Huyu ni Mungu wa aina gani anaacha niteseke kiasi hiki?

Huyu ni Mungu wa aina gani anaacha niteseke kiasi hiki?

Bado unauliza ni Mungu wa aina gani wakati unakula, na kushiba na una viungo vilivyokamilika vya kukuwezesha kujipatia riziki?

Always unapojisikia upo desperate, ama haupo unapotaka kuwepo maishani hebu waangalie wa chini yako. Angalia wanavyostruggle. Halafu mlani shetani na umshukuru Mungu kwa alipokufikisha.
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU. Ni ujumbe mzito sana. GOD bless.
 
Thibitisha kuwa kiumbe wa Kwanza alikua hana kasoro yeyote?
Na wanaozaliwa na kasoro hawajaumbwa na Mungu
Angekuwa na Kasoro ya Kuzaa viwete na Vipofu wewe ungekuwa ni Kipofu au Kiwete hapo Ulipo. Na Duniani Tungejaa watu ambao si Kamilifu. Tungerithi Hayo Mapungufu ya Kuwa Kiwete na Kipofu kutoka Kwao

Kuzaliwa na Kasoro haimainishi Mungu ndie Amekuumba Na Hizi kasoro yaani Mungu yeye ni (Mkamilifu na Si Dhaifu) ila Akae chini aumbe Kiumbe chenye Ukilema na Upofu hilo Jambo Linaingia Akilini kweli, au mmekalilishwa Kwamba Wakati mtoto anatungwa mimba basi Mungu ndio Yupo Pembeni anaumba. Huo ni Mfumo alishauweka Zamani sana Hausiki nao unafanya Kazi yake Bila Yeye Kuwepo ni wewe na Huyo Mkeo Ndio Mlete Kiumbe Duniani maana Ndio kawaumba Hivyo

Swala la Mtoto kutoka Kilema Au Kipofu au Mwenye Kasoro fulani hilo ni swala la Kizazi chako wewe au Kizazi cha Mwenzako siyo swala la Mungu. Yaani Upate ajali ukiwa Utotoni Uvunjike Nyonga upate itilafu kwenye kizazi uje Uzae Mtoto anahitilafu umsingizie Mungu amekuumbia Kilema.

Kama Mungu angekuwa anaumba Kusingekuwa na Haja Ya Wanawake kuwa na Wanaume wangesubiri Mungu awaumbie wao Wazae tu. Yeye keshakuwekea Mfumo Tafuta Mwanamme/Mwanamke mzae Basi
 
ipo siku utayaishi hayo maisha katika kumbukumbu tu, endelea kumuomba Mungu akunyoshee njia na kukuelekeza mahali salama uwe na maisha mazuri
 
Pole sana mkuu kwa unayopitia, ila mie nakushauri ufanye subira Mwenyezi Mungu hajawahi kuwahi au kuchelewa atakubariki kwa wakati wake. Wakati wa Mungu ni wakati sahihi.
 
Pole sana mkuu kwa unayopitia, ila mie nakushauri ufanye subira Mwenyezi Mungu hajawahi kuwahi au kuchelewa atakubariki kwa wakati wake. Wakati wa Mungu ni wakati sahihi.
 
Wakuu
Najitahidi sana kufanya kazi kwa bidii kwa miaka kadhaa hapo nyuma mpaka leo mwaka wa tano huu bila kutetereka.

Kama ni kuumia nimeumia sana. Kuna muda nafikia stage najiuliza ya kwamba hivi kama yupo MUNGU wetu tunayemuabudu, kumuimba na kumsifu kila uchao, je anaweza niacha naendelea kuteseka namna hii?
Upp sehemi gani mkuu, nataka twende ocean road mara moja.
 
Kwa hali nayoipitia me naona kabsa afadhal yao hawajiwez wanapata vimsaada kuliko mimi nabaki nateseka tu mitaani hali ngumu
 
Kuna wimbo moja wa wakristo unaimbwa

"MUNGU wangu, we wajua sababu, kwaniiii niyapitie hayaaaa, MUNGU wangu wangu we wajua sababu, kwaniniii niyapitie hayaaa"×2
download (10).jpeg
images (62).jpeg


Halafu kuna mwingine wanauimbaga
" Ipo yangu tuuuuu, ipo si sikuuuuu, ipo siku yangu tu namiiii nibarikiwe"

images (64).jpeg
images (63).jpeg
download (12).jpeg
 
Kila hali unayopitia jifunze kumshukuru Mungu iwe nzuri iwe mbaya, acha manung'uniko Mungu anatulinda na vingi sana tusivoviona ila tunapenda kulalamika tuuu.
 
To experience God's strength, you have to be aware of your weaknesses as a human being. When you're weak is when you realize you are nothing without him (God). Jesus went through 40 days of fasting to overcome Satan trials who eventually came out stronger spiritually.
 
Wakuu
Najitahidi sana kufanya kazi kwa bidii kwa miaka kadhaa hapo nyuma mpaka leo mwaka wa tano huu bila kutetereka.

Kama ni kuumia nimeumia sana. Kuna muda nafikia stage najiuliza ya kwamba hivi kama yupo MUNGU wetu tunayemuabudu, kumuimba na kumsifu kila uchao, je anaweza niacha naendelea kuteseka namna hii?
ngoja Niache Nteseke atusaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom