Ibada za wakiristo mbona siku hizi zipo hivi?

Ibada za wakiristo mbona siku hizi zipo hivi?

Kelele makanisani na misikitini vipigwe marufuku, viskike kwa walio ndani ya hizo nyumba za ibada tu
 
Mkristo akiisoma qur an ili aitumie kama hoja dhidi ya waislam ataielewa na akiielewa tu nakuhakikishia hatakaa awe tena mkristo
Hata wewe isome qur an utake kuitumia kama hoja dhidi ya waislam na uislam uone kama hutakua muislamu
Mimi nimesoma Quran, Surat Mariam 19: 71 inasema waislamu wote wanakwenda motoni, sasa unaweza kunishawishi vipi kuwa muislamu?

Hoja ya pili Yesu hakuuwa watu bali alifufuwa wafu lakini Muhammad aliuwa watu lakini hakuwahi kufufuwa wafu.

Muhammad amezikwa Madina na yupo kuzimu, wakati Yesu yupo mbinguni na Allah na Quran inatamka wazi Masiah ni mtume wa daraja la juu, sasa ni kichaa peke yake ndio anaweza kuacha njia ya uzima na kweli.

Ukiona Mkristu kasilimu ni ukosefu wa elimu tu na kuyajuwa maandiko.
 
1. Utakuta baadhi ya makanisa saa 11 alfajiri yanaanza ibada kwa kutumia maspika makubwa yanayotoa sauti kubwa . kama unaishi Mitaa ya Mbabaga basi hadi Kongowe utasikia. na sio kama sauti ya mchungaji bali ni nyimbo na mziki wenye kurindima na kutikisha nyumba

2. Ukiwa kanisa lipo karibu na msikiti- mziki wote unangia msikitini
Kama kanisa lipo karibu na chuo kikuu au Taasisi ya Taaluma siku hio huwezi kusoma

3. Baadhi ya makanisa hasa walokole wanasali usiku kwa kutumia maspika yenye sauti kubwa na kusababisha hata watoto na wagonjwa washindwe kulala

BIBLIA INATAKA IBADA KWA SIRI
Mathayo 6:6 (Biblia Habari Njema):
  • "Lakini wewe, ukiomba, ingia chumbani kwako, ukafunge mlango wako, na omba kwa Baba yako aliye siri; na Baba yako aonae siri atakujalia wazi."
  • Katika kifungu hiki, Yesu anasisitiza umuhimu wa sala kwa siri na kwa uaminifu wa moyo, badala ya kufanya ibada kwa ajili ya kuonekana na watu.
  • Marko 12:30 (Biblia Habari Njema):
    • "Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa akili yako yote, na kwa nguvu zako zote."
    • Ingawa kifungu hiki hakizungumzii ibada kwa siri moja kwa moja, inasisitiza mapenzi ya kweli ya moyo na roho kwa Mungu, jambo ambalo linaweza kujumuisha kufanya ibada kwa hali ya siri na kwa uaminifu wa ndani.
  • Mathayo 6:5 (Biblia Habari Njema):
    • "Wakati mnapokuwa mnawomba, msifanye hivyo kama wanafiki, kwa sababu wanapenda kusimama wakiomba mashuleni na kwenye kona za mitaa ili waonekane na watu. Kweli nawaambieni, wameshapokea thawabu yao."
    • Katika aya hii, Yesu anasisitiza kwamba kufanya ibada kwa lengo la kuonekana na watu ni kupoteza malipo. Hii inahusu zaidi kuhusu nia ya moyo kuliko sauti inayotumika.

IBDA ZA WAISLAM
Waislam wao sauti inatoka kwenye adhana tu ambayo dakika 2 au ili kuamsha watu, na hii inawasadia hata wasiokuwa waisam kuwahi makazini, mashuleni na masokoni.

TANBIH
Maada hii haina nia ya kukebehi dini, ni maada ya kuelimishana katika hii dunia.
Uislam inawapenda watu wa dini nyengine wao wanavyowapenda waislam. ushahidi wa haya ni hi:
Surah Al-Mumtahanah (60:8):

  • "Mwenyezi Mungu hakukatazi wale wanaokutendeeni mema na hawakukufuru kwa dini yenu kuwa na urafiki nao. Hakika Mwenyezi Mungu anapenda wenye haki."
  • Aya hii inaonyesha kuwa Waislamu wanapaswa kuwa na urafiki na heshima kwa wale wanaoishi kwa amani na waislamu na hawawapingi katika dini yao.
Pia wakati wa Mtume kulikuwa na Makafiri wakubwa wakimpiga vita Mtume wazi wazi wengine kupanga kumuua, lakini baadae wakasilimu wakawa ndio Maswahaba wakubwa. Pia Mtume wakati alipopigwa mawe akatakiwa aombe dua kwa wale waliomshambulia, yeye akaomba Allah awajaalie watoto waliomshambulia wawe watoto wema
KWA MFANO WATU WAOVU BAADAE KUWA WEMA WAKUBWA
  • Abu Sufyan ibn Harb (RA):
  • Abu Sufyan alikuwa kiongozi wa Quraysh na adui mkubwa wa Mtume Muhammad (SAW) kabla ya kubadili imani na kukubali Kiislamu. Alikuwa na nafasi muhimu katika vita vya Badr, Uhud, na Hudaibiya, lakini baadaye aligeuka kuwa muislamu baada ya Mkataba wa Hudaibiya na aliungana na Waislamu.

  • Ikrimah ibn Abi Jahl (RA):
  • Ikrimah alikuwa mwana wa Abu Jahl, mmoja wa maadui wakuu wa Mtume Muhammad (SAW). Alikuwa na uadui mkali dhidi ya Waislamu lakini alikubali Kiislamu baadaye na kuwa mmoja wa waislamu wa kweli.
  • Khalid ibn al-Walid (RA):
    • Khalid alikuwa kiongozi maarufu wa jeshi la Quraysh na aliongoza vita dhidi ya Waislamu. Alikuwa na uadui mkubwa na Mtume Muhammad (SAW) lakini alikubali Kiislamu baada ya vita vya Uhud na kuwa mmoja wa mashujaa wa Kiislamu katika vita vya Khyber na vita vingine.
  • Amr ibn al-As (RA):
    • Amr alikuwa mmoja wa viongozi wa Quraysh na alikuwa na upinzani dhidi ya Waislamu. Alikubali Kiislamu baada ya Mkataba wa Hudaibiya na alichangia kwa kiasi kikubwa katika kueneza dini ya Kiislamu.
  • Hind bint Utbah (RA):
    • Hind alikuwa mke wa Abu Sufyan na aliongoza kampeni dhidi ya Waislamu. Baada ya kukubali Kiislamu, aligeuka kuwa mcha Mungu na aliunga mkono dini kwa nguvu.WAPO WAISLAM WALIOASI KWA MFANO
  • Abdullah ibn Ubayy (RA):
    • Abdullah ibn Ubayy alikuwa kiongozi wa makabila ya Khazraj na alikuwa miongoni mwa Waislamu waliokubali dini mapema. Hata hivyo, alikuwa na matendo ya unafiki na alijaribu kudhoofisha jamii ya Kiislamu kwa kutoa maoni yenye mashaka na kuongoza watu kwa uasi.
Ndio maana waislam kila wakati tunatakiwa tuombe Allah atuondoshe katika dunia hali ya kuwa ameturidhia

SOMA KWA UTULIVU KABLA KUKOMENTS USIJE KUCOMENTS KITU USICHOKIJUA

🙄😆😆😆

Na hii hadhara Gani??🎤
👇👇

View: https://youtu.be/-sP9Us7Siu0?si=IUQsVgX32e0fIeJX
 
Huo muda si bora nikakanyage mafuta kwa mwamposa
Mkristo akiisoma qur an ili aitumie kama hoja dhidi ya waislam ataielewa na akiielewa tu nakuhakikishia hatakaa awe tena mkristo
Hata wewe isome qur an utake kuitumia kama hoja dhidi ya waislam na uislam uone kama hutakua muislamu
 
Kila mtu afanye mambo yake...chukulia hizo kelele kama zile za adhana, mawaidha ya ijumaa n.k
 
1. Utakuta baadhi ya makanisa saa 11 alfajiri yanaanza ibada kwa kutumia maspika makubwa yanayotoa sauti kubwa . kama unaishi Mitaa ya Mbabaga basi hadi Kongowe utasikia. na sio kama sauti ya mchungaji bali ni nyimbo na mziki wenye kurindima na kutikisha nyumba

2. Ukiwa kanisa lipo karibu na msikiti- mziki wote unangia msikitini
Kama kanisa lipo karibu na chuo kikuu au Taasisi ya Taaluma siku hio huwezi kusoma

3. Baadhi ya makanisa hasa walokole wanasali usiku kwa kutumia maspika yenye sauti kubwa na kusababisha hata watoto na wagonjwa washindwe kulala

BIBLIA INATAKA IBADA KWA SIRI
Mathayo 6:6 (Biblia Habari Njema):
  • "Lakini wewe, ukiomba, ingia chumbani kwako, ukafunge mlango wako, na omba kwa Baba yako aliye siri; na Baba yako aonae siri atakujalia wazi."
  • Katika kifungu hiki, Yesu anasisitiza umuhimu wa sala kwa siri na kwa uaminifu wa moyo, badala ya kufanya ibada kwa ajili ya kuonekana na watu.
  • Marko 12:30 (Biblia Habari Njema):
    • "Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa akili yako yote, na kwa nguvu zako zote."
    • Ingawa kifungu hiki hakizungumzii ibada kwa siri moja kwa moja, inasisitiza mapenzi ya kweli ya moyo na roho kwa Mungu, jambo ambalo linaweza kujumuisha kufanya ibada kwa hali ya siri na kwa uaminifu wa ndani.
  • Mathayo 6:5 (Biblia Habari Njema):
    • "Wakati mnapokuwa mnawomba, msifanye hivyo kama wanafiki, kwa sababu wanapenda kusimama wakiomba mashuleni na kwenye kona za mitaa ili waonekane na watu. Kweli nawaambieni, wameshapokea thawabu yao."
    • Katika aya hii, Yesu anasisitiza kwamba kufanya ibada kwa lengo la kuonekana na watu ni kupoteza malipo. Hii inahusu zaidi kuhusu nia ya moyo kuliko sauti inayotumika.

IBDA ZA WAISLAM
Waislam wao sauti inatoka kwenye adhana tu ambayo dakika 2 au ili kuamsha watu, na hii inawasadia hata wasiokuwa waisam kuwahi makazini, mashuleni na masokoni.

TANBIH
Maada hii haina nia ya kukebehi dini, ni maada ya kuelimishana katika hii dunia.
Uislam inawapenda watu wa dini nyengine wao wanavyowapenda waislam. ushahidi wa haya ni hi:
Surah Al-Mumtahanah (60:8):

  • "Mwenyezi Mungu hakukatazi wale wanaokutendeeni mema na hawakukufuru kwa dini yenu kuwa na urafiki nao. Hakika Mwenyezi Mungu anapenda wenye haki."
  • Aya hii inaonyesha kuwa Waislamu wanapaswa kuwa na urafiki na heshima kwa wale wanaoishi kwa amani na waislamu na hawawapingi katika dini yao.
Pia wakati wa Mtume kulikuwa na Makafiri wakubwa wakimpiga vita Mtume wazi wazi wengine kupanga kumuua, lakini baadae wakasilimu wakawa ndio Maswahaba wakubwa. Pia Mtume wakati alipopigwa mawe akatakiwa aombe dua kwa wale waliomshambulia, yeye akaomba Allah awajaalie watoto waliomshambulia wawe watoto wema
KWA MFANO WATU WAOVU BAADAE KUWA WEMA WAKUBWA
  • Abu Sufyan ibn Harb (RA):
  • Abu Sufyan alikuwa kiongozi wa Quraysh na adui mkubwa wa Mtume Muhammad (SAW) kabla ya kubadili imani na kukubali Kiislamu. Alikuwa na nafasi muhimu katika vita vya Badr, Uhud, na Hudaibiya, lakini baadaye aligeuka kuwa muislamu baada ya Mkataba wa Hudaibiya na aliungana na Waislamu.

  • Ikrimah ibn Abi Jahl (RA):
  • Ikrimah alikuwa mwana wa Abu Jahl, mmoja wa maadui wakuu wa Mtume Muhammad (SAW). Alikuwa na uadui mkali dhidi ya Waislamu lakini alikubali Kiislamu baadaye na kuwa mmoja wa waislamu wa kweli.
  • Khalid ibn al-Walid (RA):
    • Khalid alikuwa kiongozi maarufu wa jeshi la Quraysh na aliongoza vita dhidi ya Waislamu. Alikuwa na uadui mkubwa na Mtume Muhammad (SAW) lakini alikubali Kiislamu baada ya vita vya Uhud na kuwa mmoja wa mashujaa wa Kiislamu katika vita vya Khyber na vita vingine.
  • Amr ibn al-As (RA):
    • Amr alikuwa mmoja wa viongozi wa Quraysh na alikuwa na upinzani dhidi ya Waislamu. Alikubali Kiislamu baada ya Mkataba wa Hudaibiya na alichangia kwa kiasi kikubwa katika kueneza dini ya Kiislamu.
  • Hind bint Utbah (RA):
    • Hind alikuwa mke wa Abu Sufyan na aliongoza kampeni dhidi ya Waislamu. Baada ya kukubali Kiislamu, aligeuka kuwa mcha Mungu na aliunga mkono dini kwa nguvu.WAPO WAISLAM WALIOASI KWA MFANO
  • Abdullah ibn Ubayy (RA):
    • Abdullah ibn Ubayy alikuwa kiongozi wa makabila ya Khazraj na alikuwa miongoni mwa Waislamu waliokubali dini mapema. Hata hivyo, alikuwa na matendo ya unafiki na alijaribu kudhoofisha jamii ya Kiislamu kwa kutoa maoni yenye mashaka na kuongoza watu kwa uasi.
Ndio maana waislam kila wakati tunatakiwa tuombe Allah atuondoshe katika dunia hali ya kuwa ameturidhia

SOMA KWA UTULIVU KABLA KUKOMENTS USIJE KUCOMENTS KITU USICHOKIJUA

Tushirikiane kupinga makelele yote ikiwamo bar, makanisani, misikitini, kumbi za disco nk.

Mkuu hata zile swala swala kwa jina la azana alfajiri ni kero Kwa wengine hata uarabuni hazipo!
 
adhana dakika 2 zinakukera? kuna waislam wapo chini ya msikitini hawasikii adhana, ukiwauliza anakwambia sikusikia adhana kwa sabau nilichoka. Hapa tunakusudia Mziki
Alfajiri huwa sio adhana tu, kuna vipande huwa vinaitangulia adhana, kipo cha saa kumi na ushee hivi, halafu kipo cha saa 11 kosoro chache hivi, then ndio inakuja adhana
 
kilichoandikwa vipi?
Dini,dini malaria 2 siyo mapenzi ya Mungu, ila imani kumwelekea Mungu ,Upendo na kuchukuliana katika madhaifu, hiyo ndio tabia ya Mungu Toka mwanzo, binaadamu alimtenda Dhambi ,akaghafilika ,lakini badae akamkumbuka akamrudia Tena kwa njia za manabii, Duniani hakuna mtakatifu ila Kuna watu wanaoishi kitakatifu ,mana Ake wanaweza kuanguka mda wowote ,. Ila wakifa huku wakiwa wameishi kitakatifu mpaka mwisho hao Huwa watakatifu,

Ni kama askari kuruta siyo askari, ila akifudhu mafunzo Huwa askari,. Jitafakari sana kuwasema wenzako wakati hata kufa hujafa Wala hujawahi,huko mbinguni hukujui Wala mamlaka ya kuhukumu huna,


Utatenda Dhambi Tena, hicho unachokiamini dhidi ya wengine ni salaha mbaya sana ambayo imecost maisha na imani za watu
 
Biashara huria siku hizi kila mfanya biashara anatumia njia anazozijua kujitangaza..
 
Hio ni kuonesha kua thamani ya quran ni kubwa haiwez kuhifadhiwa kwenye vichwa maji ,yani ukishajiona una kichwa tikitik basi ujue quran huwez kuinukuuu sasa biblia inatiwa mikono mpaka na kizaz kilichozaliwa mwaka 2000 yani maandish kila siku yanabadilishwa nini tatizo
Ni ngumu sana mkristo kuandika mada akanukuu vifungu vya kuruani ila ni rahisi sana muislam kuandika mada na kunukuu vifungu vya Biblia, Nguvu ya Biblia kubwakuoneshnes
 
Maskini ungejua binadamu wote tuna funza kichwani wala usingejitapa kumiliki kichwa boga
Hio ni kuonesha kua thamani ya quran ni kubwa haiwez kuhifadhiwa kwenye vichwa maji ,yani ukishajiona una kichwa tikitik basi ujue quran huwez kuinukuuu sasa biblia inatiwa mikono mpaka na kizaz kilichozaliwa mwaka 2000 yani maandish kila siku yanabadilishwa nini tatizo
 
adhana dakika 2 zinakukera? kuna waislam wapo chini ya msikitini hawasikii adhana, ukiwauliza anakwambia sikusikia adhana kwa sabau nilichoka. Hapa tunakusudia Mziki
Kwahiyo unakereka na mziki ila sio adhana ya saa kumi alfajiri???
Shida kubwa ya uislam umetengeneza wafuasi wanafiki sana mbele za watu,na hawana aibu hata kidogo.wako tayari kusema uongo,yupo tayari kunuka mavi na kuonekana mpumbavu ila dini iwe sehemu salama,matokeo yake mpaka dini inaonekana ni ya kipumbavu.
 
Back
Top Bottom