Je, ni kitu gani kinampa ujasiri wa kuwadharau Marais wa nchi zingine?
Inafahamika uwezo wa kijeshi hana lakini ana mbwembwe nyingi na kamdomo kwa wingi.
Je, si wakati muafaka kumpa kipigo cha mbwa koko ili afunge mdomo wake?
Sasa hivi anawashambulia na kuwaua walinzi wa amani, je anastahili kuendelea kuwa Rais wa nchi ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki?
View attachment 3223435
View attachment 3223446
Unajua kusoma? Kwa data ulizoweka Tanzania gini coefficient ni 48%. Hiyo yako ya 40% umeitoa wapi? Fungua tena hiyo link tafuta Tanzania alafu angalia na hiki umeandikaGini coefficient ya mwisho Tanzania kuchukuliwa ni hio 40, tena kipindi Cha jiwe ambapo Uchumi uliporomoka, wafanyakazi hawajaongezewa mishahara etc, sasa hivi wafanyakazi wa Chini wameongezewa mishahara by 20% na annual increment inaongezeka hakuna data Mpya ila ni nzuri kuliko hio 40, for the sake of discussion tutumie hio hio 40.
At same Time huo mwaka 2019 ambao yetu ilichukuliwa Gini coefficient yetu ilichukuliwa Ya Rwanda ilikua ni 46
Rwanda's Inequality Levels | 2025
The combination of GDP per capita with the Gini coefficient is a useful gauge of the extent to which an economywww.worldeconomics.com
Na hata tukichukua data za Tanzania za 2019 na Rwanda sasa hivi still tupo juu.
Na indicators nyengine zipo nyingi uwe tu zezeta ndio hutaona kama Tumewazidi kila idara hao Rwanda.
Boss nishakwambia screenshot unanichanganya, tumia link, nimepost link zaidi ya 50 nianze kupitia moja moja hadi nione screenshot yako?Unajua kusoma? Kwa data ulizoweka Tanzania gini coefficient ni 48%. Hiyo yako ya 40% umeitoa wapi? Fungua tena hiyo link tafuta Tanzania alafu angalia na hiki umeandika
View attachment 3223545
For the sake of discussion tuendelee na hio 48% vs 43% kama data zinavyoonesha still gape ni Kubwa 5% ya 60 million ni 5 million people, Tanzania imekomboa watu milioni 5 zaidi toka kwenye Umasikini,Haijulikani inapotokea kivipi? Link uliyoweka haikuonyesha Rwanda ilikua no Tanzania tu. PDF ya world bank huitaki???
Link hiyo hapo, onyesha wapi Kuna 52%
Macro Poverty Outlook for Rwanda : October 2024 Datasheet
Rwanda’s strong economic momentum continued in 2024 with 9.7 percent growth in the first quarter - led by services, manufacturing, and food production. Inflationary .documents.worldbank.org
Mkuu una matatizo? Umeweka link nimefungua, kwenye hiyo link Tanzania Ina gini coeff ya 48%, ndio nikascreenshot kuketea maana huenda hujui ulichoweka.Boss nishakwambia screenshot unanichanganya, tumia link, nimepost link zaidi ya 50 nianze kupitia moja moja hadi nione screenshot yako?
Tanzania haina Gini coefficient toka kipindi cha jiwe na tulijitoa kabisa wakati wake kwenye kutoa data za Serikali kwa uwazi
Mkuu una matatizo mahali? Mwanzo ulisema 52% ukasema umeweka link tusome, but link uliyoweka haikuwa ya Rwanda ilikua ya Tanzania pekee, ukaanza kubishaFor the sake of discussion tuendelee na hio 48% vs 43% kama data zinavyoonesha still gape ni Kubwa 5% ya 60 million ni 5 million people, Tanzania imekomboa watu milioni 5 zaidi toka kwenye Umasikini,
Na mtu anapokupa criteria usitumie moja tu changanya sasa zote hizo, Gdp per capita, gini coefficient, poverty rate etc ndio unapata idea jinsi gani tumewapita
Watoto wa 2000 tuwasamehe tu. Wamepata akili ya kujitambua bila kushuhudia majanga mengi. Hakuna vita hakuna ukimwi ndio maana haya majanga wanayachukulia poa. Kama wangejua vita inakuaje wangejua mgonjwa wa ukimwi aliekua mahututi kitandani anakuaje wangeelewaKeyboard warriors na nyie watoto wa 2000 mnapenda vita sana. Siku mkiipata mtakua mabalozi wa kutoa elimu
Si u copy link uweke? Nimeweka link zaidi ya 50 siwezi pitia kila link niangalie.Mkuu una matatizo? Umeweka link nimefungua, kwenye hiyo link Tanzania Ina gini coeff ya 48%, ndio nikascreenshot kuketea maana huenda hujui ulichoweka.
Hiyo link uliyoweka ifungue alafu tafuta Tanzania uone. Kwani we hiyo 40% kwenye hiyo link umeiona wapi??
Kwenye hiyo link yako Rwanda ana 46%, Tanzania tuna 48%. Nimescreenshot kwenye Tanzania ndio nikakuwekea uone, bado hujaelewa?
Wapi nimebisha unaelewa maana ya "for the sake of discussion tutumie 48%?"Mkuu una matatizo mahali? Mwanzo ulisema 52% ukasema umeweka link tusome, but link uliyoweka haikuwa ya Rwanda ilikua ya Tanzania pekee, ukaanza kubisha
Nikakuletea ya Rwanda, bado ukabisha. Nimekuwekea link ya hao hao world bank kuhusu Rwanda alafu unasea for the sake ya discussion. Kwani ulipoweka data za Tanzania kutoka world bank ulihisi za Rwanda hazipo? Kwa nini uliongopa kuwa world bank data zao zinaonyesha Rwanda Ina 52%??
Kwa nini pia uliweka link ya world inayoonyesha Tanzania tu alafu ukawa unasema na Rwanda zipo?? Hujui kusoma au link unazoweka huzielewi?? Au unahisi sisi hatujui lolote??
Hiyo link uliyoweka hapo ni wapi Tanzania inaonyesha Tanzania Ina 40?? Sasa hivi unajifanya kusahau link uliyoweka unataka nikukumbusheGini coefficient ya mwisho Tanzania kuchukuliwa ni hio 40, tena kipindi Cha jiwe ambapo Uchumi uliporomoka, wafanyakazi hawajaongezewa mishahara etc, sasa hivi wafanyakazi wa Chini wameongezewa mishahara by 20% na annual increment inaongezeka hakuna data Mpya ila ni nzuri kuliko hio 40, for the sake of discussion tutumie hio hio 40.
At same Time huo mwaka 2019 ambao yetu ilichukuliwa Gini coefficient yetu ilichukuliwa Ya Rwanda ilikua ni 46
Rwanda's Inequality Levels | 2025
The combination of GDP per capita with the Gini coefficient is a useful gauge of the extent to which an economywww.worldeconomics.com
Na hata tukichukua data za Tanzania za 2019 na Rwanda sasa hivi still tupo juu.
Na indicators nyengine zipo nyingi uwe tu zezeta ndio hutaona kama Tumewazidi kila idara hao Rwanda.
Toka mwanzo nilikuambia Tanzania tumeizidi Rwanda kidogo Sana, sio Kama unavyosema. Ndio ukaleta mambo ya hizo data ambazo ukataka tena kutufanya wajinga ukasema world bank data inaonyeha Rwanda Ina 52% kitu ambacho so kweliWapi nimebisha unaelewa maana ya "for the sake of discussion tutumie 48%?"
Lengo langu toka mwanzo ni kuonesha Tanzania ipo vizuri kuliko Rwanda, hata nikitumia data zako za 48 kwa 43 still zinaonesha Tanzania ipo vizuri zaidi, what's the point hata nikibisha? Wakati data zako zina prove point yangu?
Uongo, Dar es Salaam ina slums nyingi kuliko Kigali.CCM wana matatizo yao ila hawajafikia level ya Kagame, mfano Kigali hapo wapo tu 1.7M na dar ni kama mara 5 ya Kigali population ila Kigali ina slums nyingi zaidi kuliko dar, vinyumba vya udongo kibao, kifupi Rwanda Utajiri wao wanao watu wachache na Nchi nzima wapo kwenye Umasikini mkubwa.
Sisi tumewapita Rwanda Pato la mtu mmoja mmoja japo tupo wengi zaidi na hatumuibii mtu Rasilimali zake, kama ni ufisadi ni hela za humu humu ndani.
Link umeleta mwenyewe alafu hujui kilichomo humo. Wapi Tanzania Ina 40 Kama ulivyosema?Si u copy link uweke? Nimeweka link zaidi ya 50 siwezi pitia kila link niangalie.
Na gini coefficient hazipimwi kwa asilimia na wala. Hizo namba haimaanishi asilimia.
Je, ni kitu gani kinampa ujasiri wa kuwadharau Marais wa nchi zingine?
Inafahamika uwezo wa kijeshi hana lakini ana mbwembwe nyingi na kamdomo kwa wingi.
Je, si wakati muafaka kumpa kipigo cha mbwa koko ili afunge mdomo wake?
Sasa hivi anawashambulia na kuwaua walinzi wa amani, je anastahili kuendelea kuwa Rais wa nchi ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki?
View attachment 3223435
View attachment 3223446
Muongo kinoma, alafu anavhoweka hata hakijui. Akikuwekea link fungua ndano utakuta tofauti na anachoandikaUongo, Dar es Salaam ina slums nyingi kuliko Kigali.
Pia Kigali ni mji safi na salama zaidi barani Africa.
Itakuwa huelewi jinsi binadamu wengine wanavyofanya maisha yao. Wahindi, Waarabu na Wachina kuwa wengi Tanzania sio kwamba Tanzania ni kuzuri sana kuliko India, China na Uarabuni.Ila zinatofautiana huo umasikini, we unafikiri kwanini nchi jirani kama Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Congo etc wengi wapo Tanzania wa natafuta maisha? Tanzania tuna u afadhali sana huu ukanda wetu,
Kikwete siyo mchezo. Alimshughulikia jamaa.Je, ni kitu gani kinampa ujasiri wa kuwadharau Marais wa nchi zingine?
Inafahamika uwezo wa kijeshi hana lakini ana mbwembwe nyingi na kamdomo kwa wingi.
Je, si wakati muafaka kumpa kipigo cha mbwa koko ili afunge mdomo wake?
Sasa hivi anawashambulia na kuwaua walinzi wa amani, je anastahili kuendelea kuwa Rais wa nchi ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki?
View attachment 3223435
View attachment 3223446