Hapo alikuwa kwenye operation ya kijeshi mkuu halafu kavaa t-shirt na siyo kombat1. DC Gondwe amepataje credential za kuvaa sare za JWTZ?
2. Nani amempa DC Gondwe sare za JWTZ?
3. Sheria inasemaje kuhusu matumizi ya sare za JWTZ?
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?
Sawa mkuu. Uwe unakuja kusalimia ndugu zako mara moja moja
Hussein mwinyi angekuwa mtu wa kujimwambafay nadhani hadi Masjid angeenda nazo maana ndio waziri
Hata mm huwa nawashangaa yani za polisi hawazitaki kabisa wao na bakabaka tuLabda kwa kuwa yeye ndiyo mwenyekiti wa ulinzi na usalama basi huenda anaruhusiwa
Ila hivi kwanini huwa wanapenda kuvaa za JW tu!! za magereza au zimamoto hawazipendi??
Huyo ndio mwenyekiti wao wa ulinzi na usalama hivo ni ruksa kuvaa hata za gauni za askari akitaka uniform yeyeto ruksa kwake1. DC Gondwe amepataje credential za kuvaa sare za JWTZ?
2. Nani amempa DC Gondwe sare za JWTZ?
3. Sheria inasemaje kuhusu matumizi ya sare za JWTZ?
Kama kuna katazo hili la raia kutokuvaa sare za jeshi, kwanini hili limefanyika ?
Oooh nilifikiri mwakilishi wa SidiefHuyo ni mwakilishi wa Rais ngaz ya wilaya
Kumbe hata mimi balozi wa nyumba 10 naruhusiwa kuvaa.Amiri jeshi mkuu ngazi ya wilaya
Mbona hata Mkuu JP alipoingia madarakani alikuwa akizivaa sana hizo Uniforms!Rais wa Wilaya huyo. Awamu hii, Kila kitu kinawezekana.
Kwa hiyo ata Mtendaji Wa kijiji anaruhusiwa kuvaa kwa sababu anamuwakilisha rais kwenye kijiji?Amiri jeshi mkuu ngazi ya wilaya
Hapa ni ulaya? acha ungeseNguo aliovaa Gondwe sio sare ya JWTZ kwasababu ni T~SHIRT na Kofia za kawaida ; nguo ambazo leo hii mtu anaweza akaenda kwenye duka la MACY's au JC PENNY huko marekani au Canada na akanunua hizo nguo bila taabu yoyote!!! Ni ushamba na lack of exposure ndio inawasumbua watu; Gondwe angevaa tepe mabegani hapo mgekuwa na jambo la kudadisi!! Hizo Nguo za mabaka mabaka ni za kawaida sana ulaya na marekani kwa wenzetu. Waulizeni mabalozi wenu.
Avae za Tc sasaHuyu ni mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama kiwilaya, sioni kama ni tatizo
Kwa mujibu wa KJMT Mh. Rais ni Amiri Jeshi Mkuu sasa mkuu wa Wilaya ni Amiri Jeshi pia au... kuwa mwakishi haimaanishi awe amiri jeshi wa wilaya kiongozi.Huyo ni mwakilishi wa Rais ngaz ya wilaya
DC NI AMIRI JESHI MKUU WA VYOMBO. VYA ULINZI NA USALAMA WILAYANI. Tatizo nyie vijana wa siku hizi hamkupitia JKT pia mmeweka UCHADEMA mbeleSheria ichukue mkondo wake
Aliyekwambia Uamiri jeshi unakaimishwa nani? Unajua majukumu ya Uamiri jeshi (sio uraia) nyie fisiem msituharibie nchiHakuna kosa hapo.DC ni Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya Wilaya na kwa msingi huo yeye ni Amiri jeshi mkuu kwa ngazi ya Wilaya huku Rc akiwa Amiri jeshi kwa ngazi ya mkoa. Tukumbuke kuwa hawa wote wanasimama kwa niaba ya Rais ambaye ni Amiri jeshi mkuu. Majukumuambayo angeweza kuyatimiza Rais wao ndio huyafanya kwa ngazi zao. Hivyo si dhambi na si kosa kisheria kwa RC au DC kuvaa nguo za kijeshi. Na wakati mwingine inapotokea oparesheni yoyote ya kiusalama DC anapaswa kuwa mstari wa mbele, na haendi kama DC anaenda kama Askari wa kwa ngazi ya Wilaya.
Uongo utakusaidia nini ? mtatetea hadi uharo ili mjikimu wanafiki wakubwa nyie , mbona raia wengine wanadhalilishwa na hukuwahi kuwatetea kwamba hawakuvaa nguo za jeshi ?Nguo aliovaa Gondwe sio sare ya JWTZ kwasababu ni T~SHIRT na Kofia za kawaida ; nguo ambazo leo hii mtu anaweza akaenda kwenye duka la MACY's au JC PENNY huko marekani au Canada na akanunua hizo nguo bila taabu yoyote!!! Ni ushamba na lack of exposure ndio inawasumbua watu; Gondwe angevaa tepe mabegani hapo mgekuwa na jambo la kudadisi!! Hizo Nguo za mabaka mabaka ni za kawaida sana ulaya na marekani kwa wenzetu. Waulizeni mabalozi wenu.