Huyu Polisi wa zamani Marehemu Mkama Sharp alikuwa na Kipaji gani ambacho Polisi wengi wa sasa hawana?

Arusha alikuwepo SABASITA KIMARO. Niliwahi kumuona alfajiri miaka ya 90 amedhibiti vibaka wasiopungua kumi pale around about kaloleni vibaka wanapelekwa kituoni kwa kwata na amri za kufa mtu huku wote wajaa vumbi hawafai tena!
 
Daaah nimecheka utafikiria mazuri
 
Aisee! kumbe Tunda ni mtoto wa Kimaro a.k.a "SABA SITA" mbona sasa binti machepele sana mzee ameshindwa kum-discipline ?
Si ndio hapo yaani kabinti ni kama kamempiga bao msure wake.
Any way labda Ni mapenzi ya kupitiliza kwa watoto. Au mama yake binti ndio tatizo.
Changamoto Sana sifa zote za mdingi zinaweza kuharibiwa na mtoto
 
Si ndio hapo yaani kabinti ni kama kamempiga bao msure wake.
Any way labda Ni mapenzi ya kupitiliza kwa watoto. Au mama yake binti ndio tatizo.
Changamoto Sana sifa zote za mdingi zinaweza kuharibiwa na mtoto
Acha tu, dingi na undava wote lakini kashindwa kudhibiti kale kabinti.
 
Acha tu, dingi na undava wote lakini kashindwa kudhibiti kale kabinti.

Watoto wa Kike wana Changamoto zao Kiongozi na ukijifanya unamfuatilia sana utaishia kuambiwa ama unatembea nae au uko mbioni kutembea nae.
 
MSITAJE SANA WATOTO
KUNA WATOTO WENGINE AWAJAJULIKANA RASMI JAMAN KWENYE NDOA ZA WAZAZI WAOO MTAVUNJA ALTARE ..KAMA UNAHAKIKA ANAISHI KWA WAZAZI RUKSA ..ILA KAMA AMNA UHAKIKA MTAVUNJA MADHABAHAU WAPENDWA WENGINE TUMEWEKA SIRI MPAKA SASA INGAWA NDUGU WANAJUA...
TUWASITIRI
 
kwaiyo dog akajua nikiingia hum wazee wa kaz watanifanya ndivyo sivyo dah ejikuta nacheka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…