Viongozi sahihi na vyama imara ni wale wanaoweza kutatua matatizo kama hayo na sio viongozi walalamike na wafuasi walalamikeKwa hiyo muendelee kuiba sisi tukae kimya kwa sababu hamna lolote linalofanyika hata mkiiba!
Utoto ndiyo nini? Kama Polisi vyombo vya dola vinawabana kila kona watapumulia wapi? hapo utoto upo wapi? Kama ni utoto upo kwa hao hao wanaotumia Dola kuminya demokrasia.Ukiangalia hili suala kwa mtazamo wa kitanzania utaona serikali ipo matatani lakini ukiangalia kwa mtazamo wa kidunia Tanzania haipo hata top 10 kwenyenchi zinazovunja haki za binadamu. Hii kesi itakuwa upuuzi mtupu. Tanzania inahitaji chama mbadala chenye watu wenye akili za kutaka na kupenda maendeleo na siyo utoto.
CCM wamechoma wenyewe ili wapate kisingizio cha kuwaonea wapinzaniPia huko wapinzani hawachomi magari na nyumba za wakurugenzi na wabunge wateule!!
Una ushahidi, kama unao peleka Mahakamani, sio wewe kuwa ulio ibiwa, wewe kushtaki na wewe kuwa mwamuzi.Hawajashindwa we kima waliibiwa kura kwa kimbunga. Au kuiba kwako ndo kuehindwa!
Zanzibar zipo video ushahidi wa kutosha ICC itaichukulia hatua Zanzibar hakuna cha nini wala ni
Ukasome sheria ya Rome iliyonzisha mahakama hii pamoja na kanuni zake; acha uvivu.Vitendo vilivyotokea havina uzito wa kuingiliwa na mahakama za kimataifa - ni migogoro midogo iwezayo kumalizwa na mahakama za ndani ya nchi
Mahakama ipi? Au mahakama ya UN maana mahakama zote ni mali yenu.Unaushahidi , kama unao peleka Mahakamani, sio wewe kuwa ulio ibiwa , wewe kushtaki na wewe kuwa mwamuzi
Makosa yamejumuishwa katika makundi manneMkuu tupe kidogo insight ya hii Rome Statute. Ni makosa gani au ya aina gani ICC wanashughulika nayo. Itasaidia sana kufunga huu mjadala
Maridhiano hayaondoi mashitaka ICCTundu kashasema pamoja na kusisitiza kwenye kila mkutano wa kampeni wananchi wameishia kugomea mpango wake wa maandamano na sasa anataka maridhiano na rais John Pombe Joseph Magufuli
Ushahidi upo wa kutosha video picha zote matamko yote vyote vipo ICC hawatahitaji upelelezi wowote kilaza kitu kipo wazi.Ukasome sheria ya Roma iliyonzisha mahakama hii pamoja na kanuni zake; achani uvivu.
CCM Kikombe hiki kamwe hamtakikwepa safari hii, ubabe wenu umepata wababe wenzenu. Safari ya Uholanzi zinawahusu!!
Yaani watu wafanye fujo barabara waachiwe , wawarushie made walinda usalama waachiwe tu, wameifanya nchi ni danguro.Zanzibar zipo video ushahidi wa kutosha ICC itaichukulia hatua Zanzibar hakuna cha nini wala nini
Sawa mkuu, tusubiri kuanza safari za uholanzi sasa🤣Maridhiano hayaondoi mashitaka ICC
2007,Odinga alifanya maridhiano na kubaki lakini ICC nako ilifanya kazi yake
Viongozi sahihi na vyama imara ni wale wanaoweza kutatua matatizo kama hayo na sio viongozi walalamike na wafuasi walalamike
Spana Hiyo Imebana MnoHaya mataga mje mporomoshe matusi hapa.
Vipi wakiamua kufia madarakani?Kuna wajinga humu wanadanganyana hiyo mahakama haiwezi kuwashughulikia watesi wetu, waacheni waendelee kudanganyana.
Wajue fika watapandishwa kizimbani hata kama ni baada ya miaka kumi, kuwa kwao madarakani sasa hivi kusiwadanganye, hiyo siku yaja, watavuna walichopanda.
Sasa wewe na akili zako hivi ndio kura zinavyopigwa, na huyu mtu anaweza kuwa wa chama chochote au ndio hizo movie zinazotengenezwa na watengeneza movie
Tukio la Lissu kupigwa risasi hadharani liliripotiwa polisi hadi leo hakuna uchunguzi wowote uliofanyika, Ben saanane kapotea hakuna chombo chochote kilichojali kufanya uchunguzi.Makosa yamejumuishwa katika makundi manne
1. War Crimes: Haya ni Yale yanayotojea wakati wa Vita. Na ambayo yapo kinyume na Sheria zinaratibiwa masuala ya kivita, Rape, torture, rooting, kuua watu wasio na Silaha n.k Haya lazima kuwe na Vita.
2.Crimes against Humanity. Torture, Mauaji, Rape, Persecution, Enslavement n.k na ambayo ndio nadhani Hao wadau wamepeleka Malalamiko yao. Hapa siyo lazima kuwe na Vita inaweza kuwa at any time.
3.Genocide: Mauaji ya kimbali.
4. Acts of Agrression.
Sasa lazima ufahamu kuwa hii ni Mahakama ya Kimataifa Ina deal na issues za Nationals, kwahiyo always wanakuwa very careful kuhakikisha hawaingilii State Sovereignty ( Mamlaka za ndani ambazo).
Najua Kuna wajinga humu watabisha lakini ukweli ni Tanzania ni moja ya Nchi zenye Strong internal state Machinery zenye uwezo wa kuhandle haya mambo Kama yapo.
The Question is, these barking dogs have ever reported these allegations to the Institutions Concerned!? Wametoa ushirikiano ili ku investigate Malalamiko yao na hivyo vyombo vimepuuzia kushughulikia hayo Malalamiko au ni kelele tu!?
Kingereza mnajua?Sawa mkuu, tusubiri kuanza safari za uholanzi sasa🤣