ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
I wish Tanzania na Rwanda ziungane iwe nchi moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makofi ...tagadhari....huyu ndo raisi na akifanya kweli hadi 2025 hakuna kuimport chakula tumpatie AU aitunze mfukoniZanzibar kuna Damme?
Kama huwezi kuelewa kitu kidogo namna hii ni tatizo.Cha kushangaza huko kilindi hakuna huduma Bora kama za huko RWAnda unakopaona padogo
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Rwanda ina wananchi milion 12Kama huwezi kuelewa kitu kidogo namna hii ni tatizo, Rwanda yenye Wakazi laki 8 unashindwaje kuwalisha?
Uhakika wa hizo takwimu umeutoa wapi?Nina uhakika 99% ya Watu ( Watanzania ) wanaomchukia Rais wa Rwanda Paul Kagame Mioyoni mwao
Naunga mkono hojaSasa naona umuhimu wa huyu MTU KULA BAN,
Kweli wewe ni lunatic.Rwanda ina wananchi milion 12
Zanzibar ina wananchi milion 1
Vipi Zanzibar inalisha raia wake ?
Kubali hamna Akili.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
StupidKweli wewe ni lunatic.
We move!!!!
Nimpende, nimkubali ama la, haitatokea awe rais wangu. Ya nini kujishughulisha naye?"It is unacceptable that Ukraine a Country of 44 Milion people will feed Africa a Continent of 1.4 billion people. I promise all Rwandans that Rwanda will attain Food self sufficiency before 2025. I have authorized 1 billion dollars worth of Farming Materials, and all Logistics involved in boosting up our Farming industry" President Kagame.
Ukiona tu GENTAMYCINE nampenda ( namkubali ) sana Mtu jua nimeshampima na Kujiridhisha pasi na Shaka kuwa ni Mwerevu ( Genius ) na Visionary kuliko Watu wengine.
Nina uhakika 99% ya Watu ( Watanzania ) wanaomchukia Rais wa Rwanda Paul Kagame Mioyoni mwao Wanampenda, Wanamkubali na wanatamani hata Siku moja tu aje Kuiongoza Tanzania ili iwe Tajiri haraka ( kuliko ilivyo sasa ) kwa kutumia vyema Rasilimali zake.
Hivi kwa Madini kama haya ya Rais Kagame ukiwa kweli una Akili utaachaje Kumpenda na Kuwakumbatia tu akna Van Dame wa Zanzibar?
Kwa lugha nyingine ni kwamba hapo alimtukana Mstaafu wenu Mswahili kuwa hana Akili na Mimi GENTAMYCINE naungana nae Rais Kagame 100%.Binafsi namkubali sana PK. Anamisimamo yake yuko very strong. Ameijenga vyema Rwanda kuna street kama upo cape town yaani very smart though anaongoza sehemu ndogo ambayo haina resources kiviile.
Nakumbuka kamsemo kake kale ka kejeli ati ye angepatiwa tu bandari ya dar tungeona maajabu yake.
Rwanda can't Unite with a Hypocrite and Corrupt Nation of yours. The only Country that can at least Unite with us is Israel.I wish Tanzania na Rwanda ziungane iwe nchi moja
Mpeni Tanzania kwa miezi 6 tu aongoze hamtokuwa 'Mazuzu' tena.Yani me nashindwa kuelewa kabisa,mfano sisi tanzania tunashindwa nini??tatizo no viongozi tu.
Kagame yuko bright sana.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Kwa kuwapeni Sindano zangu zinazowaingieni hadi Mifupani mwenu au?Sasa naona umuhimu wa huyu MTU KULA BAN,
Huo ndio mtihani, na inatia Shaka unapoona anang'ang'ania, hataki hata mpinzani au mbadala wake. Je akiondoka, kuna atakayeendeleza mazuri anayofanya au ni muendelezo wa ubinafsi na kujiona yeye ndio kila kitu?Kila mtu anajua kagame ni smart kiasi cha kuendesha uchumi wa nchi yake ambayo ni sawa na wilaya katika mkoa wa morogoro kwa miaka zaidi ya 25 successfully
Kama yupo visionary & charismatic, nataraji kuwa ameshatengeneza strong system au succession plan itakayofanya kazi kipindi atakapofariki au atakapotoweka maana huo ndio ugonjwa wa viongozi wa kiafrika