Huyu nabii GeorDavie achunguzwe, anagawa Hela Kama karanga

Huyu nabii GeorDavie achunguzwe, anagawa Hela Kama karanga

Anagawa hela mpaka kwa wenye nazo kama wasanii na mareveland kina munishi. Jamaa ana hela sana huyu, msiba wa baba yake alishuka na msosi toka arusha waombolezaji walikula na kushagaa msosi ghali msibani
 
Ndio maana niliskia Lile eneo la kawe alitaka kulinunua serikali wakagoma sijui Kama ni kweli?
Sio alitaka ni wale waliopo nyuma yake waliowekeza Pesa zao kwake ndio walitaka kulinunua unajua hata Jina lake analitumia kibiashara zaidi sio kidini sijui unanielewa Mwamposa huwezi kumtofautisha na Young Lunya na Sony Music Africa, wawekezaji waliowekeza nyuma yake wanatumia kila namna brand iendelee mbele
 
Nilikuwa nafuatilia Ibada yake kwa njia ya mtandao kule Facebook nimestaajabu Sanaa.

Yani anagawa pesa Kama takataka kwa waumini wake na anakupa cash kabisa

Anakuita mbele, unaeleza shida YAKo na kiasi unachotaka then anakupa hiyo Hela cash hapohapo

Mfano Kuna mmoja aliomba laki mbili ( 200,000 ) kwa ajili ya kufanya biashara akampa laki tano( 500,000 ) mwengine kaomba laki nane akapewa milioni mbili

Kina mkaliwenu, hamorapa na wenzie kawaita kusalimia, kila mtu akapewa milioni.....kiufupi jamaa anagawa Hela Kama njugu yaani

Sasa nimejiuliza haya maela YOTE huyu nabii anatolea wapi??, Kuna nyuzi huku ziliwahi kuonesha pia magari yake ambayo ni mengi Sanaa Tena ya bei kubwa

Huyu ndugu ni sadaka TU ndio vinampa hizi Hela zote??,au Kuna inshu nyingine nyuma yake??

Mbona hata mwamposa anapiga Hela Sanaa lkn sijawahi kuona anafanya kitu Kama Cha huyu nabii??

Ama kweli Dunia inaenda kwa Kasi sanaa
😆😆😆😆😆
 
Nilikuwa nafuatilia Ibada yake kwa njia ya mtandao kule Facebook nimestaajabu Sanaa.

Yani anagawa pesa Kama takataka kwa waumini wake na anakupa cash kabisa

Anakuita mbele, unaeleza shida YAKo na kiasi unachotaka then anakupa hiyo Hela cash hapohapo

Mfano Kuna mmoja aliomba laki mbili ( 200,000 ) kwa ajili ya kufanya biashara akampa laki tano( 500,000 ) mwengine kaomba laki nane akapewa milioni mbili

Kina mkaliwenu, hamorapa na wenzie kawaita kusalimia, kila mtu akapewa milioni.....kiufupi jamaa anagawa Hela Kama njugu yaani

Sasa nimejiuliza haya maela YOTE huyu nabii anatolea wapi??, Kuna nyuzi huku ziliwahi kuonesha pia magari yake ambayo ni mengi Sanaa Tena ya bei kubwa

Huyu ndugu ni sadaka TU ndio vinampa hizi Hela zote??,au Kuna inshu nyingine nyuma yake??

Mbona hata mwamposa anapiga Hela Sanaa lkn sijawahi kuona anafanya kitu Kama Cha huyu nabii??

Ama kweli Dunia inaenda kwa Kasi sanaa
Huyo cha mtoto, Pdidy anagawa pesa Balaa, muulize diamond.
 
Mind of limitations at work.

Wewe ndio tatizo, unahitaji msaada wa kisaikolojia na kiroho.
Mana una amini katika uhaba, nafsi yako inakinzana na concept of abundance. Na nahakika hata kwenye maisha yako unapambana na uhaba bila kujua wewe ndio muumbaji wa uhaba huo.

Watu wapate zaidi na zaidi, na kupata kwao kuwe baraka kwa wengine pia.

Nabii Geordavie yuko sawa, mana Mungu anamtumia kama "conduit" kupeleka baraka zake kwa wengi.

Na baraka hizo zifike mbali zaidi, hadi kwenu pia ziwaguse watu wenye uhitaji ambao na amini wapo. Nao ziwafikie, ziwabariki katika njia tofauti tofauti.

Mwisho, kwani Geordavie akiwapa watu ela wakakidhi mahitaji yao kwa ukubwa au kwa udogo WEWE INAKUUMA NINI? Uchunguzi pekee wakufanya ni UJICHUNGUZE KWA DHATI KABISA KWANINI WENGINE WAKIPATA ELA WEWE UNA UMIA??
 
Sipendi kabisa mambo ya Dini,lkn baada ya kuona huyu Mwamba anagawa hela I really like him..he's a Man!....wasichokijuwa wengi ni kwamba Mkono unaotoa ndio unaopokea...ni kusema jamaa anarudisha 10%ya anachokichukua kwa hao watu.
 
Mind of limitations at work.

Wewe ndio tatizo, unahitaji msaada wa kisaikolojia na kiroho.
Mana una amini katika uhaba, nafsi yako inakinzana na concept of abundance. Na nahakika hata kwenye maisha yako unapambana na uhaba bila kujua wewe ndio muumbaji wa uhaba huo.

Watu wapate zaidi na zaidi, na kupata kwao kuwe baraka kwa wengine pia.

Nabii Geordavie yuko sawa, mana Mungu anamtumia kama "conduit" kupeleka baraka zake kwa wengi.

Na baraka hizo zifike mbali zaidi, hadi kwenu pia ziwaguse watu wenye uhitaji ambao na amini wapo. Nao ziwafikie, ziwabariki katika njia tofauti tofauti.

Mwisho, kwani Geordavie akiwapa watu ela wakakidhi mahitaji yao kwa ukubwa au kwa udogo WEWE INAKUUMA NINI? Uchunguzi pekee wakufanya ni UJICHUNGUZE KWA DHATI KABISA KWANINI WENGINE WAKIPATA ELA WEWE UNA UMIA??
Unataka niamini kwenye concept kuliko reality????.....ulichokiandika mbona hakina point yoyote???......labda km na ww ni mmoja wa kondoo wake period!!
 
Nilikuwa nafuatilia Ibada yake kwa njia ya mtandao kule Facebook nimestaajabu Sanaa.

Yani anagawa pesa Kama takataka kwa waumini wake na anakupa cash kabisa

Anakuita mbele, unaeleza shida YAKo na kiasi unachotaka then anakupa hiyo Hela cash hapohapo

Mfano Kuna mmoja aliomba laki mbili ( 200,000 ) kwa ajili ya kufanya biashara akampa laki tano( 500,000 ) mwengine kaomba laki nane akapewa milioni mbili

Kina mkaliwenu, hamorapa na wenzie kawaita kusalimia, kila mtu akapewa milioni.....kiufupi jamaa anagawa Hela Kama njugu yaani

Sasa nimejiuliza haya maela YOTE huyu nabii anatolea wapi??, Kuna nyuzi huku ziliwahi kuonesha pia magari yake ambayo ni mengi Sanaa Tena ya bei kubwa

Huyu ndugu ni sadaka TU ndio vinampa hizi Hela zote??,au Kuna inshu nyingine nyuma yake??

Mbona hata mwamposa anapiga Hela Sanaa lkn sijawahi kuona anafanya kitu Kama Cha huyu nabii??

Ama kweli Dunia inaenda kwa Kasi sanaa
Muache atumie pesa yake anavyotaka.
 
Huonagi hata mnada wa nguo, mtu anataja ofa anarushiwa nguo baadae unamuona mtu anapita kuzikusanya kisha zinarudishwa.
Hahahaa.......Umenikumbusha Siku Moja nikiwa Mombasa Kenya.

Kuna Foroza la uvuvi nilifika kuna mnada.

Sasa pale kuna wazee wanapiga mishe tena wenye umri mkubwa.
Basi Mvuvi akamwaga samaki pale mezani Bei zikaanza kutembea kwa njia ya mnada...
Nikiangalia bei ya samaki na kiwango cha zile samaki nikawa nawashangaa hawa wazee vipi? Wanaonekana wamechoka hizo pesa wanazotaja mbona ni kubwa kulinganisha na mzigo?

Basi yule mzee mmoja ndani ya kanzu jeupe lenye madoa madoa ya uchakavu na bargashia akataje bei ya juu zaidi. ..wanamnada wakamwachia zile samaki.


Mzee akakusanya mzigo huku anajichekesha. Mimi nikaenda pembeni kwenye nguzo nika kaa namfatilia atazipeleka wapi.

Baada ya kama dakika 15 watu wametawanyika akarudisha mzigo ukagawanywa mafungu ukauzwa kawaida.

Kumbe wale wazee wanategesha bei kwa wageni.

Utajua ni wenzako kumbe mchongo...nilicheka sana yule mzee kwa dhambi zake na umri ule😅😅😅
 
Back
Top Bottom