Mkuu, empty mind kivipi wakati ni Daktari wa Falsafa!! Si umeona gamba la PhD!😃Dc mzuri Sana tatizo lake lipo kichwani hamna kitu
Sura sio issue. Sana maana hapa Tatizo watu vichwani hamna kitu empty mind
... hebu m-tag chap!Nakusemelea kwa mama akija kusoma huzi.
PhD holder huyu!Dc mzuri Sana tatizo lake lipo kichwani hamna kitu
Sura sio issue. Sana maana hapa Tatizo watu vichwani hamna kitu empty mind
Hiyo ya OTHER inamhusu huyu DC aisee!Kuna zile website ukiingia google kama unataka kujisajili sehemu ya gender kuna kipengele kimeandika
1.Female
2.Male
3.Other
Hii ya mwisho maana yake nini
Mungu kamuumba vyema kabisaHuyu ndio DC aliyetumbuliwa jana na mamlaka za uteuzi. Hakika CCM tuna watu!!View attachment 2544974View attachment 2544975View attachment 2544976View attachment 2544979View attachment 2544981View attachment 2544984View attachment 2544986
Mkuu mbona kama umekata tamaa sasa kama watu hawatagadilika hadi unaomba gharikaMhuni kama wahuni wengine1 Hatari sana tena sana. Huyu kweli anaongoza watu! Nchi hii Mungu aiangamize aiumbe upya na viumbe wapya
Kwakweli zilaumiwe sana mamlaka zinazo fanya vetting. Wanampotosha sana mh. Rais kwa sababu zao wanazozijuaHuyu ndio DC aliyetumbuliwa jana na mamlaka za uteuzi. Hakika CCM tuna watu!!View attachment 2544974View attachment 2544975View attachment 2544976View attachment 2544979View attachment 2544981View attachment 2544984View attachment 2544986
Naona wakili wako amekuziba mdomo
Mbona anaonekana kama comedy sana??alafu ni wachuga?
Kwani hujaona ile comedy amefanya pale uwanjaniMbona anaonekana kama comedy sana??alafu ni wachuga?
OhooooooHasagi huyu kweli?
sasa kama huyu niye anayetuongoza, basi hatuna maana duniani! Actually swa na lile jinamizi, hatupashwi as human beings kuwa treated hivi!Mkuu mbona kama umekata tamaa sasa kama watu hawatagadilika hadi unaomba gharika
Hatari na nusu
Yani hata aliependekeza jina lahuyo msanii anatakiwa pia aliwe kichwa. Hiyo nidhihaka kwa Mh. Raissasa kama huyu niye anayetuongoza, basi hatuna maana duniani! Actually swa na lile jinamizi, hatupashwi as human beings kuwa treated hivi!
exactly , nadhani atakuwa mwanamume na huyu ni hawala yake!Yani hata aliependekeza jina lahuyo msanii anatakiwa pia aliwe kichwa. Hiyo nidhihaka kwa Mh. Rais