Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
- Thread starter
- #21
Mkuu na Mimi najitafakari nianzishe kanisa langu nipige mpunga, haiwezekani watu wanapiga pesa kirahisi kabisa....Sisi ambao tupu kwenye hii tasnia tunapiga pesa sana na panalipa Kwa kwel ,hasa ukiwa na watu pesa ipo nje nje