Huyu nabii GeorDavie achunguzwe, anagawa Hela Kama karanga

Huyu nabii GeorDavie achunguzwe, anagawa Hela Kama karanga

Si wakimaliza zinarudishwa.

Huonagi hata mnada wa nguo, mtu anataja ofa anarushiwa nguo baadae unamuona mtu anapita kuzikusanya kisha zinarudishwa.

Hapo wewe usiejua ndio target.

Kuna mmoja huwa anaongea redioni usiku, anapigiwa simu lakini ukisikiliza kwa makini sauti ya huyo dada mpiga simu ndio ile ile siku zote ila wajinga wananasa kila siku.

Halafu huwa wanaitegesha simu inakua bize, muda wote unasikia simu inaita kumbe mtego uone watu ni wengi wanapiga simu kumbe trick tu.
Aisse watu wakatili sana
 
Kila mmoja anapewa masharti yake.
Hilo ni sharti lake, siku akilipuuza atawekwa benchi.
Pesa ya sadaka pale si nyingi ya kuweza kumranya jamaa agawe Bajaj, magari, pikipiki na pesa.
Wengi pale zimewapeleka njaa , hivyo hakuna sadaka kubwa
Mkuu umeongea point Sanaa, kwahiyo hizo Hela ni za freemason??
 
Iv unamjua huy msanii GOZBET wa nyimbo za injil kuna hesab alipewa na gar juu sahiv una faham alipo IKO SIRI ILIO JIFICHA KWA WALIOFANIKIWA
Yupo wapi mkuu

Kitu usichofahamu Gozbert alinyanganywa account zake za kuuza Mziki ikiwemo YouTube.

Meneja aliyekuwa anamsimamia waliachana .

Na meneja huyo sasa anamsimaia Obby Alpha

( aliyeimba bora kushukuru)

So ukimya wake na kutosikaka ni kuwa hana financial support Kama zamani
 
Ningekuwa sina khofu na aloniumba ningekuja tz kufungua kakanisa kangu halafu baada ya mwaka mnaniita boss hakuna njia nyepesi ya kupiga pesa kama kuzikamua kondoo za kigalatia
 
Mbona hata mwamposa anapiga Hela Sanaa lkn sijawahi kuona anafanya kitu Kama Cha huyu nabii??
Mwamposa ni Mfanyabiashara asierudisha kwa jamii ila anachukua kwa jamii

GeoDavi ni Mfanyabiashara anaechukua kwa jamii kisha anarudi kwa jamii na kurudisha kwa jamii

Kwa hio usiwafananishe kingine GeoDavi alikuwepo kabla ya Mwamposa hilo ulikumbuke, vipindi vyake vilikua vinaruka Channel 10 kipindi hicho Mwamposa yupo barabarani na spika kubwa anatafuta watu wa kumfadhili

Mwamposa kilichomweka na kumpaisha kibiashara ni wawekezaji waliopo nyuma yake na wanahisa walioweka Pesa zao kwake lile jina unalosikia Arise & Shine ni brand name ni Kampuni km ilivyo GSM na MO na Azam
 
Mwamposa ni Mfanyabiashara asierudisha kwa jamii ila anachukua kwa jamii

GeoDavi ni Mfanyabiashara anaechukua kwa jamii kisha anarudi kwa jamii na kurudisha kwa jamii

Kwa hio usiwafananishe kingine GeoDavi alikuwepo kabla ya Mwamposa hilo ulikumbuke, vipindi vyake vilikua vinaruka Channel 10 kipindi hicho Mwamposa yupo barabarani na spika kubwa anatafuta watu wa kumfadhili

Mwamposa kilichomweka na kumpaisha kibiashara ni wawekezaji waliopo nyuma yake na wanahisa walioweka Pesa zao kwake lile jina unalosikia Arise & Shine ni brand name ni Kampuni km ilivyo GSM na MO na Azam
Hili sikuwahi kulijua mkuu, kumbe mwamposa ana watu nyuma yake aisee
 
Pesa zingine siyo pesa unaweza ukapokea kumbe umepokea mnyauko wa kiroho.
Pesa ukiwa nazo nyingi unatoa mfano makanisa ya Roman mengi yanajengwa na wenye Pesa popote utapoenda ukiona kiota cha Roman kimekubari jua kuna wenye Pesa nyingi walijenga kwa kutoa Pesa zao
 
Ndio maana niliskia Lile eneo la kawe alitaka kulinunua serikali wakagoma sijui Kama ni kweli?
Eeh ni km alivyo Harmonize na Jembe au Diamond na Salam, Babu Tale & Mkubwa Fella ndio the same kwa Mwamposa kuna wajuba wapo nyuma pale wanagawana asilimia yeye kazi yake ni kupiga show tu
 
Kuna masheikh walipewa mshiko, wasanii, munishi naye aliwahi kupewa gari. Pesa anayo naye ameamua kugawa mrejesho wa sadaka, ila ni mtata
Wale masheikh kuna wawili nawajua alafu wala siyo masheikh wale ni wapigaji tu janja janja walienda kumlia hela tu

Ova
 
Back
Top Bottom