mlimilwa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,268
- 3,439
Abood,Gwajima na ote wanaotumia.ukwasi wao na kupitishwa bila ya kupingwa kama wanavyojitanabaisha.
Ndio hao wafishili wakubwa wanaoisaidia tawara hii.hadi wanagawa hela hovyo na kuzitumia.bila ya kuhoji.
Hebu jiulize.
Gwajima huyuhuyu aliekua anagombana wazwaz na mtoto wa pekee na mzee leo hii ote.aliowatukana wametulizwa na yeye.anapitishwa bila ya kupingwa.
Ukimuangalia jiwe siku ile anawasifia wajumbe kwa kazi nzuri,utaona kabisa hakua na laha usoni.
Kana kwamba kunakitu hakikua sawa .
Ndio hao wafishili wakubwa wanaoisaidia tawara hii.hadi wanagawa hela hovyo na kuzitumia.bila ya kuhoji.
Hebu jiulize.
Gwajima huyuhuyu aliekua anagombana wazwaz na mtoto wa pekee na mzee leo hii ote.aliowatukana wametulizwa na yeye.anapitishwa bila ya kupingwa.
Ukimuangalia jiwe siku ile anawasifia wajumbe kwa kazi nzuri,utaona kabisa hakua na laha usoni.
Kana kwamba kunakitu hakikua sawa .