Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Pesa ndogo Sana hio am 32yrs na Nina 1B kasoro ..na sijulikani na mtu yoyote natembelea tu ka vanguard ..show room ya magari ziko mbili mikoa miwili tofauti
Kwa hiyo kumbe ili kupata pesa nyingi inatakiwa kuwa na showroom za magari? Naona mnazitaja sana..
 
Ila huu mkeka wa huyu jamaa umenifanya nijisikie hopeless sana.., mtafanya watu tuanze kuuza madawa ya kulevya jamani, hii mikeka yenu msiwe mnaiweka hadharani bhana, mi najionaga nina pesa, kumbe hamna kitu kabisa aisee ,daaah, mnatupa msongo wa mawazo
 
Alifungua?
 
duuh kama si yeye mwenye hzo b57 watu wana mawe
 
Hujui unachoongea.. Soma about money laundering and effect zake.

Kama hizo fedha ndizo zinafadhili M23 na Magaidi wengine utajuaje?? Unafikiri hao jamaa wanakaa msituni wanakulaje, wanaishije, wanapata wapi silaha?? Huyo jamaa within 15 days amefanya transaction ya zaidi ya 50b unataka asihojiwe??
 
..huyu angekua kenya wangeshamkamata..hii bank statement inaonyesha typical money laundering....yani hela zinazoingia ni nyingi kuliko zinazotoka...na biashara zake wala haziendamni na hela inayoingia..nadhani tz kuna watu wengi mno wanafanya money laundeirng bila kufatiliwa....kiboko yao alikua jpm....sasa wakati wa mama naona wamefungulia mbwa wanapitisha hela haramu mno kwenye ma accounts huko....yaani TRA wanabiri waongeze nguvu kwenye hili....
 

Nafikiri hamuelewani mwenzako anazungumzia 25ML USD Wwe unazungumzia 847Ml TSH.

HIZO NI PESA MBILI TOFAUTI KABISA!! 25ML USD Ni hela ndefu haswa!!

Kama unayo 847 ml USD ni sawa na mtu anazungumzia katibia 2 trilllion Tsh
 
Nlishangaa ilitoka list humu matajiri wa Tz mzee hayupo. Dah manake ilibdi nichek walahi
 
Hao wanatakatishaa pesa za officials wa serikal hao wala wasikutishe... Et ana show room.. bla bla. Hiv bil57 mchezo.. huyo anatakatisha pesa za viongoz wa burundi huyo kama sio uganda
Labda mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…