Usangu logistics wanaweza kuwa nazo hizi.
Kwani Rais ataingilia?Hao jamaa nao wanaleta ujuaji tu.. Yaani afanye editing then azihusishe taasis kama TRA na Rais..
Wanatuona wajinga flani sana humu kwmba 50B ni ndogo.Mo mwenyewe 20b pale Simba haieleweki ilipo alafu mtu anakuja kusema 50b ni pesa ndogo. Ingekuwa ni ndogo 20b Mo angeitoa bila hata kupepesa macho..
Watu waache utani aisee.. Hustle unazofanya mtu mpaka account yako iguse angalau 9 figures lazima jasho likuvuje sana..
Na save kwenye google calender kabisa ili kwenye tarehe 12 january kama haujaupandisha uzi nikukumbusheNgoja mwaka upinduke...
Ntawashushia nyuzi khs huyu pcb sjui pck [emoji1]
Ngoja sahv ninyooshe mgongooo
Na mwili mkuu
Ova
View attachment 2464125
Ulivyosema wenye yard wengi ni pashtu(wapakistani) basi nikashtuka na kuangalia yard ya jirani yangu hapa.Hapana,wenye yard wanatumika tu kama kupokea hela na kuziingiza kwenye mzunguko wao wa biashara
We hujiulizi,wamiliki wengi wa yard
Ni mapaka(wapakistan)
Mkuu ngj thingies 2023 tutakuja na uzi murwaaa kufunuana khs a,b,c
Ova
Usijibu kienyeji kijana.Za Kenya
Usijibu kienyeji kijana.
KCB Bank ni ya Kenya ila hilo ni tawi la Tanzania.
Charges ni kufuata regulations za Tz na sio za Kikenya. Hutakaa uone StanChart wana charges based on UK regulations au Stanbic wana charges based on South African regulations.
Bank yeyote inayofanya kazi Tz wanafuata sheria za kibenki za Tz kwa muongozo wa BOT na sio wa Kenya.
Wanatuona wajinga flani sana humu kwmba 50B ni ndogo.
Jamaa ana kanzu na sijida juu halafu kazungukwa na chupa za Hennessy. Kama ni nzi kwenye kidonda kawaita mwenyewe
Hebu weka na ile link ambayo anatangaza kutoa mikopo kwa watu. Je ana leseni ya kutoa mikopo kwa kufuata sheria za fedha pamoja na BOT?
Hapo kwa Makonda amekumbushia tu..Kwani Rais ataingilia?
And what was point ya kupost Instagram, ili watu waone TRA wanaibia watu?
Plus anasema ni vita ya Makonda. Why sasa?
Inaandikwa fear kweli mkuu?[emoji29][emoji29]
Kweli life sio fear, wakati wengine hapa hatuna ata mia mfukoni just imagine mwana wa mai[emoji16]
Hahaha Huyo ndiyo Bob Sambeke Jr Bilioea wa Moshi.
Umenikumbusha jana nilikuwa namsikia Sophie Umelowa wa Harmonize, anasema "mimi ni children" yaani 'young' na Kajala ni mtu mzima.
Kwamba huyu jamaa hajionyeshi [emoji23][emoji23]