Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Hakuna cha ujasusi cha maaana kilichofanyika hapo, ni ujinga, utoto wa darasa la kwanza, pale ikulu kulikuwa hakuna maana ya kupeleka muuza madafu mchafu mchafu, kwa nia ya kuonyesha samia anajari saaaana, maisha ya watu,
Hata kwa mtu asie kuwa na elimu kubwa ya ujasusi, chakula, cha ikulu, haununui tu popote na kukipeleka ikulu, wala watu hawaingii ikulu kiholela, lazima security background check up ifanyike,
Sasa wajinga wa ccm, wanataka kutuaminisha kwamba, kuna muuza madafu mmoja, alikuwa anapita zake huko njiani, na mishe zake, wakamuomba aende ikulu auzie madafu watu wanaofuturu!
"Yaani, walinzi wa ikulu, wakaona muuza madafu, wakamuita, " Hey jombaa, una madafu yenye making, na nyama za kutosha? Ndio ninayo! Njoo basi ndani hapa umuuzie samia na, wageni zake! Total crap!
Ile kitu ilitayarishwa, jumbo linalokela, kama walikuwa wanataka madafu ya kitaa, kwanini wadanganye? Na kufanya maigizo! Ule muonekano wa wauza madafu, ni kutokana na mazingira ya kazi Yao, jasho, uchafu wa kukata madafu nk,kuwakaribisha ikulu(sio kweli hakuna muuza madafu aliyekaribishwa ikulu) wakiwa wachafu na nguo za kazi, ni kuwadhalilisha!
Hebu fikiria, upo zako kitaa, Mara gari LA, polisi hilo wanashuka polisi, wanakuambia twende ikulu ukamuuzie Samia madafu!
Nchi imejaa wajinga
Wewe unasema hamna aliemini muuza madafu anaweza ingia ikulu na kumkaribia raisi na wageni kindezi.??

Hivi unawajua watz vyedi mkuu??
Unapitiaga mitandao inayotumiwa na watz wengi kama facebook na insta uone comments zao??

Ccm ina watu inawatarget sio ninyi wa jf. Nyie hamuwapi kura na wengi hampigi kura, wanalaghai na kutesa hisia za walala hoi.

Kwasasa muamko ni mkubwa kidogo, si ajabu hadi kufika 2035 hali isiwe kama leo, maigizo ya kitoto yatakoma.
 
Hakuna cha ujasusi cha maaana kilichofanyika hapo, ni ujinga, utoto wa darasa la kwanza, pale ikulu kulikuwa hakuna maana ya kupeleka muuza madafu mchafu mchafu, kwa nia ya kuonyesha samia anajari saaaana, maisha ya watu,
Hata kwa mtu asie kuwa na elimu kubwa ya ujasusi, chakula, cha ikulu, haununui tu popote na kukipeleka ikulu, wala watu hawaingii ikulu kiholela, lazima security background check up ifanyike,
Sasa wajinga wa ccm, wanataka kutuaminisha kwamba, kuna muuza madafu mmoja, alikuwa anapita zake huko njiani, na mishe zake, wakamuomba aende ikulu auzie madafu watu wanaofuturu!
"Yaani, walinzi wa ikulu, wakaona muuza madafu, wakamuita, " Hey jombaa, una madafu yenye making, na nyama za kutosha? Ndio ninayo! Njoo basi ndani hapa umuuzie samia na, wageni zake! Total crap!
Ile kitu ilitayarishwa, jumbo linalokela, kama walikuwa wanataka madafu ya kitaa, kwanini wadanganye? Na kufanya maigizo! Ule muonekano wa wauza madafu, ni kutokana na mazingira ya kazi Yao, jasho, uchafu wa kukata madafu nk,kuwakaribisha ikulu(sio kweli hakuna muuza madafu aliyekaribishwa ikulu) wakiwa wachafu na nguo za kazi, ni kuwadhalilisha!
Hebu fikiria, upo zako kitaa, Mara gari LA, polisi hilo wanashuka polisi, wanakuambia twende ikulu ukamuuzie Samia madafu!
Nchi imejaa wajinga
Utakuwa hujuwi
 
Ndugu zangu Watanzania,

Jana hapa nilileta andiko langu nikasema kuwa nimefanya uchunguzi wa kina sana tena sana wa kuchunguza watu hawa wawili kati ya yule komandoo aliyekuwa kiongozi wa kikosi maalumu cha makomando pamoja na yule kijana muuza madafu wa ikulu. Ambapo watu walikuwa wanasema ni mtu mmoja.jambo ambalo mimi nililipinga sana japo andiko langu likaja kuunganishwa na lingine na hivyo kuzima hoja yangu kwa njia hiyo.

Sasa ukweli ni ukweli tu hata ukipingwa na watu wengi lakini unabakia kuwa ukweli tu. Mimi jana nilipingwa na kushambuliwa sana humu jukwaani na wengine kunitukana matusi kuwa mimi nimekurupuka,wengine kusema mimi ni chawa nisiye na akili na wengine kusema mimi ni hasara na aibu hata kwa wazazi walionizaa. Nilivumilia hali na udhalilishaji wote kwa kuwa mimi ni mvumilivu na mtu mwenye ngozi ngumu .hivyo nikaamua kuwasamehe tu kama kawaida yangu.

Sasa leo Ayo Tv wamemtafuta yule muuza madafu wa ikulu na kumfanyia mahojiano ambapo kwa sasa ameweza kununua boda boda mpya kutokana na pesa aliyoipata siku ile Ikulu ,ambapo ameongezea kwenye ile aliyokuwa nayo kama akiba yake.amesema hata yeye alishangaa sana watu walipoanza kumfananisha na yeye mwenyewe aliangalia maadhimisho yale na kushangaa.

Ndugu zangu Watanzania tusipende kufuata mikumbo na kusombwa na ujinga unaokuwa umeanzishwa na mtu mmoja na kuufanya kusambaa kama moto wa petroli na kila mtu kuanza kuiamini bila kufanya utafiti.Mimi huwa sikurupuki na kuanza kuamini jambo na kulisambaza bila kujilidhisha ukweli wa jambo husika.ndio maana jana baada ya uchunguzi wangu wa kina na Elimu yangu ya kumsoma mtu katika uso wake juu ya mfanano ,hasa kwa kuangalia macho,pua,mdomo,paji la uso,upana wa sura ,umbile la mdomo wakiwa wamefumba mdomo ,mkao wa pua kutoka juu pamoja na muonekano wao kwa ujumla nikaja kugundua kwa haraka haraka kuwa ni watu wawili tofauti kabisa.

Ninashangaa watu wengine wenye heshima zao nao waliingia kwenye mkumbo huo wa kuamini taarifa zile za kizushi kabisa.tujifunze kuwa watafiti na watulivu katika mambo mbalimbali na siyo kumezeshwa tu Matango pori au kuimbishwa kama makasuku. Kukumbwa kamwe na katu usimuamini mtu katika habari au taarifa yoyote ile bila ya wewe kujiridhisha ndio ukaitoa.

Leo mimi ni shujaa japo jana nilionekana kama mjinga na mwehu.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Safi mkuu mpaka watakuelewa!
 
Mi pia nilijua utakimbilia huko kujionyesha kwamba na wewe si haba kwenye Martial Arts.. Nilishawahi kukuambia huko kabla huwa huna hoja za maana kulinda Facts zako....
Nimekuuliza maswali mawili tu!

Umeshindwa kujibu. Badala yake unanishambulia mimi.

Umeshindwa hoja, umeleta viroja.

Bye Felicia 🤣.
 
Kikachero wapi wanashindwa kuwadhibiti wakimbizi wanaingia mpka kwenye ma vyeo makubwa Serikalini na Utumishi wa Umma Halafu wanaleta Telemundo za Kifilipino na MUUZA NAZI😂😂 Ndo mana Ba hima Empire wanatuona kiusalama na kiinjelijensia weupee peee labda kijeshi
Akina Dotto Biteko?
 
Nimekuuliza maswali mawili tu!

Umeshindwa kujibu. Badala yake unanishambulia mimi.

Umeshindwa hoja, umeleta viroja.

Bye Felicia 🤣.
Ndio maana nikwambia una utoto ndani yake kwasababu inaonekana umepata burudani sana kwenye kichwa chako kuwa na fikra kwamba nimeshindwa.. Katika maswali yako kungekuwa kuna chembechembe zozote katika kutetea hoja iliyopo mezani ningeweza kujibu.. Nimeona ni maswali yaliyojaa kujikweza zaidi tuone unaelewa Martial Arts kuliko kutetea hoja zako za kipuuzi.
 
Tushukuru Kwa tulichonacho hata sasa..Kulinda nchi na mipaka ni zaidi ya Silaha pia mbinu Za Kibona Damu..Uzalendo unaoonyeshwa na majeshi yetu ktk level mbalimbali si jambo la kubezwa Bali kutukuzwa..

Tunahitaji uwekezaji mkubwa ktk teknolojia na kuongezwa upya Kwa vitengo vya kimkakati Kwa kuzingatia matakwa ya dunia ya leo..

Mathalani jeshi letu lapaswa kuwa na vitengo vya Information Support Force, the Aerospace Force and the Cyberspace Force.Vitengo hivi vihusishe uwekezaji wa kiteknolojia Za Kisasa yanayohusisha AI,Robotics instruments and cybersecurity systems.

Ni wakati sasa baadhi ya nafasi Za uongozi ikiwamo Uwaziri,Unaibu Waziri na Ukatibu mkuu ktk Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa,Mambo ya ndani wapewe wanajeshi wastaafu Kwa ngazi ya Ujenerali (Generals)..Hili litaimarisha sana weredi na ustawi wa usimamiaji uzalendo Kwa maslahi ya taifa letu.
 
Ndio maana nikwambia una utoto ndani yake kwasababu inaonekana umepata burudani sana kwenye kichwa chako kuwa na fikra kwamba nimeshindwa.. Katika maswali yako kungekuwa kuna chembechembe zozote katika kutetea hoja iliyopo mezani ningeweza kujibu.. Nimeona ni maswali yaliyojaa kujikweza zaidi tuone unaelewa Martial Arts kuliko kutetea hoja zako za kipuuzi.
Sasa si ujibu tu hayo maswali niliyokuuliza!

🤣
 
FB_IMG_1714229545099.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_1714229545099.jpg
    FB_IMG_1714229545099.jpg
    17.7 KB · Views: 2
Back
Top Bottom