Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

Kwanini umvizie hayupo? Hata akiwwpo kama tayari ushamwambia suala la kuondoka na yeye hataki unaleta tu gari unabeba vitu vyako unatokomea unapopajua mwenyewe
 
Mtoa mada suluhisho ushapewa, ushindwe wewe tu.
 
anakumudu kaona, mm kwangu angeondoka.
Tafuta hela, mpe idea ya biashara hata ya viatu, mwambie akachukue mzigo kariakoo. Akiondoka tafuta chumba kingine hamishia vitu kisha funga uskikae hapo ulipohamishia. Fanya mchakato kazini kwako omba likizo, ukisha chukua likizo usiende kwenu tafuta mkoa mwingine jichimbie huko, mlime block kila mahali!

Ndani ya week 3 atakuwa ashaelewa somo, ukirejea anzia kuishi kwa rafiki ilo asije gundua unapoishi akajileta kukusumbua. Done
 
😄😄 Mdau inawezekana umelogwa ww sio bure ......
 
🤔🤔 ngoja kwanza ili lipite then tajua cha kufanya.km kunisalimia tu agrrh tutakutana ata selena hotel inatosha.

Maana nimegundua kumbe huwa mnavikao vyenu,kuna madini mnapeana uko mnakuja kuapply upande wetu.
Jichanganye mkuu hata Serena hotel sio pa kukutana nae.
Huyo ni DADA YE lamomy bro.Tume zote za vikao anaunda yeye.

Kwako ndo itakua comfotabo hebu limalize hilo kwanza
🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️Kaka yetu ameishaaa!
 
Maisha magumu mkuu,hapo kaona anapata maokoto aende wapi tena!

%Mapenzi ni upofu%
 
Kwanini umvizie hayupo? Hata akiwwpo kama tayari ushamwambia suala la kuondoka na yeye hataki unaleta tu gari unabeba vitu vyako unatokomea unapopajua mwenyewe
Kuna namna ya kumshauri kila kijana kutokana na namna unavyo msoma.
Huo ujasiri kama wangu mimi mdaka chozi hana...😜
 
Bora umenishtua mapema kaka.kumbe huyu ndo mwenyekt wa bodi.
 
We Kumbe hujawa Mkurungwa
 
A
Alaah okay🫖🫕🫕
 
😅😅😅😅alooh
 
Endelea kupigwa makofi mzee
 
Umekua dhaifu sana aisee kosa la kwanza ni kumruhusu kulala ile siku ya pili . Nenda kwenye dawati la jinsia na mahusiano kaelezee shida yako atatolewa na vyombo vya sheria. Huenda ukamlipa kiasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…