Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Nilikuwa nafuatilia Ibada yake kwa njia ya mtandao kule Facebook nimestaajabu Sanaa.
Yani anagawa pesa Kama takataka kwa waumini wake na anakupa cash kabisa
Anakuita mbele, unaeleza shida YAKo na kiasi unachotaka then anakupa hiyo Hela cash hapohapo
Mfano Kuna mmoja aliomba laki mbili ( 200,000 ) kwa ajili ya kufanya biashara akampa laki tano( 500,000 ) mwengine kaomba laki nane akapewa milioni mbili
Kina mkaliwenu, hamorapa na wenzie kawaita kusalimia, kila mtu akapewa milioni.....kiufupi jamaa anagawa Hela Kama njugu yaani
Sasa nimejiuliza haya maela YOTE huyu nabii anatolea wapi??, Kuna nyuzi huku ziliwahi kuonesha pia magari yake ambayo ni mengi Sanaa Tena ya bei kubwa
Huyu ndugu ni sadaka TU ndio vinampa hizi Hela zote??,au Kuna inshu nyingine nyuma yake??
Mbona hata mwamposa anapiga Hela Sanaa lkn sijawahi kuona anafanya kitu Kama Cha huyu nabii??
Ama kweli Dunia inaenda kwa Kasi sanaa
Yani anagawa pesa Kama takataka kwa waumini wake na anakupa cash kabisa
Anakuita mbele, unaeleza shida YAKo na kiasi unachotaka then anakupa hiyo Hela cash hapohapo
Mfano Kuna mmoja aliomba laki mbili ( 200,000 ) kwa ajili ya kufanya biashara akampa laki tano( 500,000 ) mwengine kaomba laki nane akapewa milioni mbili
Kina mkaliwenu, hamorapa na wenzie kawaita kusalimia, kila mtu akapewa milioni.....kiufupi jamaa anagawa Hela Kama njugu yaani
Sasa nimejiuliza haya maela YOTE huyu nabii anatolea wapi??, Kuna nyuzi huku ziliwahi kuonesha pia magari yake ambayo ni mengi Sanaa Tena ya bei kubwa
Huyu ndugu ni sadaka TU ndio vinampa hizi Hela zote??,au Kuna inshu nyingine nyuma yake??
Mbona hata mwamposa anapiga Hela Sanaa lkn sijawahi kuona anafanya kitu Kama Cha huyu nabii??
Ama kweli Dunia inaenda kwa Kasi sanaa