Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Kwa hiyo kumbe ili kupata pesa nyingi inatakiwa kuwa na showroom za magari? Naona mnazitaja sana..Pesa ndogo Sana hio am 32yrs na Nina 1B kasoro ..na sijulikani na mtu yoyote natembelea tu ka vanguard ..show room ya magari ziko mbili mikoa miwili tofauti
Shida ya Tz ujuaji mwingi sana,,mtu anakwambia b50 ndogo kweli,, huyo atakua anamatatizoWatu wa JF, dadekiii hapo hata mchana hujala na usiku hujui utaendaje afu unasema hela ndogo hiyo
Wala hutahitaji kuzitumia zenyeweBilioni moja kuimaliza sio kazi ndogo
Ukiwa unatumia laki moja kila siku, itakuchukua miaka 30 kuimaliza bilioni moja
Alifungua?Watu hatusomagi yale maelezo nyuma ya account opening form. Nakumbuka kuna mzungu mmoja nilikuaga namfungulia account akaomba aondoke na forms kwanza. Kesho yake akaja ame underline baadhi ya vipengele anataka ufafanuzi. Nikamuelezea ila vingine vikawa vigumu nikaipangua nikampeleka kwa boss wangu maana mi pia nilikua sijawahi kusoma nilijibu kwa experience tu
Mkuu anayesema hiyo pesa ni ndogo utakuta yeye binafsi hajawahi hata kutafuta pesa au kumiliki zaidi ya 10m kihalali..$25 Millioni ni hela nyingi sana dunia nzima.
Usijaribu kudanganya watu.
duuh kama si yeye mwenye hzo b57 watu wana maweAisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.
Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.
Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.
Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?
Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Hujui unachoongea.. Soma about money laundering and effect zake.Watu wana BTC 10 na nimadogo wengine casino,youtube,wengine insta,wengine prize pools,watu wana mabillioni wanaishi kawaida huku nchi ambayo inawaza umasikini,wivu,njaa kibao milioni 30 tu eti umetoa wapi ,kwani yako inakuhusu nini,kwani wapi imeandikwa kiwango cha mwisho cha kumiliki hela?
Huamini ninaweza kuwa na 847m 🏦 bank
Hivi show room Kuna crown za 2012 na 2014 ngapi na alphard ngapi na canter ngap , horse mbili za scania 124 na magari mengine ..show room ingine Kuna LX cruiser na cruiser 76 series Ni Bei gani hizo Kama unafahamu mixer magari mengine madogo dogo Ni pesa ngapi hizo hadi bank ushindwe kwa na 800m plus
Haya Bado wenye ma bus hao kina abood nk bus moja Ni sh ngapi na analeta ngapi .. imagine 430m+ na zinakuja bus 16 ..equal to 6.8bil unahisi bank anabaki na sh ngapi hapo unahisi anaweza toa 7b abaki na 1B bank?
Pesa Sio matako,kila mtu anayo.Kama aliwezapata wewe unakosaje
Hiyo pesa popote pale duniani ni hela nyingi sana. Unatambulika kuwa ni tajiri ukiwa nayo. Sasa mjuaji wa jf anasema pesa hiyo ni ndogo.Shida ya Tz ujuaji mwingi sana,,mtu anakwambia b50 ndogo kweli,, huyo atakua anamatatizo
Hatari sana mkuu, sasa huyo mwamba mmoja tu, kwa mfano huu basi kuna raia hapa bongo zina mkwanja na noti za hatari sanaSio bongo tu hata U.S,25 miliion dollar hio unaishi downtown Maryland bila kazi yeyote hadi unakufa na mzigo hauishi
Mkuu ulichoandika mbona tofauti sana na nilichomaanisha?Kwa hio zizuiliwe kwa sababu wewe mchana hujala? Kwani Kuna mtu kadhulumiwa
Nlishangaa ilitoka list humu matajiri wa Tz mzee hayupo. Dah manake ilibdi nichek walahiJamaa ana bil 57 bank ila Kuna wale washamba million 100 tu utasikia kwetu matajiri..mara walishe mbwa burger mara hivi ushamba mzigo .
Watu wa Pwani haswa zanzibar Wana madili ya hatar wanapiga pesa ila hata kujionyesha ni ngumu sana ...wengi ni dili haramu kama kawaida wanauza mpaka unga ila ngumu sana kuwajua kama wana pesa.
Labda mkuuHao wanatakatishaa pesa za officials wa serikal hao wala wasikutishe... Et ana show room.. bla bla. Hiv bil57 mchezo.. huyo anatakatisha pesa za viongoz wa burundi huyo kama sio uganda