Mimi nimekuelewa ninaishi morogoro.Kumshinda Abood Morogoro mjini inahitajika ufanye zaidi ya kampeni zinazoonekana. Hata angeenda Lisu akagombee hawezi fika hata robo ya kura za huyu jamaa, ni nabii anayekubalika kwao anasaidia sana sana wanamorogoro. Kama anahonga tume mwambieni anaharibu tu pesa zake hakuna wa kumshinda labda CCM waje wafanye ujinga wa kumuengua. Huyu jamaa haongei sana bungeni ila jimboni kwake matendo yake yanaongeleka sana. Mimi sio mwanamorogoro ika nimekaa sana huko
unajua kama kuna ujenzi wa tanki la maji unaendelea... ukimaliza eneo la azimio... kwenye ule mlima unaonekana mbele ya lukobe kambi tatu...???Abood useless kabisa mwaka wa 10 huu kihonda tangu ipanuke na kuwa mji mkubwa lakini Kuna shida za maji Wala hajisumbui kupiga kelele huko bungeni .
Yeye na biashara zake tu
Huyu jamaa alipaswa atoke hapo na yeye anajua watu wamemchoka
Ila Sasa nguvu ya pesa inamfanya abaki hako .
Hio ishu ya Tanki la maji kujengwa nimeisiki tangu mwaka 2010 Hadi leo Hilo Tanki halijakamilikaunajua kama kuna ujenzi wa tanki la maji unaendelea... ukimaliza eneo la azimio... kwenye ule mlima unaonekana mbele ya lukobe kambi tatu...???
na kweli kwamba morogoro kuna shida ya maji.. na hili ni tatizo la muda mrefu tangu enzi za Dr Mzeru
Eti pesa yako ya nauli unampa. Kama niyako siungebaki nayo chiz ww?Kuna mtu anamiki kampuni ya mabus, tunapanda tunalipa nauli na kusafirisha mizigo, anamiliki radio, tunasikiliza tunashirikiana naye anafanikiwa.
Fedha zetu za nauli anazitumia kuhonga kwa tume na wagombea asipige kampeni Bali apite bila kupingwa. Mtu huyu anashindwa kujua ridhiki inatoka kwa Mungu, anashindwa kujua Kuna siku Mali tutaziacha hapa Duniani. Anashindwa kujua dua za wanannchi wanaolilia haki ipo siku zitapokelewa na ataadhibiwa.
Unamiliki mabilioni ya fedha unaongaje kupata milioni kumi kwa mwezi? Unaongaje kupata kiinua mgongo za milioni mia tatu kwa miaka mitano? Mbona haya ni mapato yako ya siku?
Kwanini ufike mahali ushindwe kupambana jukwaani na mwenzako hadi utumie fedha kununua madaraka? Kuwapa watendaji wa serikali mafuta na usafiri kunakufanya wewe uwe exceptional kwenye uchaguzi? Kama unaamini umefanya kwanini usiende kwa wananchi kuwaeleza ulichofanya?
Naumia sana kuona huyu mzee anajiingiza kwenye Mambo ya giza wakati anao uwezo mkubwa wakumtumikia Mungu, kuwatumikia wananchi kwa haki na kusimamia adhi yake.
Huyu mzee sidhani kama alipaswa kuwa hapa alipo Sasa, natamani nikae nae Kama dada yake nimkanye ila sina nafasi yakumwona. This is not Abood i use to know! Lipo tatizo, uwezi kuwa mwema utotoni ukawa shetani uzeeni, it marks bad ending.
Mmh mbona kaandika facts tupu??
Jr[emoji769]
Rushwa + Abood = CCM
Ko mnatulilia huku, sisi ndo TAKUKURU?There is greedy and craving....To this guy this is not greed but craving..an extreme selfish if you can call it the other way round...bad enough posing himself as a devoted Muslim mshika dini hasa
Jr[emoji769]
Hapa ndio wanapokosea... lakini haimaanishi kwamba pangekuwa na mpinzani angeweza hayo mambo kwa wakati pia...Hio ishu ya Tanki la maji kujengwa nimeisiki tangu mwaka 2010 Hadi leo Hilo Tanki halijakamilika
Waluguru bado hamjajitambua ,Huyu jamaa kutoa basi moja kwa shughuli za misiba ndio maendeleo?Kumshinda Abood Morogoro mjini inahitajika ufanye zaidi ya kampeni zinazoonekana. Hata angeenda Lisu akagombee hawezi fika hata robo ya kura za huyu jamaa, ni nabii anayekubalika kwao anasaidia sana sana wanamorogoro. Kama anahonga tume mwambieni anaharibu tu pesa zake hakuna wa kumshinda labda CCM waje wafanye ujinga wa kumuengua. Huyu jamaa haongei sana bungeni ila jimboni kwake matendo yake yanaongeleka sana. Mimi sio mwanamorogoro ika nimekaa sana huko
tupo sisi mfano Mimi Nina Mashine yangu. ya kusaga unga ninakula halali tu.Ukizungumzia uovu hakuna atae pona hii nchi.
Tatizo mmeona kutoa hizo basi kwaajili ya msiba...Waluguru bado hamjajitambua ,Huyu jamaa kutoa basi moja kwa shughuli za misiba ndio maendeleo?
Sisi kama wajumbe tunafikisha ujumbe,,huyo amewafunga kwa vitu vidogo vidogo so nyie kwa uelewa wenu mnaona amefanya maendeleo,shtukeniTatizo mmeona kutoa hizo basi kwaajili ya msiba...
mbona hamuongelei mambo mengine... maana hayo ya kutoa gari ni ya kawaida sana... ni jamaa alishaamua hilo kwenye ratiba zake... na si vinginevyo...
mbona huko Tanga kuna watu wenye mabasi hutoa ticket za bure kila ijumaa...
tafuteni hoja mumtoe huyo jamaa hapo morogoro mjini acheni majungu
unapatikana mkoa gani kiongozi...??Sisi kama wajumbe tunafikisha ujumbe,,huyo amewafunga kwa vitu vidogo vidogo so nyie kwa uelewa wenu mnaona amefanya maendeleo,shtukeni
Elimu elimu elimu, Rombo.. Prof Adolf mkenda, siha... Dr mollel, vunjo... Dr Kimei, same... Dr mathayo , Moshi ...prof Ndakidemi
hope humjui vyema mkuu binafsi nlishawahi kugusia hili huwezi kuua viwanda kwa makusudi tena mh amesahau kiwanda cha sabuni komoa af uwe na Nguvu ya kuja mbele kuhitaji kuwaongoza haohao ulowaondolea fursa ya ajiraKwa Mema ambayo Abood huwa anawafanyia wana Mkoa wa Morogoro hasa pale wakiwa na Shida ( Misiba ) na mpaka wakati wa Furaha ( Ndoa ) ambayo hata Mimi GENTAMYCINE nimeshawahi Kufaidika nayo kwa namna moja au nyingine nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa Abood hafai kuwa Mbunge au Kuzipokea hizi Shutuma za Kisiasa dhidi yake.
Mapungufu yake haya hayaondoi Ukweli kwamba Jamaa ( Abood ) ni Mtu wa Watu sana na pia ni Mwema mno tu na asiyebagua wana Morogoro.
Mnaongea sana wakati hata ukipewa leo kiwanda hutaweza...hope humjui vyema mkuu binafsi nlishawahi kugusia hili huwezi kuua viwanda kwa makusudi tena mh amesahau kiwanda cha sabuni komoa af uwe na Nguvu ya kuja mbele kuhitaji kuwaongoza haohao ulowaondolea fursa ya ajira
ndo shida ya ss ngozi nyeusi unanipinga hapohapo unaniunga mkono!!ila ndo nature yao manake mpk leo ukimuliza mfanyakazi wa mo utapata huruma bt cheki anavyojitapua kuweka mapesa SimbaMnaongea sana wakati hata ukipewa leo kiwanda hutaweza...
Simtetei Abood kwani hata kipindi kiwanda cha komoa kinafanya kazi alikuwa anawaumiza sana kimalipo wafanyakazi wake....hapo ndipo nilipomchukia...ila all in all alijaribu kitu ambacho wengi wetu hatuwezi.