Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

Alipoharibu ni hiyo kuwa mtata, ubishi, kuforce kusoma sms, kugombana na wewe, kutumia pesa bila ridhaa yako na kuwa mjeuri, nje ya hapo ningemtetea kwakweli.
Ushaambiwa demu MMERU unategemea nini? Antenna hamna humo
 
Dawa yake ni hii HAPA.
.chukua masela kama watano hivi kisha uwapange.
Waambie hivi;
Tukifika nyumbani vueni nguo zote kisha kila mmoja atafute SEHEMU ya kulala.

Masela wakifika wavue nguo kila mtu na sehemu yake,
Chumbani ajilaze huku mjegeje ukiwa wazi
Sebuleni alale huku mjegeje ukiwa wazi
Kwenye korido alale mwingine huku mjegeje ukiwa wazi
Huyo manzi asipokumbia njoo unitie mabao
 



"Kulala tu sio big deal sana"

Shida ilianzia hapaz usilete mwanamke usiyemfaham kwako, utalogwa.
 
Kwamba hadi sasahivi hujashtuka kwamba hiyo laki kadhaa kaenda kukulogea? 😁 Haya bana nasubiri part two.
 
Oa kaka iyo ndio hatima yako uyo mwanamke ndio anakufaa usiangalie mabaya tu mzee unaweza kumwacha uyo ukapalamia mkalatusi ukizani utapata maembe...tulia fikiria jinsi ya kuishi nae ....anakukubali wengine watakufyonza vibaya.....unafoka ivo kwasababu umemjua kama wewe mbishi tafuta mpya usiyemjua uone moto
 
Sasa mkuu angekua domo zege asingemtongoza .. kwaiyo yeye sio domo zege
 
Zamani nilikua nalitumia geto kufanya maangamizi, ila kwa hali ilivyo sasa sio vizuri kufanyia maangamizi kwako bora hata uende guest.

Wanawake wanataka ndoa kimabavu ilhali ujana wao hatukua wote, binti akiona kama umejipata kwa vile aonavyo yeye basi ndo kama ivo anatafuta kinamna akuteke uoe kimasikhara.

Pole sana, ila mbali na hivyo we jamaa no legelege sana, unapigwa kofi na mkeo unakuja kulalamika huku.

Si ajabu hamjuani kiundani familia zenu, siku akikufia hapo geto ndo utajua dunia haizunguki ila jua ndo linaizunguka dunia.
 
Umri umeeenda wameanza kuwa king'ang'anizi hapo kashaenda hata kwa waganga kabisa kaona una kazi maisha yanaenda.. pole sana upo wapi Tuje kusaidia kumuondoa uyo
 
Ushaambiwa demu MMERU unategemea nini? Antenna hamna humo
Heeeh[emoji848] ni m'meru tena? [emoji848]Mbona sijaona hiyo title mzee?

Kama ni hilo sasa hapo mzee balaa analo ameyakanyaga.
 
Unaweza shangaa demu akajua huo ni mualiko wa mtungo akawapelekea wote moto kama wanaigiza X vile. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaan akimpa mimba tuu atamkuta Kesha enda kujitambulisha Kwa wazazi
 
Niko serious mkuu me ni mvivu sana kuandika yanini nitumie nguvu kubwa niumize macho kuandika kitu ambacho hakipo.

Ila nashukuru umenipa idea kubwa sana nimepata plan B. Ngja nisubr plan A
Fanyia kazi hapo ni kuhama tuu kimya kimya ...mpe hata pesa akasuke akiondoka tuu hama na chumba Cha watu rudisha
 
Mademu wanapenda mijegeje kuliko ulivyowahi kufikiria, na siku hizi wana uhuru kabisa wa kuchagua iliyoshiba wanaita tango..... jichanganye tu ukute akawahimili wote na masela zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…