Huyu raia Godwin Gondwe amepata wapi ujasiri wa kuvaa sare za JWTZ?

Eeee bhana eeeee !!
 
Vita ikitokea ikawa kali ata wewe hapo mtaani utachukuliwa uende frontier..Ova Ova alisikika Kijana enzi za Rais Adolf
 
DC ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama katika wilaya husika!

Kwa hiyo vikosi vyote vya ulinzi katk wilaya husika yy ndo mwenyekiti.

Na huwa DC anapigiwa saluti pia akiwa wilayani kwake sambamba na kupeperusha bendera ya taifa ktk gari yake.
 

Hapo sasa ...pata picha mshauri wa mgambo wa wilaya cheo cha luteni au kapteni na mkuu wa wilaya (hana cheo cha kijeshi ) wakutane wote wamevaa unifomu za jeshi , nani wa kumpigia mwenzie saluti?
 
Soma hicho kifungu.

Nishakisoma mkuu, na kinaeleweka Vizuri , lkn pia kuna uhitaji wa mwanasheria kukielezea zaidi maana hakijasema specific about who is been entitled legally to wear those any National defense uniforms , otherwise tunaweza sema hata wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya, Ministry of Defence, president and so whatever has the credentials to dress up with those kind of uniforms,reason behind is “ are party of the security and defense cabinets as part of their responsibilities “
 
Mhe Dc sio raia kama sisi uyo ni mwenyekiti wa kamati yanulimzi na usalama ya wilaya maana yake ndiye.mlinzi namba moja wa wilaya,atakua alipewa na wanajeshi wenyewe wanajenga daraja maana yeye ndie operation kamanda pale
 
Labda kwa kuwa yeye ndiyo mwenyekiti wa ulinzi na usalama basi huenda anaruhusiwa

Ila hivi kwanini huwa wanapenda kuvaa za JW tu!! za magereza au zimamoto hawazipendi??
Mimecheka sana,vyombo vya ulinzi vina heshima yake kulingana na majukumu yake,la kwanza kabisa ni JWTZ,Linafuata polisi,magereza,uamiaji na mgambo
 

Giving commands to someone’s this means ur a commander in chief that’s why wanavaa kama ulivyosema kwenye pragraph yako ya kwanza apo juu, otherwise utakuwa hujui kiundani hichi unachokitetea.
 
Halafu anajifanyaga mlokole huyo
Sijawahi ona mlokole akiwa ndani ya kombat za jeshi
Dah,mkuu ulokole na mtu kuvaa sare zs jeshi kuna ubaya gani ? Jeshini hakuna walokole ? Mi nahisi humpendi tu jamaa
 
MAREKAN MBALI ZIMEVALIWA SANA NA DUKA MOJA LA PALE MLIMANICITY NA UNAKUTA HADI WATOTO WANA FULL JEZI

JAMAA ANA BIFU NA DC KACHEMKA MASIKINI YULE DOGO N MSTAARABU MNYENYEKEVU ANA HOFU YA MUNGU IO KAMA NYIE MAPOYOYO MNAFIA NJAA KUTAKA MWENZENU ATOLEWE MTEULIWE MMECHEMKAA SANA..SOGO YUKO JUU MPAKA MAWINGUNI
 
Jibuni maswali rahisi yaliyoulizwa badala ya kutetea uozo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…