti na sisi mere mortals ๐Ÿ˜€.
 
Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa.

Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki.

Wapo waliohoji maigizo yale yalikuwa na haja gani, basi tukaona wanafanyiwa interviews clouds etc na mmoja akasema anasoma NIT.

Tafadhali tutazame picha na kila mtu atakuwa na jibu lake!

Pia soma
- Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?

View attachment 2974869

View attachment 2974798

View attachment 2974800
Yaani hata wewe ulitegemea muuza madafu kama Mimi nijiendee Ikulu kumuuzia the First Citizen madafu? Kuna behind the scenes nyingi tu mnapaswa kujiongeza!
Siasa ni Sanaa!
 
Kwa nini wasiwe wauza madafu wa kawaida tu?

Watu mnapenda sana conspiracy theories.

Kwani Rais wa Tanzania hawezi kujichanganya tu na raia wa kawaida?

Hao so called watu wa vitengo mnawa exalt sana.
Amini unachoona ni sahihi, nami naamini ninachoona ni sahihi, easy tu mkuu.

Nimetoa mfano kipindi cha mrehemu jiwe kuna rasta alikuwa sehemu zote za jiwe kujichanganya, alipokuw kwenye kahawa, kwenye kunywa dafu na hata mahindi, mshikaji alikuwepo tena katika mavazi ya raia wa kawaida kabisa.
Hiki kimenisukuma nisiamini kama wale ni wauza madafu kweli.
 
Commando hawana maajabu yeyote, mpiganaji wa MMA anaweza kumtandika vizuri tu commando tena akakimbia.
Sasa usizungumzie commando wetu ambao tunakutanana nao bar wanavuta sigara na kunywa pombe๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚ ndio kituko kabisa.
 
Back
Top Bottom