Huyu nabii GeorDavie achunguzwe, anagawa Hela Kama karanga

Huyu nabii GeorDavie achunguzwe, anagawa Hela Kama karanga

Metronidazole 400mg

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
941
Reaction score
2,062
Nilikuwa nafuatilia Ibada yake kwa njia ya mtandao kule Facebook nimestaajabu Sanaa.

Yani anagawa pesa Kama takataka kwa waumini wake na anakupa cash kabisa

Anakuita mbele, unaeleza shida YAKo na kiasi unachotaka then anakupa hiyo Hela cash hapohapo

Mfano Kuna mmoja aliomba laki mbili ( 200,000 ) kwa ajili ya kufanya biashara akampa laki tano( 500,000 ) mwengine kaomba laki nane akapewa milioni mbili

Kina mkaliwenu, hamorapa na wenzie kawaita kusalimia, kila mtu akapewa milioni.....kiufupi jamaa anagawa Hela Kama njugu yaani

Sasa nimejiuliza haya maela YOTE huyu nabii anatolea wapi??, Kuna nyuzi huku ziliwahi kuonesha pia magari yake ambayo ni mengi Sanaa Tena ya bei kubwa

Huyu ndugu ni sadaka TU ndio vinampa hizi Hela zote??,au Kuna inshu nyingine nyuma yake??

Mbona hata mwamposa anapiga Hela Sanaa lkn sijawahi kuona anafanya kitu Kama Cha huyu nabii??

Ama kweli Dunia inaenda kwa Kasi sanaa
 
Nilikuwa nafuatilia Ibada yake kwa njia ya mtandao kule Facebook nimestaajabu Sanaa.

Yani anagawa pesa Kama takataka kwa waumini wake na anakupa cash kabisa

Anakuita mbele, unaeleza shida YAKo na kiasi unachotaka then anakupa hiyo Hela cash hapohapo

Mfano Kuna mmoja aliomba laki mbili ( 200,000 ) kwa ajili ya kufanya biashara akampa laki tano( 500,000 ) mwengine kaomba laki nane akapewa milioni mbili

Kina mkaliwenu, hamorapa na wenzie kawaita kusalimia, kila mtu akapewa milioni.....kiufupi jamaa anagawa Hela Kama njugu yaani

Sasa nimejiuliza haya maela YOTE huyu nabii anatolea wapi??, Kuna nyuzi huku ziliwahi kuonesha pia magari yake ambayo ni mengi Sanaa Tena ya bei kubwa

Huyu ndugu ni sadaka TU ndio vinampa hizi Hela zote??,au Kuna inshu nyingine nyuma yake??

Mbona hata mwamposa anapiga Hela Sanaa lkn sijawahi kuona anafanya kitu Kama Cha huyu nabii??

Ama kweli Dunia inaenda kwa Kasi sanaa
Hapana sio sadaka ni majini ,vip hukuona umuhim wa ww kwenda upewe na ww pesa?
 
Si wakimaliza zinarudishwa.

Huonagi hata mnada wa nguo, mtu anataja ofa anarushiwa nguo baadae unamuona mtu anapita kuzikusanya kisha zinarudishwa.

Hapo wewe usiejua ndio target.

Kuna mmoja huwa anaongea redioni usiku, anapigiwa simu lakini ukisikiliza kwa makini sauti ya huyo dada mpiga simu ndio ile ile siku zote ila wajinga wananasa kila siku.

Halafu huwa wanaitegesha simu inakua bize, muda wote unasikia simu inaita kumbe mtego uone watu ni wengi wanapiga simu kumbe trick tu.
 
Kila mmoja anapewa masharti yake.
Hilo ni sharti lake, siku akilipuuza atawekwa benchi.
Pesa ya sadaka pale si nyingi ya kuweza kumranya jamaa agawe Bajaj, magari, pikipiki na pesa.
Wengi pale zimewapeleka njaa , hivyo hakuna sadaka kubwa
 
Back
Top Bottom