Ibrahim Rahbi na Azam na uchambuzi wa mgogoro wa Israel na Hamas

Ibrahim Rahbi na Azam na uchambuzi wa mgogoro wa Israel na Hamas

Kuunga mkono wa houthi wa Yemen kachemka

Yemen Sasa hivi majeshi ya kimataifa yanaingia tu kupigana nao bila kibali Cha umoja wa mataifa sababu Yemen Haina Serikali hivyo Wao wanaonekana tu kama magenge ya wahuni wanaoleta shida tu kushambulia meli za watu.Sababu hawana Serikali hawawakilishi Serikali yeyote ni makundi tu ya kigaidi

Dunia ukiruhusu Kundi lolote la vibaka Leo waamue kufungia Barabara au njia ya meli Dunia haitakalika

Tushukuru Polisi wa Dunia Marekani ambao wakishaona Kuna Hali kama hiyo hutumia meli zao na majeshi kwenda kupambana na hayo makundi huko baharini Kwa gharama zao

Sasa hivi wamepeleka meli na Ndege za kivita kibao na wanajeshi kupigana na wa Houthi ili hiyo njia ya meli iwe wazi na wanawashambulia hasa
 
Nyerere aliitambua Palestine na liipinga Israel,kwenye atlas za Tanzania miaka ya 80 na 90 hakuna nchi ya Israel Bali Palestine,naye alikua mdini!?..wengi tu ulaya na marekani wakiwemo wayahudi wanaipinga Israel..
Nyerere alilazimishwa kuunga mkono Palestina na waarabu

Waarabu wakati ile walisema hawatauzia mafuta nchi yeyote itakayounga mkono Israel ndipo nyingi za Africa ili zisikose mafuta ndio zikawa zinaunga mkono Palestina

Lakini Cha ajabu wakati nchi nyingi duniani zikiwemo za kiafrika zilipokuwa zikipinga ubaguzi wa Rangi Makaburu wa Africa ya kusini na kuiwekea vikwazo vya kibiashara nchi za kiarabu walikataa wakaendelea kuiuzia mafuta Africa ya kusini kama kawaida pamoja na Kuwa msimamo wa Africa ya kusini ulikuwa unaitambua Israel kisa tu yeye mnunuzi mkubwa wa Mafuta Africa yeye hawakumwekea hocho kigezo
 
Punguza ulokole kwenye masuala yanayohitaji taaluma.
Huyo mtu unayemuongelea anaaminika na vyombo vikubwa vya habari vya kimataifa, huyo jamaa ni mchambuzi wa masuala ya kimataifa

Siyo suala la kuaminika au kutoaminika. Suala muhimu, je ameyasema hayo ameeleza mleta mada au hakusema? Kama amesema, basi amepotoka sana, na hana weledi bali ni mropokaji. Vitendo vya Houthi vimepingwa na mataifa yote Duniani. Hata Serikali ya Yemen, ambako Houthi wako, haiungi mkono, halafu mtu ambaye hana mbele wala nyuma, anasema ni vitendo halali.
 
Nyerere alilazimishwa kuunga mkono Palestina na waarabu

Waarabu wakati ile walisema hawatauzia mafuta nchi yeyote itakayounga mkono Israel ndipo nyingi za Africa ili zisikose mafuta ndio zikawa zinaunga mkono Palestina

Lakini Cha ajabu wakati nchi nyingi duniani zikiwemo za kiafrika zilipokuwa zikipinga ubaguzi wa Rangi Makaburu wa Africa ya kusini na kuiwekea vikwazo vya kibiashara nchi za kiarabu walikataa wakaendelea kuiuzia mafuta Africa ya kusini kama kawaida pamoja na Kuwa msimamo wa Africa ya kusini ulikuwa unaitambua Israel kisa tu yeye mnunuzi mkubwa wa Mafuta Africa yeye hawakumwekea hocho kigezo
Acha uwongo wewe, Nyerere kamuambukiza Mandela msimamo juu ya Palestine,kauli ya Nyerere hatutokua huru ikiwa nchi zingine za Africa hazitokua huru,Mandela kaibeba kaiweka kwa Palestine
 
Acha uwongo wewe, Nyerere kamuambukiza Mandela msimamo juu ya Palestine,kauli ya Nyerere hatutokua huru ikiwa nchi zingine za Africa hazitokua huru,Mandela kaibeba kaiweka kwa Palestine
Na wewe tena umedanganya. Tukusamehe kwa kudanganya bila kukusudia.

"Hakuna nchi ya Afrika itasema ipo huru mpaka Afrika nzima itakapokuwa huru", ilikuwa ni kauli ya Haya Kwame Nkrumah, Rais wa Ghana. Na baadaye ilibebwa na kukubaliwa na lile kundi la nchi 5 zilizo mstari wa mbele katika ukombozi wa Afrika, na Nyerere (Tanzania) akiwa Mwenyekeiti.
 
Acha uwongo wewe, Nyerere kamuambukiza Mandela msimamo juu ya Palestine,kauli ya Nyerere hatutokua huru ikiwa nchi zingine za Africa hazitokua huru,Mandela kaibeba kaiweka kwa Palestine
Naongelea Mandela akiwa bado jela Africa kusini iliitambua Israel na sisi tulikuwa tunaitambua Israel ndio walitujengea jengo la kitega uchumi na Hotel ya Kilimanjaro kipindi hicho Cha Nyerere na ndio walianzisha JKT kipindi cha Nyerere walipompiga mkwara waarabu kubwa hatukuuzii mafuta ukiendelea hivyo ndio akabadilika kama kinyonga Kwa woga kuwa tutanyimwa mafuta Ilikuwa sera ya woga wa Hali ya juu

Alipoondoka tu watu wakaacha woga wakarudisha uhusiamo na Israel

Africa kusini kabla ya Mandela Wala kelele zao za waarabu hazikuwababaisha na wakaendelea na uhusiamo na Israel na waarabu wakawa wanaiuzia Africa kusini mafuta kama kawaida wakikiuka Hadi vikwazo jumuiya ya Kimataofa iliiwekea Africa kusini

Walikuwa wanatishia nyau Nyerere woga ukamjaa akabadili sera ya nchi ohh wasipokuwa huri sisi hatujihesabu huru

Wewe Mtu mfano anatwangana na Mkewe nyumba ya tatu huko unasema sisi kwetu hatutakuwa huru Hadi mume nyumba ya tatu aache kumpiga Mkewe

Sisi wakati tunahangaika na hayo Kenya walikuwa wakijenga uchumi Wao ndiko Kenya wakaja kutupita Hadi Leo .Sababi sisi sera yetu ya nje kipindi cha Nyerere ilikuwa ya kijinga sana
 
Naongelea Mandela akiwa bado jela Africa kusini iliitambua Israel na sisi tulikuwa tunaitambua Israel ndio walitujengea jengo la kitega uchumi na Hotel ya Kilimanjaro kipindi hicho Cha Nyerere na ndio walianzisha JKT kipindi cha Nyerere walipompiga mkwara waarabu kubwa hatukuuzii mafuta ukiendelea hivyo ndio akabadilika kama kinyonga Kwa woga kuwa tutanyimwa mafuta Ilikuwa sera ya woga wa Hali ya juu

Alipoondoka tu watu wakaacha woga wakarudisha uhusiamo na Israel

Africa kusini kabla ya Mandela Wala kelele zao za waarabu hazikuwababaisha na wakaendelea na uhusiamo na Israel na waarabu wakawa wanaiuzia Africa kusini mafuta kama kawaida wakikiuka Hadi vikwazo jumuiya ya Kimataofa iliiwekea Africa kusini

Walikuwa wanatishia nyau Nyerere woga ukamjaa akabadili sera ya nchi ohh wasipokuwa huri sisi hatujihesabu huru

Wewe Mtu mfano anatwangana na Mkewe nyumba ya tatu huko unasema sisi kwetu hatutakuwa huru Hadi mume nyumba ya tatu aache kumpiga Mkewe

Sisi wakati tunahangaika na hayo Kenya walikuwa wakijenga uchumi Wao ndiko Kenya wakaja kutupita Hadi Leo .Sababi sisi sera yetu ya nje kipindi cha Nyerere ilikuwa ya kijinga sana
Hakuna aliyepigwa mkwara kutouziwa mafuta,acha uwongo
 
Sasa wewe unayejua zaidi si uwende Azam ukachambuwe zaidi yake uitetee Israel yako.
 
Jamaa fulani azam wamemuweka kila siku asubuhi awe anachambua masuala ya kisiasa, anaamini anajua sana kumbe hamna kitu udini tu umemjaa. hajawahi kuongea chochote ila vile vinavyopendelea dini yake.
Huyo ni mchambuzi km analyst wa masuala ya kidiplomasia, siasa na mengineyo hata BBC hua wanapokea maoni yake kwenye kipindi cha BBC Swahili
 
Yeye ni muislam, Azam channel ya muislam imemuweka awe anachambua masuala yote yanayoigusa Israel na Hamas, pamoja na wahurthi.

1. Anasapoti wahurthi Yemen, na anasema wanafanya cha maana kuzuia meli zisiende Israel na dunia iache unafiki, ishughulikie kwanza vita ya Gaza ili wahuthi waacha kushambilia meli (ambazo hata sio za Israel).

2. Anasema Bandari ya Eliat ambayo ipo Israel, ipo kwenye ardhi ya Palestina. Amesahau kwamba Umoja wa mataifa unaitambua Israel kama nchi na hauitambui palestina kama nchi. Kama UN wameitambua Israel kama nchi, mfanyakazi mmoja wa serikali ya Tanzania anakujaje leo kusema Israel sio nchi? Na kwamba ile bandari haipo ISrael ipo palestina?

3. Yeye ni mfanyakazi wa Mwalimu Nyerere Memorial Academy, chuo cha serikali, serikali haina dini, na hata kwenye migogoro yote hii serikali haijatamka lolote kwasababu wanajua nchini kuna wafuasi wengi wanaoipenda Israel na wengi wanaoipenda Palestina, huwezi kusimamia upande mmoja labda kama haupo serikalini.

Anapokataa uwepo wa Israel wakati bado anafanya kazi serikalini, anafanya hivyo kwa kuwakilisha chuo cha mwalimu nyerere au anafikiri nini? Chuo kimwangalie kwasababu suala la dini, Israel na palestina sio laini, linaweza kuharibu mshikamano wetu.

4. Ni mtanzania wa aina gani tena mfanyakazi wa serikali anaweza kuongea mbele ya chombo cha tv kwamba wahurthi Yemen wasilaumiwe badi Israel ndio ilaumiwe?

Kwahiyo eneo lile la bahari ya wote ambalo magaidi ya Yemen yanazuia nchi zingine zisipite sio ugaidi? Na yeye tuseme sio gaidi? hivi gaidi akija nyumbani kwa IBRAHIM RAHBI hawezi kumhifadhi na akasababisha matatizo nchini kwetu kama ana mlengo huo? yeye sio gaidi? hasapoti magaidi?
Basi, hao azam tv na huyo Ibrahim wamepotoka. Inafaa waonywe na kudhibitiwa upesi
 
Yeye ni muislam, Azam channel ya muislam imemuweka awe anachambua masuala yote yanayoigusa Israel na Hamas, pamoja na wahurthi.

1. Anasapoti wahurthi Yemen, na anasema wanafanya cha maana kuzuia meli zisiende Israel na dunia iache unafiki, ishughulikie kwanza vita ya Gaza ili wahuthi waacha kushambilia meli (ambazo hata sio za Israel).

2. Anasema Bandari ya Eliat ambayo ipo Israel, ipo kwenye ardhi ya Palestina. Amesahau kwamba Umoja wa mataifa unaitambua Israel kama nchi na hauitambui palestina kama nchi. Kama UN wameitambua Israel kama nchi, mfanyakazi mmoja wa serikali ya Tanzania anakujaje leo kusema Israel sio nchi? Na kwamba ile bandari haipo ISrael ipo palestina?

3. Yeye ni mfanyakazi wa Mwalimu Nyerere Memorial Academy, chuo cha serikali, serikali haina dini, na hata kwenye migogoro yote hii serikali haijatamka lolote kwasababu wanajua nchini kuna wafuasi wengi wanaoipenda Israel na wengi wanaoipenda Palestina, huwezi kusimamia upande mmoja labda kama haupo serikalini.

Anapokataa uwepo wa Israel wakati bado anafanya kazi serikalini, anafanya hivyo kwa kuwakilisha chuo cha mwalimu nyerere au anafikiri nini? Chuo kimwangalie kwasababu suala la dini, Israel na palestina sio laini, linaweza kuharibu mshikamano wetu.

4. Ni mtanzania wa aina gani tena mfanyakazi wa serikali anaweza kuongea mbele ya chombo cha tv kwamba wahurthi Yemen wasilaumiwe badi Israel ndio ilaumiwe?

Kwahiyo eneo lile la bahari ya wote ambalo magaidi ya Yemen yanazuia nchi zingine zisipite sio ugaidi? Na yeye tuseme sio gaidi? hivi gaidi akija nyumbani kwa IBRAHIM RAHBI hawezi kumhifadhi na akasababisha matatizo nchini kwetu kama ana mlengo huo? yeye sio gaidi? hasapoti magaidi?
Hata Nyerere angekuwa hai mungemuita mdini na Gaidi, Kinjikitile, mkwawa, kimweri, Abushiri, Osale otango na wengineo pia mngewaita magaidi wakati wanagombania uhuru wao.

Yaani mtu aje nchi yako, mweupe, macho ya Blue na nywele za Blonde, achukue nyumba zako, aue watoto wako, wawachune ngozi, wawatoe viungo vyenu vya Mwili mafigo, maini etc, wawafungie eneo bila huduma ya maji wala umeme mpewe mateso ya kila aina, halafu nyie mkae tu msitafute solution?

Wapigania haki wote Duniani wapo upande wa Palestina kuanzia South Africa ambao wanajua maana ya Apartheid mpaka south America Descendant wote wa Che Guevara wapo na Palestina, kama umeona hayo maneno ya huyo Mchambuzi ni Makali then Katafute speech ya Binti yake Che Guevara.
 
Unajua chochote kuhusu oslo accord au unajua hata nchi yako tanzania ilipatikana vipi na tanganyika mipaka yake nani alipanga au ulijua mipaka imewekwa na mungu?
naijua oslo acord kuliko wewe. ila sasa jibu swali, lini palishawahi kuwepo nchi ya palestina (sio palestinian authority), taja rais wake hata mmoja tu au hata mfalme wake even one. kama huwezi, kwenda zako huko.
 
Huyo ni mchambuzi km analyst wa masuala ya kidiplomasia, siasa na mengineyo hata BBC hua wanapokea maoni yake kwenye kipindi cha BBC Swahili
umeshasema BBC swahili, kwa waswahili wenzake tu huko. nadhani ni mhimu kuwa na wachambuzi kwenye tv ila wawe impartial, wasiwe biased kiasi chake vile. hicho ndicho tunachoongea. anakuja kusema Tanzania inaiunga mkono palestina, lini Rais au hata waziri wa mambo ya nje aliwahi kusema icho kitu? nani angesema icho kitu wakati suala la israel na palestina ni suala tete kwenye mioyo ya wengi hapa bongo? hata kuandamana tu waislam waliamua wasiandamane kwasababu ya different views amongst us, yeye anakuja kusema Tanzania inaunga mkono, ni Tanzania ipi hiyo? lini ilitangazwa hivyo? pia, mfanyakazi wa serikali anaongea kuunga mkono Hurthi? mbele ya tv wakati hata serikali yake haijatamka kitu?
 
Nyerere aliitambua Palestine na liipinga Israel,kwenye atlas za Tanzania miaka ya 80 na 90 hakuna nchi ya Israel Bali Palestine,naye alikua mdini!?..wengi tu ulaya na marekani wakiwemo wayahudi wanaipinga Israel..
nyerere mkatoliki alifanya vile kwasababu alishajitia kwenye kitanzi cha south africa apartheid hivyo asingepinga angeonekana mnafiki, pia alitaka kuwafurahisha wazee wa DSM ambao walimuunga mkono kwenye ukombozi wa Taifa hili ambao walikuwa waislam na waliichukia Israel, hakufanya vile kwa kutoka moyoni. leo hii wakristo wote nchini tunaiunga mkono Israel, tunaamini lile eneo ni la wayahudi kwasababu hata Biblia tunayotumia inasema hivyo. na mambo ya nyerere hata hayana nguvu siku hizi. nchi yetu ipo neutral, haifungamani na upande wowote.tunawapenda wote waisrael na wapalestina, inakuwaje leo mfanyakazi wa serikali aje kusema Tanzania inaiunga mkono palestina (meaning inaipinga Israel inayojitetea)?
 
nyerere mkatoliki alifanya vile kwasababu alishajitia kwenye kitanzi cha south africa apartheid hivyo asingepinga angeonekana mnafiki, pia alitaka kuwafurahisha wazee wa DSM ambao walimuunga mkono kwenye ukombozi wa Taifa hili ambao walikuwa waislam na waliichukia Israel, hakufanya vile kwa kutoka moyoni. leo hii wakristo wote nchini tunaiunga mkono Israel, tunaamini lile eneo ni la wayahudi kwasababu hata Biblia tunayotumia inasema hivyo. na mambo ya nyerere hata hayana nguvu siku hizi. nchi yetu ipo neutral, haifungamani na upande wowote.tunawapenda wote waisrael na wapalestina, inakuwaje leo mfanyakazi wa serikali aje kusema Tanzania inaiunga mkono palestina (meaning inaipinga Israel inayojitetea)?
One crazy muthafanta who barely thinks
 
Kila mchambuzi huwa anatia mtazamo wake kulingana na namna anavyoliona suala husika, hakuna tatizo kutofautiana nae mtazamo wala yeye hana kosa kutoa mawazo yake.
 
Jamaa fulani azam wamemuweka kila siku asubuhi awe anachambua masuala ya kisiasa, anaamini anajua sana kumbe hamna kitu udini tu umemjaa. hajawahi kuongea chochote ila vile vinavyopendelea dini yake.
Weka picha yake tuwatumie IDF nao waanza kuangalia azanu.
 
Back
Top Bottom