Umeshindwa hata kum tag bae wako aisee πππThis is for my bae
ILYSM bae & a lot of bla bla then unakuja kumalizia ' mwenyewe anajijua π
Hapo ushaua ndege 2 kwa jiwe moja
Hata wewe watakuona wa hovyo kulingana na vitu vyenye unapendaEeh mbona mawazo yao yako hovyo sana?
Siwapendi wanaume wa dizain hiyo mm
Yule ni wa kule banaUmeshindwa hata kum tag bae wako aisee πππ
Mawazo yako.Hata wewe watakuona wa hovyo kulingana na vitu vyenye unapenda
Sawa mrembo nimekuelewaYule ni wa kule bana
Hebu tangini watu wenu chat za nini au mnamichepuko mingi.
Thubutuuuu sa zingine tu ata kumtaja mume ni shida [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Bahati mbaya mimi sina JfπWaonyeshe mfano waelewe vizurii
Bahati mbaya mimi sina Jf[emoji16]
Mimi ata status nlimuweka siku kanioa na nlieka bila caption ndani ya nusu nshatoa π€£ π€£ π€£ π€£ π€£Hahaha daaaah...Mungu anawaona
Yan hapo nimejitahidi sana
Nawangoja wachomoa code
Unaazishaje uzi bila kuwa mfano hebu tag harakaππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukijiunga usisahau kumtag
kwa kujua kuweka watu kwenye mabano haujamboThis is for my bae
ILYSM bae & a lot of bla bla then unakuja kumalizia ' mwenyewe anajijua π
Hapo ushaua ndege 2 kwa jiwe moja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] embu nianze kukufatilia huku mtaani[emoji2210][emoji23][emoji23] woii TH labda ni mimi si unajua huku ni Jeiefu
Kwanini?kwa kujua kuweka watu kwenye mabano haujambo
Usisahau mrejesho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] embu nianze kukufatilia huku mtaani[emoji2210]