Ibada ya kuaga mwili wa Marehemu Akwilina: Padri Mayanga ataka aliyeua awekwe wazi, awaombe radhi Watanzania

Ibada ya kuaga mwili wa Marehemu Akwilina: Padri Mayanga ataka aliyeua awekwe wazi, awaombe radhi Watanzania

Hapo wa kulaumiwa ni wazazi na Ndugu wa Marehemu kwa kukubali kuingia kwenye huu mtego wa Serikali kujiingiza kwenye Mazishi ya huyu Binti. ili kujijengea Heshima na kuonyesha hisia zao kwa hiki kitendo cha binti yao kuuawa kwa makusudi na hawa polisi wangekataa Jambo hili na wao kumzika huyu Binti kwa gharama zao wenyewe. kwa hiki kinachotokea wamejidhalilisha aisee.
 
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa anaongoza msafara wa magari, likiwemo lililobeba mwili wa mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwiline kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kuelekea katika viwanja vya chuo hicho kwa ajili ya kuagwa.
Jeneza lenye mwili wa mwanafunzi huo liko katika gari maalumu la kubebea maiti.
Mtoa amri
 
Anayedhani yuko salama asikilize vizuri clip ya mama Aquilina akimwambia prof Ndalichako kwamba alikuwa akisikia kwenye vyombo vya habari watu wanauawa na polisi lakini hakutegemea hata siku moja kwamba hilo litatokea kwa mmoja Wa wanafamilia wake. AJIDHANIAYE AMESIMAMA AANGALIE ASIANGUKE.
Bonge moja la point
 
Shithole country kabisa kabisa kabisa!
hili neno lina tafsiri zaidi ya mbili kwa kiswahili lakini yote yanahusiana na uchafu sasa Hatuwezi kuiita nchi yetu mku.ndu.
hatujafikia kudharau nchi yetu kiasi hicho kwa udhaifu wa viongozi wetu ambao wengi wetu tumewachagua kwa mkumbo bila kuhudhuria mikutano na kupima watatupeleka wapi na hata pale mmoja alipowaonya kuwa mtalimia meno bado mkakubali halafu leo wote tukubali tuiite nchi yetu mku.ndu pamoja wananchi wake wote hii hapana Babu!
 
Hapo wa kulaumiwa ni wazazi na Ndugu wa Marehemu kwa kukubali kuingia kwenye huu mtego wa Serikali kujiingiza kwenye Mazishi ya huyu Binti. ili kujijengea Heshima na kuonyesha hisia zao kwa hiki kitendo cha binti yao kuuawa kwa makusudi na hawa polisi wangekataa Jambo hili na wao kumzika huyu Binti kwa gharama zao wenyewe. kwa hiki kinachotokea wamejidhalilisha aisee.
Siyo rahisi kama unavyofikiria, ila hakimu wa haki ni Mungu mwenyewe......wako wapo leo Ngeleja na Nchimbi?!!
 
Mbona hakuna picha?
PAINS
a0afc7cca1aa4ca10b8d4b049a2b79c5.jpg
f752e1a9b2b7d22d841057c14b9f1876.jpg
e96cf938a6604c06e57433a4974d410f.jpg
 
Sijaweza kuyasoma ila ni wakati Prof Ndalichako akitoa neno
8982b94bddbf541751001e8c7f7509c0.jpg
 
R. I. P Binti Akwilina A.B.
Machozi, hasira, uchungu pamoja na maumivu kamwe haviwezi kurejesha uhai wako. Majonzi na huzuni uliyotuachia watanzania wenzako wenye moyo safi havina kifani.

Akwilina, Umekatishwa ndoto zako na maisha kama vile mshumaa uzimwavyo.

Lala salama.
Daima tutakukumbuka.. Kristo Yesu akuangazie mwangaza wake wa milele. Amina.
 
"Mimi ninasafiri (alikuwa akienda Bagamoyo), lakini sijajua nitarudi lini. Unajua ninapambana na maisha, nataka nitoke, lakini pia nataka niwasaidie wazazi wangu (wazazi wake ni wakulima na wafugaji), kwa hiyo niombee tu kwani na wewe pia utanufaika na mafanikio yangu.”

Maneno yake ya mwisho kwa ndugu yake na dada yake.

Painful. So much painful.
8aeb5dbec713b86db9baee040005e976.jpg
 
Back
Top Bottom