Huyu nabii GeorDavie achunguzwe, anagawa Hela Kama karanga

Sasa amesha kusanya za wajinga za kutosha , kajiwekeza sasa anatumia tatizo liko wapi hapo
 
Kwahiyo kwako unaona hakuna tatizo kabisa???, vipi na ww angekuwa amekusanya zako na ww ungekuwa miongoni mwa hao wajinga ndio ulichomaanisha si ndio??
Sasa amesha kusanya za wajinga za kutosha , kajiwekeza sasa anatumia tatizo liko wapi hapo
 
Kwahiyo kwako unaona hakuna tatizo kabisa???, vipi na ww angekuwa amekusanya zako na ww ungekuwa miongoni mwa hao wajinga ndio ulichomaanisha si ndio??
Hao matapeli wa kiimani hawawezi kunipata hata kwa hirizi na hawawezi kupata pesa yangu
 
Zinakuhusu hela zake au kuna mtu kalalamika kaibiwa si watu wanapeleka hizo jela shida iko wapi?
 
No free Lunch mkuu fanya kazi pata pesa zako hao unaoona wanapewa sio bure bure dunia yetu hii ina Siri nyingi sana
 
Ukipewa utakataa ? Au una lalama kwasababu hujapewa?
 
Bila shaka utakuwa umesoma kitabu cha 'The Secret' mkuu
 
Sadaka tu.
Nenda pale ukashuhudie.
Mimi nilikwenda.
Watu wanaitwa kwenda kwenye madhabahu kutoa sadaka.
Wanainuka,wanaenda kutoa sadaka,halafu wanarudi kukaa.
Wanaitwa mara moja.
Wanaitwa mara tano.
Wanaitwa mara kumi.
And that is just the beginning.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…