Si polisi wala mahakama wala serikali pia inayozungumzia kifo cha Akwilina zaidi ya kulipa visasi visivyo na maana ya kurudisha uhai wake.Hata yule Abdul Nondo wa ngome ya vijana sijamsikia akisema lolote kama huu ndio mwisho rasmi wa kufuatilia haki za Akwilina.
Ila kiukweli wanasiasa ni kama wala rushwa tu wamepofushwa macho, fikiria katika hitimisho la kesi kama hii mbwembwe za kulipiana faini zinatoka wapi?.......haikuwezekana kulipiana kimya kimya huku tukitafakari damu isiyo na hatia ya mtoto Akwilina iliyomwagika?
Tuzidi sana kumuomba Mungu atuletee amani ile atoayo yeye ya mbinguni.
Nawatakia Kwaresma yenye baraka!
Hata yule Abdul Nondo wa ngome ya vijana sijamsikia akisema lolote kama huu ndio mwisho rasmi wa kufuatilia haki za Akwilina.
Ila kiukweli wanasiasa ni kama wala rushwa tu wamepofushwa macho, fikiria katika hitimisho la kesi kama hii mbwembwe za kulipiana faini zinatoka wapi?.......haikuwezekana kulipiana kimya kimya huku tukitafakari damu isiyo na hatia ya mtoto Akwilina iliyomwagika?
Tuzidi sana kumuomba Mungu atuletee amani ile atoayo yeye ya mbinguni.
Nawatakia Kwaresma yenye baraka!
Hata yule Abdul Nondo wa ngome ya vijana sijamsikia akisema lolote kama huu ndio mwisho rasmi wa kufuatilia haki za Akwilina.
Ila kiukweli wanasiasa ni kama wala rushwa tu wamepofushwa macho, fikiria katika hitimisho la kesi kama hii mbwembwe za kulipiana faini zinatoka wapi?.......haikuwezekana kulipiana kimya kimya huku tukitafakari damu isiyo na hatia ya mtoto Akwilina iliyomwagika?
Tuzidi sana kumuomba Mungu atuletee amani ile atoayo yeye ya mbinguni.
Nawatakia Kwaresma yenye baraka!
Mpumbavu ni baba Bigmind bwashee!Si polisi wala mahakama wala serikali pia inayozungumzia kifo cha Akwilina zaidi ya kulipa visasi visivyo na maana ya kurudisha uhai wake.
Si watu wenye akili wala wapumbavu kama wewe wanaozungumzia chanzo cha sababu ya kifo cha Akwilina, zaidi ya kuongozwa na husda na ukosefu wa busara.
Ni kukosa haiba na uhalali wa kisiasa kufumbia macho mkurugenzi wa tumeya uchaguzi na mwajiriwa wake kubaki bila kuwajibishwa.
Mwisho kuacha kuwakemea polisi katika matumizi ya nguvu hasa matumizi ya risasi za moto kuzuia watu walio beba matawi ya miti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani aliuwawa shuleni?Kwani marehemu Akwilina naye ana kesi mahakamani? Jo sometimes mahaba yanakutoa ufahamu na kufanya vitu vya hovyo
Jr[emoji769]
God have mercy on this girl, damu yako italalamika mpaka Mungu ajilipize kwa aliyehusika na kutoa uhai wako.R.I.P Acha unafiq poolisi si walishakiri sasa kizungumzwe nini tena? Pitia hapa
Maandamano ya CHADEMA: Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika
View attachment 1384362
Kwani aliuwawa shuleni?
Mwamba!Na nani?
Jr[emoji769]
Leo wamepata mapatoGod have mercy on this girl, damu yako italalamika mpaka Mungu ajilipize kwa aliyehusika na kutoa uhai wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lawama ni kwa dpp polisi waishakiri.CHADEMA waseme nini? Mahakama imesema kesi ya mauaji ya Akwilina sio yao, hivyo aliyepaswa kusema ni DPP na jeshi la polisi, waseme askari aliyempiga risasi huyo binti yuko wapi na amechukuliwa hatua gani.
Haya maneno waambie wauaji.Hata yule Abdul Nondo wa ngome ya vijana sijamsikia akisema lolote kama huu ndio mwisho rasmi wa kufuatilia haki za Akwilina.
Ila kiukweli wanasiasa ni kama wala rushwa tu wamepofushwa macho, fikiria katika hitimisho la kesi kama hii mbwembwe za kulipiana faini zinatoka wapi?.......haikuwezekana kulipiana kimya kimya huku tukitafakari damu isiyo na hatia ya mtoto Akwilina iliyomwagika?
Tuzidi sana kumuomba Mungu atuletee amani ile atoayo yeye ya mbinguni.
Nawatakia Kwaresma yenye baraka!
Sio kosa langu tatizo moderator wameunganisha Uzi, lilikuwa swali la kimantiki kwa aliyepandisha Uzi.Acha ungese
Nisamehe sana..Sio kosa langu tatizo moderator wameunganisha Uzi, lilikuwa swali la kimantiki kwa aliyepandisha Uzi.
Wee mama naona mimba uliyo nayo inakuvuruga sana ubongo.Hata yule Abdul Nondo wa ngome ya vijana sijamsikia akisema lolote kama huu ndio mwisho rasmi wa kufuatilia haki za Akwilina.
Ila kiukweli wanasiasa ni kama wala rushwa tu wamepofushwa macho, fikiria katika hitimisho la kesi kama hii mbwembwe za kulipiana faini zinatoka wapi?.......haikuwezekana kulipiana kimya kimya huku tukitafakari damu isiyo na hatia ya mtoto Akwilina iliyomwagika?
Tuzidi sana kumuomba Mungu atuletee amani ile atoayo yeye ya mbinguni.
Nawatakia Kwaresma yenye baraka!
Wewe mimba yako ulitoa manka?Wee mama naona mimba uliyo nayo inakuvuruga sana ubongo.