Huyu raia Godwin Gondwe amepata wapi ujasiri wa kuvaa sare za JWTZ?

Labda kwa kuwa yeye ndiyo mwenyekiti wa ulinzi na usalama basi huenda anaruhusiwa

Ila hivi kwanini huwa wanapenda kuvaa za JW tu!! za magereza au zimamoto hawazipendi??
Hujawahi Muona mkuu wa Wilaya ya Hai akiwa na za polisi?
 
Mbaya zaidi hata wale ambao hawajawahi pitia hata mgambo unaweza kuwakuta wamevaa mavazi ya majeshi yetu.
 
Kuna yule dada kule Morogoro aliyepiga picha na nguo za jeshi za brigedia jenerali, tulisikia kwamba yule bigedia jenerali alichukuliwa hatua. Hakika huyu akiachwa itakuwa ni double standard. Mwenye ile picha ya yule dada hebu weka hapa kwa ajili ya kumbu kumbu.
 
Mleta mada kwani hujui kuwa huyo ni mwanajeshi? Aliyekuambia ni raia Nani?
 
Huo ni moja ya ujinga unaoendelea kwenye hiki kinchi. Ujinga mwingine ni ule wa kusema Usipige picha eneo hili.
 
Sahv vazi Hilo kiongozi yoyote wa kijani ruksa kulivaaa ila usiwe cdm tu

Ova
 
Alikuwa kwenye operesheni inayofanana na ya kisheshi. Yeye ni mkt wa ulinzi na usalama wilaya hivyo vyombo vyote vya ulinzi na usalama wilaya zinamhusu.
 

Watu wanasiri nyingi sana. Yawezekana tunavyomfahamu sivyo alivyo.
Yawezekana ni mwanajeshi, kwani kuna wakuu wa mikoa ambao ni wanajeshi na wanavyaa sare za jeshi.
Pia JPM anavaaga na hakuna aliyeuliza.
 
Watu wanasiri nyingi sana. Yawezekana tunavyomfahamu sivyo alivyo.
Yawezekana ni mwanajeshi, kwani kuna wakuu wa mikoa ambao ni wanajeshi na wanavyaa sare za jeshi.
Pia JPM anavaaga na hakuna aliyeuliza.

JPM kuvaa ni sawa kwani yeye ni Amiri Jeshi mkuu...lakini kwa DC kuvaa sare za JWTZ hii ni mpya..Hata nafasi yake ya kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya haimruhusu kuvaa sare za jeshi....Awali ya yote napata taabu kuamini kama kweli Gondwe kama DC amevaa sare za jeshi...nataka niamini kuwa hii picha ni fake...Ila kama ni kweli basi lipo tatizo kubwa, na nataka niamini kuwa ataondolewa kwenye cheo hicho cha u-DC ..
 
Kwani akina Kibatala na Kambole wapo bize sana? Si muwaombe wakafungue shauri mahakamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…