Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Usiende bana wasije pita na tunda kimasihara. 😀😀 hujui siku hiyo motive itakuwa niniNi kila jpili tu? Niangalie namna ya kwenda wiki ijayo.....nikasali huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiende bana wasije pita na tunda kimasihara. 😀😀 hujui siku hiyo motive itakuwa niniNi kila jpili tu? Niangalie namna ya kwenda wiki ijayo.....nikasali huko
mhNautafuta ufalme wa mbinguni, niacheni jamani.....
Kabisa mkuu, ndugu yangu Interlacustrine R husema hivyo.Ubinadamu kazi.
Sadaka zenuNilikuwa nafuatilia Ibada yake kwa njia ya mtandao kule Facebook nimestaajabu Sanaa.
Yani anagawa pesa Kama takataka kwa waumini wake na anakupa cash kabisa
Anakuita mbele, unaeleza shida YAKo na kiasi unachotaka then anakupa hiyo Hela cash hapohapo
Mfano Kuna mmoja aliomba laki mbili ( 200,000 ) kwa ajili ya kufanya biashara akampa laki tano( 500,000 ) mwengine kaomba laki nane akapewa milioni mbili
Kina mkaliwenu, hamorapa na wenzie kawaita kusalimia, kila mtu akapewa milioni.....kiufupi jamaa anagawa Hela Kama njugu yaani
Sasa nimejiuliza haya maela YOTE huyu nabii anatolea wapi??, Kuna nyuzi huku ziliwahi kuonesha pia magari yake ambayo ni mengi Sanaa Tena ya bei kubwa
Huyu ndugu ni sadaka TU ndio vinampa hizi Hela zote??,au Kuna inshu nyingine nyuma yake??
Mbona hata mwamposa anapiga Hela Sanaa lkn sijawahi kuona anafanya kitu Kama Cha huyu nabii??
Ama kweli Dunia inaenda kwa Kasi sanaa
Upo vizuri wanacheza na nyota mkuu una settiwa na unajaa kwenye mfumoDaah....au wanakusaidia lakini Kuna namna wanakuibia nyota?
Haya matatizo yanatengenezwa mkuu jamaa alicheza na nyota ya blaza akajaa kwenye mfumo kila kit kwake kikawa sio pw SIO KILA KICHAA NI KICHAAA kuna wat wanapiga pesa ming kupitia wat kama haoYupo wapi mkuu
Kitu usichofahamu Gozbert alinyanganywa account zake za kuuza Mziki ikiwemo YouTube.
Meneja aliyekuwa anamsimamia waliachana .
Na meneja huyo sasa anamsimaia Obby Alpha
( aliyeimba bora kushukuru)
So ukimya wake na kutosikaka ni kuwa hana financial support Kama zamani