Huyu ni Mungu wa aina gani anaacha niteseke kiasi hiki?

Huyu ni Mungu wa aina gani anaacha niteseke kiasi hiki?

Kuna thread inasema zijue tabia za wana jf, yaani kila comment hapa sifa yake ipo kule, kuna watu wanamjua Mungu hapa kuliko aliyeandika thread, kuna watu wanamaisha safi kabisa,😂😂😂😂.
mbn siipati hiyo sredi
 
Mungu Hayupo kama ulivyoambiwa kwenye Vitabu vyako vya Dini Yeyote ile Muislam au Biblia

1. Mungu Hataki zawadi wa Sadaka wala Zaka Zako ili akubariki

2. Mungu Amekuumba Na Akili kwahiyo humuitaji tena Ili kukusaidia. Eti namuomba Mungu nifanikiwe. Ameshakupa Akili Itumie. Yeye hahusiki tena

3. Mungu kakuweka Hapa Duniani upambane ili ufanikiwe

Hao Walioandikwa Kwenye Vitabu wote wana tabia za Kibinadamu. Tabia za Kuomba Vitu na Tamaa. Na Ukiwanyima wanakasirika,wananuna,wanakupa Laana n.k n.k. hizo si Tabia za Mungu hizo ni Tabia za Binadamu. Mungu hanuni..hakulaani..wala kukupa Mabalaa yeyote hapa Duniani

Binadamu tumeumbwa Kusaidiana kwahiyo Kama unataka Riziki utazipata Kwa Binadamu mwenzako. Maana Ukifanikiwa Utampa Binadamu mwenzako hutompa Mungu.

Mfano. Ukiniomba Mimi Mtaji wa biashara Nitakupa ila Toka nenda Mlimani Kasali uone kama Mungu atakupatia mtaji huo. Hutoupata. Kwahiyo Mungu ametuumba Tusaidiane sisi kwa sisi si Kumsumbua Yeye tena

Tafuta Pesa kwa Akili Mungu hausiki kwenye Mafanikio yako. Ndio maana Washenzi wanapesa na Wanaomtii Mungu pia Wana Pesa
This is deep
 
Daah!

Wakuu, najitahidi sana kufanya kazi kwa bidii kwa miaka kadhaa hapo nyuma mpaka leo mwaka wa tano huu bila kutetereka. Kama ni kuumia nimeumia sana. Kuna muda nafikia stage najiuliza ya kwamba hivi kama yupo MUNGU wetu tunayemuabudu, kumuimba na kumsifu kila uchao, je anaweza niacha naendelea kuteseka namna hii?
Unafanya kazi kwa bidii
Huna maradhi yaliyokulaza hospital
Uko timamu
Unapumua pumzi ya bure na bado unahoji kweli?
 
Kuna wakati sisi binadamu tunapo fikia kikomo wetu wa kufikiri au kutatua changamoto hapo ndipo mungu huanza kufanya kazi, na uonapo giza limekuwa kingi ujue kupambazuka kumekaribia.

Pole ndugu kwa uelewa wangu mdogo jaribu kubadili badili mbinu za kupambana ila usitoke kwenye malengo. MUNGU NI MWENA SIKU ZOTE HUTENDA MAMBO AMBAYO MWANADAMU AMEYASHINDWA
Kuna wakati sisi binadamu tunapo fikia kikomo wetu wa kufikiri au kutatua changamoto hapo ndipo mungu huanza kufanya kazi, na uonapo giza limekuwa kingi ujue kupambazuka kumekaribia.
 
Mungu huwa hapendi kulaumiwa, ila anapenda kulalamikiwa. Mlalamikie kumuonyesha kuwa njia yako ni YEYE na bila yeye huwezi kutoka hapo ulipo. Usiendelee kumlaumu kwa sababu kwa kufanya hivyo, ATAKUPIGA muda siyo mrefu. Ni uhakika na siyo utani
Wafia dini mnajua sana kutisha watu.
 
Mungu huwa hapendi kulaumiwa, ila anapenda kulalamikiwa. Mlalamikie kumuonyesha kuwa njia yako ni YEYE na bila yeye huwezi kutoka hapo ulipo. Usiendelee kumlaumu kwa sababu kwa kufanya hivyo, ATAKUPIGA muda siyo mrefu. Ni uhakika na siyo utani

Yaani Wewe Hyo Mungu wako ana sifa hizi

1. Hapendi kulaumiwa. Hii ni sifa ya Binadamu

2. Anapenda akualalamikiwa. Yaani Huyu hana Tofauti na Wewe Mkayanga

3. Anapenda Kupiga yaani Anawapiga Hadi Binadamu kwa kuwaumba Mwenyewe

Huyo hata Kuwa Mungu bali ni Kama Jini Fulani au Roho Yenye chuki. Mungu wa Kweli hana Hasira wala lawama wala Kitu chochote kile Juu yako. Yeye keshamaliza Kukuumba Pambana.

Eti Mungu nikimuomba ananibariki najenga na Kuwa na Gari na Mali. Mbona Hujiulizi Hata Washenzi wana magari na Majumba Kuzidi walio na Mungu.
 
Yaani Wewe Hyo Mungu wako ana sifa hizi

1. Hapendi kulaumiwa. Hii ni sifa ya Binadamu

2. Anapenda akualalamikiwa. Yaani Huyu hana Tofauti na Wewe Mkayanga

3. Anapenda Kupiga yaani Anawapiga Hadi Binadamu kwa kuwaumba Mwenyewe

Huyo hata Kuwa Mungu bali ni Kama Jini Fulani au Roho Yenye chuki. Mungu wa Kweli hana Hasira wala lawama wala Kitu chochote kile Juu yako. Yeye keshamaliza Kukuumba Pambana.

Eti Mungu nikimuomba ananibariki najenga na Kuwa na Gari na Mali. Mbona Hujiulizi Hata Washenzi wana magari na Majumba Kuzidi walio na Mungu.
Basi fanya madudu halafu utakuja kuwashuhudia walio karibu nawe. Na wakati mwingine unaweza usipate kabisa hata hiyo nafasi ya kuwashuhudia kwa sababu utakuwa haupo.

Mali, nyumba na magari siyo BARAKA, bali ni MATOKEO YA BARAKA. Kwa hyo si kila mwenye mali ana BARAKA kwa sababu hata anayeiba mali ya umma huku akiwaacha maskini wanakufa kwa njaa, ana uwezo wa kununua gari na kujenga nyumba, ila kwa mali ya wizi!
 
Angekunyima macho na mikono ungeweza kuja kumlaumu hapa?
Kama amekupa macho na mikono kiasi Cha kuweza kuja kuandika hapa jf na kumlaumu hiyo ni neema pia maana kuna wengine hawaoni wala hawashiki
 
Angekunyima macho na mikono ungeweza kuja kumlaumu hapa?
Kama amekupa macho na mikono kiasi Cha kuweza kuja kuandika hapa jf na kumlaumu hiyo ni neema pia maana kuna wengine hawaoni wala hawashiki
Mungu Hanyimi Mtu kitu alipomuumba Binadamu alimkamilisha kila Kitu... Huyo anayenyima hatakuwa Mungu bali kiumbe Kingine tu Chenye Chuki zake Binafsi. Sasa Akuumbe Halafu Akunyime Mikono Ili Iweje Sasa. Yeye anafaidika Nini Usipokuwa na Mikono
 
Mungu Hanyimi Mtu kitu alipomuumba Binadamu alimkamilisha kila Kitu... Huyo anayenyima hatakuwa Mungu bali kiumbe Kingine tu Chenye Chuki zake Binafsi. Sasa Akuumbe Halafu Akunyime Mikono Ili Iweje Sasa. Yeye anafaidika Nini Usipokuwa na Mikono
Ambao wamezaliwa vipofu na hawatembei au hawana mikono waliumbwa na nani?
Bogus.
 
Basi fanya madudu halafu utakuja kuwashuhudia walio karibu nawe. Na wakati mwingine unaweza usipate kabisa hata hiyo nafasi ya kuwashuhudia kwa sababu utakuwa haupo.!

Kufanya Madudu maana yake nini Ndugu yangu

Mali, nyumba na magari siyo BARAKA, bali ni MATOKEO YA BARAKA. Kwa hyo si kila mwenye mali ana BARAKA kwa sababu hata anayeiba mali ya umma huku akiwaacha maskini wanakufa kwa njaa, ana uwezo wa kununua gari na kujenga nyumba, ila kwa mali ya wizi!

Ndio maana Nikasema Mwenye Enzi Mungu ameshamaliza Kukupa Akili ndio maana Hata Wenye Akili za Kukuibia Mali wanafanikiwa. Kwahiyo usimlaumu Mungu Kwanini Hakubariki wakati keshakubariki Akili.

Na Mwenye Enzi Mungu hawezi Kukuba Laana Kisa Humwombi au akuletee Sijui Moto [emoji91] kutoka Mbinguni Hizo ni Story za Watu tu. Yeye keshamaliza uimbaji wake. Kikubwa tafuteni Na Pendaneni Nyie kwa Nyie Maana Usipompatia ndugu yako Msaada Mungu hawezi mpatia Msaada. Usipompemda Ndugu yangu Mungu hawesi kutoka Huko aliko akaja Kumpenda[/QUOTE]
 
Ambao wamezaliwa vipofu na hawatembei au hawana mikono waliumbwa na nani?
Bogus.
Kwahiyo Ni kazi Ya Mungu kuumba Vipofu na Viwete!? Ndugu yangu mbona Hutumii Akili tu Timamu hapo. Kama Unaamini Hayo Angewaumba Binadamu wa Kwanza Wawe viwete na Vipofu ndio tungejua Anaumba Vipofu na Viwete

Mtu akiwa kipofu kuna Sababu ya Yeye kuwa Hivyo si kwamba ameumbwa Na Mungu. Mungu keshaweka Mifumo ya Uzazi Ijiendeshe yenyewe Ukiikorofisha Mwnyewe ni Juu yako. Mungu kaweka Mifumo toka Mwanzo alipoumba Binadamu ili wazaliane baada ya Hapo Si kwamba Anatoka alipo anakuja Kuweka Mtoto tumboni Kilema au Kipofu

Tumia Akili Ndugu yangu.
 
Kwahiyo Ni kazi Ya Mungu kuumba Vipofu na Viwete!? Ndugu yangu mbona Hutumii Akili tu Timamu hapo. Kama Unaamini Hayo Angewaumba Binadamu wa Kwanza Wawe viwete na Vipofu ndio tungejua Anaumba Vipofu na Viwete

Mtu akiwa kipofu kuna Sababu ya Yeye kuwa Hivyo si kwamba ameumbwa Na Mungu. Mungu keshaweka Mifumo ya Uzazi Ijiendeshe yenyewe Ukiikorofisha Mwnyewe ni Juu yako. Mungu kaweka Mifumo toka Mwanzo alipoumba Binadamu ili wazaliane baada ya Hapo Si kwamba Anatoka alipo anakuja Kuweka Mtoto tumboni Kilema au Kipofu

Tumia Akili Ndugu yangu.
Unasoma unacho kiandika lakini? Mbona unataka kuniaminisha huna akili timamu?
Nimekuuliza vipofu na vilema wameumbwa na nani?

Acha kuandika maneno mengi alafu utumbo tu kama mtu ambae hafikirii au kama kuku aliekatwa kichwa
 
Unasoma unacho kiandika lakini? Mbona unataka kuniaminisha huna akili timamu?
Nimekuuliza vipofu na vilema wameumbwa na nani?

Acha kuandika maneno mengi alafu utumbo tu kama mtu ambae hafikirii au kama kuku aliekatwa kichwa
Mungu haumbi Kipofu wala Kiwete. Hizo ni Itilafu za Mwili wako wa Uzazi. Yeye alishaumba Binadamu wa Kwanza aliyekamilika akamwachia Mfumo wa Uzazi na Ndio unaendelea mpaka Leo

Kitendo cha Kuzaa mtoto kipofu au Kiwete Si Kazi yake ni Kazi ya Mfumo wako wa Uzazi
 
Mungu haumbi Kipofu wala Kiwete. Hizo ni Itilafu za Mwili wako wa Uzazi. Yeye alishaumba Binadamu wa Kwanza aliyekamilika akamwachia Mfumo wa Uzazi na Ndio unaendelea mpaka Leo

Kitendo cha Kuzaa mtoto kipofu au Kiwete Si Kazi yake ni Kazi ya Mfumo wako wa Uzazi
Kiumbe wa Kwanza ulimuona?
 
Back
Top Bottom